Ijue sayansi ya chanjo hizi na chimbuko la wasiwasi wake. Hata Ulaya ni 5% tu ndiyo wamechanja katika miezi 3. Je, wanatusubiri sisi?

Yaani mnasema as if mtu anaenda tu kupata chanjo akiamua, kama vile mtu anaenda sokoni, mnashindwa kuelewa zinatolewa chanjo kwa prioritization, wazee na wale at risk ndio walianza, sasa uhesabu hesabu yao hao wazee ni wangapi in total UK population?

Pamoja na prioritization ya wazi iliyopo anakuja mtu macho makavu eti chanjo wanatakiwa walio wazima. Eti kuwa kwa nini bado asilimia kidogo.

Nyambafu!
 
Hata Israel kwa makusudi haimo kwenye list kwamba hakuiona.

Mijamaa hii ina maslahi makubwa na vifo vya watu.

Yumkini ndiyo hii inayosemekana kuwa ilichanjiwa chattle.
Israel si nchi ya ulaya pamoja na Palestina. Ni nchi za waarabu kama Iraq na Iran.
 
Israel si nchi ya ulaya pamoja na Palestina. Ni nchi za waarabu kama Iraq na Iran.

Ukweli kuhusu Israel ni huu hapa au siyo:

IMG_20210307_211118_568.jpg


Siyo siri kuwa hawa jamaa wana weledi mkubwa katika nyanja zote kuliko sisi labda tu kuhusiana na wizi wa kura au kupiga nyungu.

Hawajatengeneza chanjo yoyote bali wanatumia hizi hizi zilizopo kama ilivyo kwa nchi kama Rwanda.

Ulitambua suala la wao kuchanja watu wao kwa kiwango cha kufikia 90% ni pigo kubwa kwa mada yako? Hivyo ukaona usiwe na neno lolote juu yao ukidhani hakuna atakayekukumbusha kuhusu wao?

Ujanja ujanja huu wa nini hasa?

Au mna biashara zinazoinukia za kuhusiana na marehemu?

Je, ni wasafirisha maiti au ni biashara za majeneza, sanda au wachimba makaburi?

Hiiiiii bagosha!
 
Chanjo yangu naenda kupata jumatano,wala sina doubt..even if ingekua inafanya kazi 20% ningechukua....
Chanjo ina mchalato wake. Si sawa na kwenda kariakoo kesho kupata gauni. Mchakato huu dada yangu uko hivi:

Unaanza kwa kuchomwa sindano ya dose ya kwanza. Hii haikupi kinga yo yote dhidi ya dubwasha hili linaloitwa corona bali inatayarisha tu seli zako za kinga. Unasubiri wiki 3 au 4 unaenda tena kudungwa sindano ya dose ya pili (booster dose). Hapo tunakuita umepata full vaccination na unakuwa na uwezekano wa asilimia 62% ya kuwa mwili wako umejenga kinga (immunity) dhidi ya hilo dubwasha la corona lakini unauwezekano wa asilimia 38% ya kuwa haujajenga kinga ye yote dhidi ya hilo dudu, yaani hakuna kitu ulichofanya kwenye huo mwili wako. Hiyo 62% ndiyo tunaiita efficacy ya hiyo chanjo kama ilivyo hiyo vaccine ya AstraZaneca. Halafu tatizo ni kuwa hakuna namna ya kujua kama mwili wako umefanikiwa kujenga hiyo kinga baada ya hizo dose mbili isipokuwa hadi ukutane na hilo dubwasha la corona. Likikugaragaza ndipo utajua hizo chanjo hazikufanya cho chote kwenye immune system ya mwili wako. Una 38% chance ya kugaragazwa na hilo dubwasha baada ya kupata full immunization. Hivyo bado unapaswa kuendelea kuchukua tahadhali zote kama mwanzo ikiwamo na kujifukizia. Nadhani utakuwa umeelewa hii sayansi.
 
Hata walimu wa vyuo huwa wanampenda sana MR.GOOGLE.Vitabu vyote vipo google, yani chuo kikaizidi google we! umesomea wapi ndugu mbona unatia mashaka?
Huyo Mr Google unajua alizaliwa lini wewe kijana? Na alizaliwa na nani? Kwa taarifa yako sisi babu zako ndiyo tuliyemzaa huyo Mr Google na ndiye tunaye mu feed hizo information unazozisoma. Sisi tuna upload kwake, wewe una download kwake na unaona kwamba yeye ndiye mwamba wa yote. Mr Google ni messenger wetu sisi babu zako, wewe unamuona kama ndiye mwalimu wako wa kila kitu! Inasikitisha sana Mr Google kaua elimu ya vijana wetu wa Afrika.
 
