Ikitokea Bunge likavunjwa ni mpinzani gani atarudi Bungeni? Msipende makelele yasiyo na tija kwenu kisa mpo huru kuongea

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
Ni kweli kabisa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayo mamlaka ya kuvunja bunge na kisha kuitisha uchaguzi. Sababu za kuvunja Bunge na kuitisha uchaguzi zipo ibara ya 90 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni kweli kama Bunge litakataa kupitisha hoja ambazo zina maslahi kwa Taifa, Rais anaweza kuvunja Bunge.

Hivi sasa kuna hii sekeseke la wabunge kubishana juu ya mambo ambayo wengi wanaona kama hayana manufaa kwa umma. Wengi wa wafuasi na wakereketwa wa upinzani wanatoa wazo bunge livunjwe sababu limejaza wanaCcm kwa 99%.

Je, likivunjwa na kuitishwa upya kuna mpinzani anayeweza kuchaguliwa na kushinda uchaguzi? Yaani wananchi wa Nyamagana wamchague mtu kama Pambalu kweli? Au watu wa Hai wamchague Mbowe na kumuacha huyu mbunge wa sasa? Kawe wamtose Gwajima. Mbeya je? Hii ni mifano tu ya kujiuliza.

Kwa sasa upinzani bado, unatakiwa ujipange.
 
Ndoto za bunge kuvunja hazipo. Watu mmeshiba ugali utumbo mnaota eti bunge litavunjwa, hivi mna akili timamu kweli?

Mnataka wapinzani gani tena bungeni, mliowapeleka kina Bulaya, Mdee hawafai? Si muwafukuze mteue wengine kama hao hawafai?

Uchaguzi ni baada ya miaka 5.

Lakini pia nakumbuka Chadema walisema hawatashiriki uchaguzi wowote bila tume ya uchaguzi huru. Sasa mnataka bunge livunjwe, kwani hiyo tume huru iliundwa lini?
 
Ndoto za bunge kuvunja hazipo. Watu mmeshiba ugali utumbo mnaota eti bunge litavunjwa, hivi mna akili timamu kweli?

Mnataka wapinzani gani tena bungeni, mliowapeleka kina Bulaya, Mdee hawafai? Si muwafukuze mteue wengine kama hao hawafai?

Uchaguzi ni baada ya miaka 5.

Lakini pia nakumbuka Chadema walisema hawatashiriki uchaguzi wowote bila tume ya uchaguzi huru. Sasa mnataka bunge livunjwe, kwani hiyo tume huru iliundwa lini?
Chadema wanaaminika? Wanaopiga kelele livunjwe ni akina nani? Njaa ya Chadema itawazuia kushiriki ubunge kama wanauhakika wa kushinda?
 
Chadema wanaaminika? Wanaopiga kelele livunjwe ni akina nani? Njaa ya Chadema itawazuia kushiriki ubunge kama wanauhakika wa kushinda?
Chadema ni genge la wahuni, wanaongozwa ki gangster/Mafia style.

Mbowe kawapiga wenzake changa la macho akavuta hela akakimbilia Dubai kula good time baada ya kupokea mlungula wa kina Bulaya na Mdee.

Kwa tunaomjua Mafia Boss Mbowe hatushangai maana hata 2015 aliwapiga Chadema hivyo hivyo kwa Lowasa akampiga chini Slaa.

Mbele ya hela, mbowe yuko tayari kuuza hata familia yake.
 
Chadema ni genge la wahuni, wanaongozwa ki gangster/Mafia style.

Mbowe kawapiga wenzake changa la macho akavuta hela akakimbilia Dubai kula good time baada ya kupokea mlungula wa kina Bulaya na Mdee.

Kwa tunaomjua Mafia Boss Mbowe hatushangai maana hata 2015 aliwapiga Chadema hivyo hivyo kwa Lowasa akampiga chini Slaa.

Mbele ya hela, mbowe yuko tayari kuuza hata familia yake.
Eeh! Kweli?
 
Chadema ni genge la wahuni, wanaongozwa ki gangster/Mafia style.

Mbowe kawapiga wenzake changa la macho akavuta hela akakimbilia Dubai kula good time baada ya kupokea mlungula wa kina Bulaya na Mdee.

Kwa tunaomjua Mafia Boss Mbowe hatushangai maana hata 2015 aliwapiga Chadema hivyo hivyo kwa Lowasa akampiga chini Slaa.

Mbele ya hela, mbowe yuko tayari kuuza hata familia yake.
Umekuwa msemaji wa Mbowe?
 
Wakati mwingine unajiuliza kwa nini hakwenda nao?
Yaani akili zao ni kama tope tuu
Tatzo hawa uvccm wanatumiaga matumbo kufikiri.

Hivi kwa mtu muelewa wa mambo anaweza mbeza Mbowe bungeni? Ukambeza Sugu kwa kumlinganisha na Tulia? Huyu ukimuuliza, hivi Tulia amewahi kujadili lipi lenye tija kwa Taifa, atajibu nini?

Uwezo wa huyu mtu ni mdogo kujadili mambo mazito ya kibunge!! Ni vile tu "uhuru wa kuongea"
 
Hicho kifungu cha katiba kinavunja katiba hiyo hiyo inayotambua uwepo wa mihimili mitatu ya serikali. Rais kuvunja bunge anakuwa anaingilia muhimili mwingine. Tulishasema katiba yetu ni viraka viraka sana hata wakati mwingine viraka vyekundu vinakutana na viraka vyeupe kwenye nguo nyeusi mpaka hata rangi halisi ya ngua inakuwa haijulikani.
 
Back
Top Bottom