Mtoa mada muongo takwimu sahihi hizi hapa (source WHO), China wamechanja 3.65% only.
Israel 99.88%
United Arab Emirates 63.35%
United Kingdom 33.71 % (Mar 5, 2021)
Bahrain 29.77%
United States 26.29%
Serbia 24.25 %
Chile 24.13%
Denmark 12.22% (Mar 5, 2021)
Morocco 12.17%
Turkey 11.72%
Poland 10.44%
Switzerland 10.19% (Mar 3, 2021)
Spain 9.56 % (Mar 4, 2021)
Romania 9.01 % (Mar 5, 2021)
Italy 8.8 %
Germany 8.74 % (Mar 5, 2021)
France 8.09% (Mar 5, 2021)
Canada 6.17%
Brazil 4.98%
Russia 4.51%
China 3.65 % (Feb 28, 2021)
Bangladesh 2.17 (% Mar 4, 2021)
India 1.52 %
Indonesia 1.29 %
 
Mtoa mada muongo takwimu sahihi hizi hapa (source WHO), China wamechanja 3.65% only.
Israel 99.88%
United Arab Emirates 63.35%
United Kingdom 33.71 % (Mar 5, 2021)
Bahrain 29.77%
United States 26.29%
Serbia 24.25 %
Chile 24.13%
Denmark 12.22% (Mar 5, 2021)
Morocco 12.17%
Turkey 11.72%
Poland 10.44%
Switzerland 10.19% (Mar 3, 2021)
Spain 9.56 % (Mar 4, 2021)
Romania 9.01 % (Mar 5, 2021)
Italy 8.8 %
Germany 8.74 % (Mar 5, 2021)
France 8.09% (Mar 5, 2021)
Canada 6.17%
Brazil 4.98%
Russia 4.51%
China 3.65 % (Feb 28, 2021)
Bangladesh 2.17 (% Mar 4, 2021)
India 1.52 %
Indonesia 1.29 %
Ninarudia kusema, wewe kama siyo mtalaamu wa mambo utanukuu takwimu ambazo hujui zinachomaanisha.
Tuchukue mfano wa United Arab Emirates kwenye takwimu ulizozinukuu. Yeye takwimu zake alizopeleka WHO ni kuwa: Dose given to 6,235,316 people
Hence doses per 100 people = 63.82% of target population
Kwa takwimu hizo wewe unazichukulia kama waliopata chanjo UAE ni asilimia 63.82%. Ni layman tu wa sayansi hii ndiye atazichukulia hivyo. Kwa msomi takwimu hizo haziko kamili kwani hatuwezi kujua kiasi cha watu ambao miili yao imepata kinga dhidi ya CoV-2. Inawezekana hao watu wote 6,235,316 wamepata dose moja moja tu ya hiyo chanjo, kitu ambacho hakiwapi kinga yo yote.

Sisi tunataka takwimu za watu waliopata chanjo kamili - yaani fully vaccinated. Si wale wanaochoma sindano moja ya kwanza halafu wanaingia mitini wakitusubiri sisi waafrika.

Mfano wa pili ni wa United Kingdom: Yeye kama zilivyo nchi nyingi kawakilisha takwimu zote zinazohitajika ambazo ziko hivi:
  • At least 1 dose given 21,358,815 people equal to 32% of the population
  • Full vaccinated 1,034,068 people = 1.55% of the population.
Hizi ndizo takwimu tunazosema kwamba kuanzia Dec 2020 UK ni 1.55% tu ndiyo amefanikiwa kuwapa chanjo (full vaccination) na kwamba wengi waliopata dose ya kwanza hawakurudi kupata hiyo dose ya pili. Sasa wewe unachukua hiyo takwimu ya dose ya kwanza kwamba ndiyo ya maana.

Israel takwimu zake ni:
-At least 1 dose 4,903,857 people = 54.17% as per 5 March 2021
-Full vaccinated 3,660,333 = 40.43%.
Ikumbukwe Israel ni nchi ndogo sana yenye population ya 9 million tu inapitwa na Burundi yenye watu million12. Israel karibu kila mtu mzima ni mwanajeshi.

Kuhusu China: China haipeleki takwimu zo zote WHO kwani walishaiuzi. FDAs za wazungu zilishakataa kutoa hata hizo emergency approval ya vaccines za kutoka Uchina na Urusi. Hivyo usitegemee kupata takwimu ya maana hapo WHO kutoka China.



Ninakunakilia hapa nilichomjibu Ayb kwenye thread # 66 maana munaendelea kubishi mambo msiyo na ufahamu nayo wa kutosha. Mnaendelea kuhoji na kukosoa mambo ambayo nilishayatolea majibu:




Takwimu za kweli na zinazoeleweka kuhusu masuala ya afya zinapatikana WHO. Hizo za akina John Efflein na wengineo zitakupoteza, hasa kama hujui kuzitafisiri kitaluma.

Chanjo zinatolewa kwa utaratibu maalum wa doses zake. Dose ya kwanza ni ya kusituwa tu (activate or prime) hizo seli za askari wa kinga (T memory & B memory cells). Dose ya kwanza haikupi kinga yo yote. Unahitaji doses zingine baada ya kipindi fulani (booster doses). Kwa hizi chanjo za covid-19 unahitaji dose ya pili baada ya wiki 4 kwa Moderna na AstraZeneca na wiki 3 kwa zile chanjo za aina nyingine. Hapo ndipo tunasema umepata chanjo (fully vaccinated) itakayoweza kukukinga usipate ugonjwa huo kwa kipindi fulani - kipindi hiki kwa kawaida ni miezi 6 ambapo utalazimika kupata booster dose nyingine etc

Hivyo takwimu tunazo ongelea hapa ni za wale waliopata full vaccination hasa huko ulaya, kwa wazungu na amerika ambao ni miezi 3 sasa tangia waanze kuchanjana. Hatuongelei takwimu za idadi ya doses zilizotolewa kwani hilo ni la wahasibu, sisi halituhusu. Tunaongelea ni watu wangapi wamepata dose ya kwanza na wangapi wamekamilisha chanjo:

1. Israel: Hii si nchi ya ulaya wala watu wake si wazungu bali ni waarabu. Halafu ni kainchi kadogo sana kenye watu million 9 tu kanpitwa na Burundi yenye watu million 12. Hivyo takwimu zake haziwezi kubadili cha maana huo wastani wa uchanjaji. Takwimu za sahihi za Israel toka WHO hadi tarehe 5 March 2021 ni:
- At least 1 dose 4,901,162 people sawa na 54.14%
-Full vaccinated 3,654,820 peopĺe sawa na 40,3%

2. United Kingdom:
Huyu ndiye alikuwa wa kwanza huko ulaya kuanza kuchanja watu wake tarehe 8 December 2020. Tena alianza kwa mbwembwe nyingi akifurahia uhuru wa kujitoa kwenye Umoja wa ulaya. Kwamba halazimiki kusubiri maamuzi ya EU kuanza uchanjaji. Hadi tarehe 5 March takwimu zake ziko hivi:
  • At least 1 dose 21,358,815 =32%
  • Fully vaccinated 3,660,333 = 1.5%

Yaani watu wake wengi baada ya kudungwa hiyo sindano ya kwanza waliingia mitini. Walikataa kurudi kukamilisha chanjo baada ya wiki 3 kama masharti ya chanjo ya AstraZeneca yanavyotaka. Yaani ni aibu. Full vaccination rate yake ni 1.5% tu. Halafu katuletea machanjo yake hayo bure sisi waafrika. Wewe unataka tumweleweje huyu mzungu tajiri na ugonjwa huu unatesa sana wananchi wake?

3. Haya takwimu za full vaccination coverage za WHO za nchi za wazungu na waarabu hadi tarehe 5 March hizi hapa:

One dose Full vaccination
Russia 3.4% 1.2%
France 5.1% 2.7%
Italy 5.9% 2.6%
Germany 5.7% 2.8%
Belgium 4.9% 2.9%
Greece 6.5% 3.4%
Spain 6.7% 2.8%
Turkey 9.1% 2.8%
Bulgaria 3.3% 0.7%
Hungary 9.7% 3.1%
United Kingdom 32%. 1.5%
Israel 54.1% 40.4%
Morocco 10.6% 1.4%
USA 16.9% 8.7%

World 2.2% 0.8%


Hizo ndizo takwimu za kweli zilizoko WHO. Efficacy inayooneshwa kwenye hizo chanjo ni ya baada ya kupata full vaccination. Hiyo dose moja ya kwanza haikupi kinga yo yote bali ni ya maandalizi tu ya immune system yako. Unahitaji dose ya pili (booster) baada ya wiki nne au tatu kutegemea na aina ya chanjo. Hapo ndipo tunasema umepata full vaccination. Na badoinawezekana ukahitaji booster dose nyngine baada ya miezi sita na kila mwaka baada ya hapo.

Tukisema Efficacy ya chanjo ya AstraZeneca ni 62% maana yake ni kuwa katika watu 100 waliopata full vaccination, watu 62 kati yao watakuwa miili yao imepata kinga (immunity) ya ugonjwa huo, hao 38 waliobaki hawatapata kinga yo yote dhidi ya ugonjwa huo yaani wako sawa tu na wale ambao hawakuchanja kabisa. Hakuna cha kinga kidogo. Tatizo huwezi ukawatambua au kwa vipimo kujua katika hao 100 nani kafanikiwa mwili wake kupata kinga. Kipimo pekee ni kukutana na kirusi hicho - kama hakitakugalagaza basi wewe utajua uko kwenye kundi hilo la watu 62. Full vaccination haimaanishi full immunization. Yaani kati ya watu 100 wanaopata full vaccination ya Astrazeneca vaccine ni 62 tu ndiyo wanapata full immunization against CoV-2.

Lengo kuu la chanjo dhidi ya magonjwa ya kuambukiza ni kupata angalao 60% ya watu wawe na kinga (fully immunized) ili kupata herd immunity to cut off transmission. Kwa mwendo huu wa matokeo ya chanjo kama hii ya AstraZeneca tusahau kufikia hiyo 60% herd immunity.
 
Ninarudia kusema, wewe kama siyo mtalaamu wa mambo utanukuu takwimu ambazo hujui zinachomaanisha.
Tuchukue mfano wa United Arab Emirates kwenye takwimu ulizozinukuu. Yeye takwimu zake alizopeleka WHO ni kuwa: Dose given to 6,235,316 people
Hence doses per 100 people = 63.82%
Kwa takwimu hizo wewe unazichukulia kama waliopata chanjo UAE ni asilimia 63.82%. Ni layman tu wa sayansi hii ndiye atazichukulia hivyo. Kwa msomi takwimu hizo haziko kamili kwani hatuwezi kujua kiasi cha watu ambao miili yao imepata kinga dhidi ya CoV-2. Inawezekana hao watu wote 6,235,316 wamepata dose moja moja tu ya hiyo chanjo, kitu ambacho hakiwapi kinga yo yote.

Sisi tunataka takwimu za watu waliopata chanjo kamili - yaani fully vaccinated. Si wale wanaochoma sindano moja ya kwanza halafu wanaingia mitini wakitusubiri sisi waafrika.

Mfano wa pili ni wa United Kingdom: Yeye kama zilivyo nchi nyingi kawakilisha takwimu zote zinazohitajika ambazo ziko hivi:
  • At least 1 dose given 21,358,815 people equal to 32% of the population
  • Full vaccinated 1,034,068 people = 1.55% of the population.
Hizi ndizo takwimu tunazosema kwamba kuanzia Dec 2020 UK ni 1.55% tu ndiyo amefanikiwa kuwapa chanjo (full vaccination) na kwamba wengi waliopata dose ya kwamba hawakurudi kupata hiyo dose ya pili. Sasa wewe unachukua hiyo takwimu ya dose ya kwanza kwamba ndiyo ya maana.

Israel takwimu zake ni:
-At least 1 dose 4,903,857 people = 54.17% as per 5 March 2021
-Full vaccinated 3,660,333 = 40.43
Ikumbukwe Israel ni nchi ndogo sana yenye population ya 9 million tu inapitwa na Burundi yenye watu million12. Israel karibu kila mtu mzima ni mwanajeshi.

Kuhusu China: China haipeleki takwimu zo zote WHO kwani walishaiuzi. FDAs za wazungu zilishakataa kutoa hata hizo emergency approval ya vaccines za kutoka Uchina na Urusi. Hivyo usitegemee kupata takwimu ya maana hapo WHO kutoka China.



Ninakunakilia hapa nilichomjibu Ayb kwenye thread # 66 maana munaendelea kubishi mambo msiyo na ufahamu nayo wa kutosha. Mnaendelea kuhoji na kukosoa mambo ambayo nilishayatolea majibu:




Takwimu za kweli na zinazoeleweka kuhusu masuala ya afya zinapatikana WHO. Hizo za akina John Efflein na wengineo zitakupoteza, hasa kama hujui kuzitafisiri kitaluma.

Chanjo zinatolewa kwa utaratibu maalum wa doses zake. Dose ya kwanza ni ya kusituwa tu (activate or prime) hizo seli za askari wa kinga (T memory & B memory cells). Dose ya kwanza haikupi kinga yo yote. Unahitaji doses zingine baada ya kipindi fulani (booster doses). Kwa hizi chanjo za covid-19 unahitaji dose ya pili baada ya wiki 4 kwa Moderna na AstraZeneca na wiki 3 kwa zile chanjo za aina nyingine. Hapo ndipo tunasema umepata chanjo (fully vaccinated) itakayoweza kukukinga usipate ugonjwa huo kwa kipindi fulani - kipindi hiki kwa kawaida ni miezi 6 ambapo utalazimika kupata booster dose nyingine etc

Hivyo takwimu tunazo ongelea hapa ni za wale waliopata full vaccination hasa huko ulaya, kwa wazungu na amerika ambao ni miezi 3 sasa tangia waanze kuchanjana. Hatuongelei takwimu za idadi ya doses zilizotolewa kwani hilo ni la wahasibu, sisi halituhusu. Tunaongelea ni watu wangapi wamepata dose ya kwanza na wangapi wamekamilisha chanjo:

1. Israel: Hii si nchi ya ulaya wala watu wake si wazungu bali ni waarabu. Halafu ni kainchi kadogo sana kenye watu million 9 tu kanpitwa na Burundi yenye watu million 12. Hivyo takwimu zake haziwezi kubadili cha maana huo wastani wa uchanjaji. Takwimu za sahihi za Israel toka WHO hadi tarehe 5 March 2021 ni:
- At least 1 dose 4,901,162 people sawa na 54.14%
-Full vaccinated 3,654,820 peopĺe sawa na 40,3%

2. United Kingdom:
Huyu ndiye alikuwa wa kwanza huko ulaya kuanza kuchanja watu wake tarehe 8 December 2020. Tena alianza kwa mbwembwe nyingi akifurahia uhuru wa kujitoa kwenye Umoja wa ulaya. Kwamba halazimiki kusubiri maamuzi ya EU kuanza uchanjaji. Hadi tarehe 5 March takwimu zake ziko hivi:
  • At least 1 dose 21,358,815 =32%
  • Fully vaccinated 3,660,333 = 1.5%

Yaani watu wake wengi baada ya kudungwa hiyo sindano ya kwanza waliingia mitini. Walikataa kurudi kukamilisha chanjo baada ya wiki 3 kama masharti ya chanjo ya AstraZeneca yanavyotaka. Yaani ni aibu. Full vaccination rate yake ni 1.5% tu. Halafu katuletea machanjo yake hayo bure sisi waafrika. Wewe unataka tumweleweje huyu mzungu tajiri na ugonjwa huu unatesa sana wananchi wake?

3. Haya takwimu za full vaccination coverage za WHO za nchi za wazungu na waarabu hadi tarehe 5 March hizi hapa:

One dose Full vaccination
Russia 3.4% 1.2%
France 5.1% 2.7%
Italy 5.9% 2.6%
Germany 5.7% 2.8%
Belgium 4.9% 2.9%
Greece 6.5% 3.4%
Spain 6.7% 2.8%
Turkey 9.1% 2.8%
Bulgaria 3.3% 0.7%
Hungary 9.7% 3.1%
United Kingdom 32%. 1.5%
Israel 54.1% 40.4%
Morocco 10.6% 1.4%
USA 16.9% 8.7%

World 2.2% 0.8%


Hizo ndizo takwimu za kweli zizoko WHO. Efficacy inayooneshwa kwenye hizo chanjo ni ya baada ya kupata full vaccination. Hiyo dose moja ya kwanza haikupi kinga yo yote bali ni ya maandalizi tu ya immune system yako. Unahitaji dose ya pili (booster) baada ya wiki nne au tatu kutegemea na aina ya chanjo. Hapo ndipo tunasema umepata full vaccination. Na badoinawezekana ukahitaji booster dose nyngine baada ya miezi sita na kila mwaka baada ya hapo.

Tukisema Efficacy ya chanjo ya AstraZeneca ni 62% maana yake ni kuwa katika watu 100 waliopata full vaccination, watu 62 kati yao watakuwa miili yao imepata kinga (immunity) ya ugonjwa huo, hao 38 waliobaki hawatapata kinga yo yote dhidi ya ugonjwa huo yaani wako sawa tu na wale ambao hawakuchanja kabisa. Hakuna cha kinga kidogo. Tatizo huwezi ukawatambua au kwa vipimo kujua katika hao 100 nani kafanikiwa mwili wake kupata kinga. Kipimo pekee ni kukutana na kirusi hicho - kama hakitakugalagaza basi wewe utajua uko kwenye kundi hilo la watu 62. Full vaccination haimaanishi full immunization. Yaani kati ya watu 100 wanaopata full vaccination ya Astrazeneca vaccine ni 62 tu ndiyo wanapata full immunization against CoV-2.

Lengo kuu la chanjo dhidi ya magonjwa ya kuambukiza ni kupata angalao 60% ya watu wawe na kinga (fully immunized) ili kupata herd immunity to cut off transmission. Kwa mwendo huu wa matokeo ya chanjo kama hii ya AstraZeneca tusahau kufikia hiyo 60% herd immunity.
Wewe mpotoshaji wa hali ya juu sana mungu akulipe unachostahili siku ya mwisho. Tuchikulie UK kwa mfano, wao wame-prioritise first dose kwa watu wengi iwezekanavyo hivyo dose ya pili itatolewa miezi mitatu baada ya dose ya kwanza. No uwongo uliopitiliza aibu kusema wsmeingia mitini.
Unasema Africa inajaribiwa huo ni uongo mwingine, chanjo zinazoletwa Africa ni msaada kutoka WHO kupitia mpango unaoitwa COVAX na hakuna nchi iliyolazimishwa, kama mamlaka za TZ hawaitaļi haitoletwa usipotoshe. Si Amerika wala ulaya inayokulazimisheni. Mfano mzuri wiki iliyopita Italy iligombania chanjo na Australia na taarifa za hivi karibuni Europian union imepeleka maombi kwa rais Biden wa Amerika iwasaidie kit uzalishaji wa chanjo. Wao haziwatoshi halafu wakulazimisheni nyinyi. Tanzania isubiri tu makombo na Rais hili analijua ndiyo maana ameshawandaa kisaikolojia kwa kutia shaka ili msihoji mbona mnachelewa kupata wakati mataifa mengine wanaendelea.
 
Ni wazi kuna kitu hakipo sawa. Hadithi zimekuwa nyingi:

1. Mara mabeberu kuvuna mapesa kwenye chanjo. Mara kwanini chanjo bure.
2. Mara vita vya kiuchumi dhidi ya Tanzania hali pana watu Azerbaijan hawajui pana watanzania nao wanakufa na kupambana kivyao.
3. Mara Mungu katuvusha kwa maombi
4. Mara nyungu inayeyusha kirusi.
5. Mara chanjo zinaleta Corona
6. Nk.

Ukweli ni kuwa Tanzania serikali inajitahidi kutowajibika kwa lolote.

Iko busy na miradi haina muda na maisha ya watu inaowakamua kodi.

Jambo la aibu sana kwa mwenye akili yeyote.
Huyo mwenzio matumia terms za kitaalamu na baadhi ya tafiti kudadavua na si siasa zako zilizo jaa maneno matupu
 
Kwani mtu anajichanja mwenyewe kama anavyopiga kura mwenyewe?

Kwani chanjo zipo za kutosha at hand kwa watu wote tayari hata kwa USA tu?

Uongo mbuzi design hii mbona kwao ni chattle vijijini?

Kwani watumishi wanaofanya hiyo kazi ya kuchanja watu ni wangapi?

Mnavyokaa kuiba kura mkihesabu kura milioni 1 Zanzibar kwa wiki nzima na kura milioni 10 kwa wiki nzima bara, mnadhani kote ni wizi wizi tu?

Hivi shilingi milioni 10 inakuchukua wewe au inamchukua mwanafunzi wa darasa la saba muda gani kuzihesabu?

Msidhani kwa vile ninyi ni majizi basi kila mtu ni kama nyie.

Vile vile msidhani kwa vile tumenyamaza hatujui kuwa katika majizi nyinyi ni mamama au mababa zao.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Siasa tupu punguza mihemko.
 
Kama uliouandika ndio ukweli basi makenya na manyarwanda yaliyikimbilia kuchanjana yatakua hayana tofauti na manguruwe;halafu mbona hujaweka idadi ya watu waliochanjwa huko Israel maana nasikia Israel iliamua kuwatoa kafara watu wake kwenye hii chanjo
Usichukue tu maoni ya mtu mmoja na kufanya hitimisho. Science is not a closed system - anything is held to be true only until another theory proves to challenge it. Wanasayansi nao wana different schools of thought, ukimsikia mtaalam mmoja usidhani huyo ndiye kasema neno la Mungu. Chukua approach ya kuwa 'intellectually honest' - don't judge without sufficient evidence and remain open to new findings and in this way you'll likely be an intelligent/critical/smart thinker. NB: Try also to observe international etiquette when dealing with other nations/nationalities. In other words, don't use names/labels you wouldn't yourself like to be named/labelled.
 
Nitajaribu kuieleza sayansi hii kwa njia na lugha nyepesi ili jamii ipate mwanga suala hili ambalo kisayansi ni complex. Lengo ni kuelimishana ili kupunguza mihemuko na mivurugano tunayoishuhudia kwa sasa hasa kwa baadhi ya wanasiasa na viongozi mbali mbali wa kijamii na wenye taaluma ya habari.

Atakayeweza kusoma nakala hii ndefu anakaribishwa.

1. Nitaanza na vinasaba (genes):
Miili ya viumbe hai ina undwa na chembe chembe ndogo sana zinazoitwa seli (cells). Binadamu ana matrillion ya seli. Seli hizi zinafanya kazi mbali mbali za kuwesha kuishi (metabolism). Kila seli ina nukleasi iliyozungukwa na saitoplasm. Kwenye nukleas kuna molecules za Deoxyriboncleic acid - kifupi chake DNA. Kila seli ya binadamu ina DNA zipatazo billion 3 zilizobebwa kwenye mikufu (chromosomes) 46 ndani ya nukleas.

Taarifa zote za jinsi miili yetu inavyojengeka na kufanya kazi inabebwa kwenye hizo DNA. Kazi zote za miili yetu inafanyika kwenye saitoplasm ya seli zetu. Yaani kwenye saitoplasm ndiko kwenye viwanda mbali mbali vya kuiwezesha miili yetu iishi na kufanya kazi zote vizuri.

Kazi zote zinazofanyika kwenye kwenye saitoplasm zinafanyika kwa maelekezo na usimamizi wa DNA. Ili DNA iweze kusimamia kazi inayofanyika kwenye saitoplasm huwa inatengeneza molecule ya Ribonucleic acid - kwa kifupi RNA na kuituma huko kwenye saitoplasm kwenda kusimamia kazi husika. Hivyo inaitwa messenger RNA - kwa ufupi mRNA.

DNA ilivyumbuliwa mwaka 1953. Huu ulikuwa ni uvumbuzi wa siri ya maisha kwani siri zote za uhai na jinsi kila seli ya mwili inavyofanya kazi zimebebwa kwenye DNA. Baada ya sayansi mpya ya uhandisi wa vinasaba (genetical engineering) kuendelea (advance), kwa kipindi cha miaka 13 kuanzia mwaka 1990 hadi 2003 wanasayansi toka sehemu mbali mbali duniani walifanikiwa kuzing'amua (decode) siri zote za DNA zote billion tatu zilizoko kwenye seli za mwili wa binadamu. The entire human genetic code was decoded/ revealed. Ziko kwenye ving'amuzi vya maabara mbali mbali za uhandisi wa vinasaba.

Kuanzia hapo wanasayansi wameendelea kucheza na hizo vinasaba vya DNA ili kuweza kuangamiza baadhi ya magonjwa kwenye seli za binadamu hususani ya saratani kama ya kongosho (pancreas cancer) na ya baadhi ya virusi kama virusi vya Zika vilivyogundulika huko Uganda mwaka 1947 kwenye msitu wa Zita vikienezwa na mbu Aedes.

Pamoja na kuonesha matokeo mazuri sana katika tiba za maradhi haya, hadi sasa kwa kipindi cha mwongo mmoja mamlaka za FDAs zilishindwa kuzipa kibali tafiti hizi kuendelea na phase 2 ya clinical trials za watu wengi zaidi. Wasi wasi ukiwa ni athari ya muda mrefu ambayo inaweza kutokea kwenye vinasaba (DNA) ya seli ya binadamu.

2. Virusi ni vitu gani:
Virusi ni vimifuko ya vipande vidogo sana ya vinasaba (genes). Kuna virusi ambavyo genetic material yake ni DNA tupu na zingine ambazo ni za RNA tupu. Kirusi cha ukimwi ni cha RNA chenye genetic code 9 tu. Kirusi cha coronavirus nacho ni cha RNA na kina genetic codes 56.

Seli ya kirusi haina saitoplasm. Yaani hizo RNA au DNA zake zimehifadhiwa kwenye gamba (envelope) la protein. Kwa coronavirus gamba hili la protein ni la duara lenye miiba midogo midogo mingi (spike protein). Maji ya sabuni (soapy water) huweza kulisambaratisha (denature) gamba hili kwa urahisi na kukiua kirusi hiki. Ndiyo sababu ya kuwashauri watu kunawa mikono yao kwa sabuni mara kwa mara. Pia joto la nyuzi 45 hadi 56 C kwenye mazingira ya unyevunyevu huweza kulisarambaratisha gamba hili. Hii nayo ndiyo sababu ya tafiti mbali mbali duniani ambazo zimeweza kuonesha faida ya steam inhalation therapy ambao kwetu tunaita kujifukuzia.

Kwa kuwa virusi havina saitoplasm ili viweze kuzaliana zinahitaji kuingia kwenye seli za kiumbe kingine chenye saitoplasm. Hivyo zinaingia kwenye seli ya binadamu kwa lengo la kwenda kuzaliana. Kikishaingia kwenye seli ya binadamu genes ya virusi hivi huchukua kamandi ya maelekezo na usimamizi wa viwanda vya saitoplasm. Vinaamurishwa kufanya kazi ya kuzalisha virusi tu. Kazi zingine zinasitishwa. Hivyo seli zizovamiwa na virusi hivi zinageuzwa kuwa viwanda vya kufyatua virusi tu na vikishafyatuliwa vinavyamia seli zingine. Seli za askari wa mwili (immune cells - B lymhocytes, T lymphocytes, macrophages, Killer cells, cd4 cells etc) zinaingia vitani ambayo matokeo yake ni kifo au kupona.

3. Chimbuko la chanjo za SARS-CoV-2
Baada ya mlipuko mkubwa wa SARS (kiswahili chake Changamoto la Upumuaji) wa kirusi cha CoV-2 au coronavirus wa pili huko Wuhen, China mwezi Nov 2019 wahandisi mahiri wa vinasaba waliingia kazini kumchakata huyu kirusi. Hadi March 2020 wakawa wameweza ku decode the entire genetic code ya kiumbe hiki kidogo ambacho hadi wakati huo hakuna aliyekuwa anazijua hapa duniani. Mchina angeweza kukaa na king'amuzi hicho kwa siri peke yake maana ilikuwa ni uvumbuzi mkubwa wa siri ya maisha ya kirusi hiki. Lakini kwa upendo wa kipekee aliamua kuwasambazia bure maabara zote kubwa za genetic engineering ulimwenguni. Maabara hizi zilipokea kwa furaha ving'amuzi hivi na mara moja kuanza kucheza na vinasaba za kirusi hiki ili kupata dawa au chanjo ya kumwangamiza.

Bahati mbaya au nzuri zilijielekeza zaidi kwenye genetic code ya gamba la mdudu huyu - the spike protein genome. Ziliona hapo ndipo rahisi kummaliza mdudu huyu. Clinical trials zikafanyika haraka haraka. Ilikuwa ni fursa kwa tafiti zao za tiba kwa njia ya vinasaba zilizokuwa zimekwamishwa na FDAs zao kwa miaka mingi sasa kupewa ruhusa angalao ya dharura. Hadi kufikia December 2020 zikawa zimepata hiyo emergency approval na kuanza mass vaccination ya watu wote duniani kama phase IV clinical trial.

Cha kushangaza Mchina ambaye ugunduzi wake wa vinasaba ndiyo ulipelekea utengenezaji wa hizo chanjo, yeye chanjo yake haikutumia teknolojia hiyo. Yeye chanjo yake inatumia kirusi chote (the whole virus with its entire structure including the entire genome intact) kilichopunguzwa makali kama ambavyo zilivyo chanjo za magonjwa mengine tulizozizoea.

Chanjo hizi za wengine ni kama ifuatavyo:

- Pfizer na Modern: Hizi saitoplasma ya seli za binadamu inaingiziwa mRNA kuiamuru izalishe magamba (spike proteins) ya virus vya corona. Unapata kinga dhidi ya magamba yake na hivyo hataweza kuingia tena mwilini mwako kama ataendelea kubaki na gamba lile lile. Ndani ya muda mfupi imeonekana kwamba gamba la kirusi hiki ni kama la kinyonga. Hujibadilisha mara kwa mara kutegemea na mazingira. Kwa muda mfupi zaidi ya aina 7 ya magamba haya yamegundulika - kuna South Africa variant, UK variant, Brazil variant, na majuzi Kenya variant na kadhalika.

Chanjo hizi za mRNA ni ngumu kuzitunza kwani zinahitaji ubaridi wa -20 C kwa Moderna na -70 C kwa Pfizer.

- Johnson & Johson, AstraZeneca na Gamaleya (Spunik V from Russia):
Ili kutatua tatizo la uhifadhi, chanjo hizi zinatumia DNA adenoviruses zilizofanyiwa engineering kubeba ndani yake gene ya spike protein ya CoV-2. Tofauti kati yake ni aina za hizo adenovirus zilizotumika kama kibebeo. Ile ya Astra Zeneca inatumia kirusi cha mafua ya sokwe (chimpanzee flue virus). Ile ya Urusi ina viral vector mbili (Ad26 na Ad5). Ile ya J & J ina viral vector Ad26.

- Efficacy ya chanjo hizi kwa matokeo ya phase III clinical trials: Moderna 94%, Pfizer 95%, Gamaleya 91.4%, AstraZeneca 62%, Johnson & Johnson 62%.

4. Coverage ya chanjo huko ughaibuni:
Zoezi la chanjo huko ughaibuni na america lilianza mwanzoni mwa mwezi December 2020. Lilienga kuanza kwa wale waliokwenye hatari zaidi ya kupoteza maisha kwa gonjwa hili ambao ni wanaohudumia wagonjwa hawa mahospitalini, wazee wenye umri zaidi ya miaka 70 na wenye magonjwa hatarishi km kisukari, magonjwa ya moyo au figo au maini, saratani na ukimwi.

Hadi kufikia tarehe 4 March ni wastani wa asilimia 5 tu ndiyo walioweza kuchanjwa ndani ya muda huo wote wa miezi mitatu pamoja na hamasa kubwa iliyofanyika na inayoendelea kufanyika. Sababu kubwa ni wasi wasi walionao wananchi pamoja na baadhi ya wanasayansi wao kuhusu chanjo hizo zinazocheza na vinasaba za genes zao. Bado kuna vitu vingi havijajulikana kisayansi. Kwa mfano unaambiwa hata ukichanja lockdown, kuvaa barakoa na mambo mengine unaendelea nayo kama awali. Yaani hata hiyo efficacy yake hawaiamini.

Halafu wanaona kabisa licha ya kuchanja gonjwa hili badala ya kupungua huko kwao limekuwa likiongezeka. Kwa nini?
Vaccination coverage kwa baadhi ya nchi zao ni kama ifuatavyo:

USA 7.7%, Belgium 7.2%, Italy 7.8%, France 7.1%, Netherland 5.9%, Russia 3.7%, Bulgaria 3.5%, Sweden 8.1%, Germany 8.1%, Spain 8.6%, Portugal 8.8%, Greece 9.5%,

5. Huu upendo kwa nchi za Afrika umetokea wapi?:
Wakati kasi ya coverage ya chanjo kwenye nchi zao zimekuwa za kusuasua, sisi wametuandama tuchanjane haraka. Wametupa au kutuahidi kutupa chanjo bure zinazotosheleza kuchanja watu laki 5 kila nchi ya Afrika. Masharti ya chanjo hizi za bure ni kwamba zichanje watu wenye afya nzuri walio na umri wa miaka 18 hadi 45. Wasiwe na magonjwa mengine ye yote including morbid obesity. Wamediliki hata kutuamuru kuwa watu hawa wawe ni walimu na polisi wetu.

Kwa nini wanataka watu wa aina hii ndiyo tuwachanje wakati watu wa aina hii miili yao iko imara kukabili virusi vya corona kwa asilimia 99.9%?
Kwa mjanja atagundua kuwa wanataka kuwafanyia a phase IV clinical trial watu hawa ambayo matokeo yake yanaweza kuondoa wasi wasi walionao watu wao huko ughaibuni kuhusu hizi chanjo.

Wanatusubiri sisi tuchanjane. Hadi sasa nchi 10 za Afrika zimekubali 'msaada' huu na faster faster zimepelekewa hizo chanjo na wameanza kuchanjana.

Nchi inayokataa au kusuasua kupokea 'msaada' huu inaandamwa kinoma na inachukuliwa kama adui. Sisi hatujaukataa bali tumewaambia watupe muda wa wanasayansi wetu kufanya uchambuzi na utafiti. Loo ona mashinikizo tunayoyapata hadi kutoka kwa watu tunaowaheshimu sana. Tupeni muda kidogo. Uamuzi tutatoa bila kushinikizwa tuzitoe wapi na tumchanje nani.

6. Ushauri wangu: Tuangalie zaidi chanjo ya Sinopharm ambayo imeiwezesha China kuudhibiti vizuri sana ugonjwa huu.
Ni somo zuri. Ongera kwa kujitoa kusoma, kuchambua, kuchakata na kuwasilisha kwenye bandiko hili.
 
Wewe mpotoshaji wa hali ya juu sana mungu akulipe unachostahili siku ya mwisho. Tuchikulie UK kwa mfano, wao wame-prioritise first dose kwa watu wengi iwezekanavyo hivyo dose ya pili itatolewa miezi mitatu baada ya dose ya kwanza. No uwongo uliopitiliza aibu kusema wsmeingia mitini.
Unasema Africa inajaribiwa huo ni uongo mwingine, chanjo zinazoletwa Africa ni msaada kutoka WHO kupitia mpango unaoitwa COVAX na hakuna nchi iliyolazimishwa, kama mamlaka za TZ hawaitaļi haitoletwa usipotoshe. Si Amerika wala ulaya inayokulazimisheni. Mfano mzuri wiki iliyopita Italy iligombania chanjo na Australia na taarifa za hivi karibuni Europian union imepeleka maombi kwa rais Biden wa Amerika iwasaidie kit uzalishaji wa chanjo. Wao haziwatoshi halafu wakulazimisheni nyinyi. Tanzania isubiri tu makombo na Rais hili analijua ndiyo maana ameshawandaa kisaikolojia kwa kutia shaka ili msihoji mbona mnachelewa kupata wakati mataifa mengine wanaendelea.
Kama wewe bado tu hujaelewa sayansi hii ya chanjo ni bahati mbaya. Lakini natumaini wengi wameielewa.

Inawezekana umetumwa kutetea huo upotoshaji. Eti UK wameonelea watoe tu dose ya kwanza na hiyo ya pili wataitoa baada ya miezi 3. Ni sayansi ya wapi hiyo? It is very unscientific. Chanjo ya pili kwa AstraZeneca na Moderna hutolewa exactly siku ya 28 baada ya chanjo ya kwanza. Haitolewi kabla au baada ya siku hizo 28. Ikipita siku 14 baada ya siku hizo itabidi zoezi lote lianze upya - yaani unarudia dose ya kwanza. Sasa UK siyo wajinga eti dose ya pili itolewe baada ya siku 90. Ni sayansi.

Haya endelea na upotoshaji wako uliotumwa. Labda utapata wajinga wachache utakaowaokota. Kila la heri.
 
Asante sana mtoa mada kwa maelezo mazuri sana na yenye tija!
Umeeleweka vizuri!
 
Takwimu za kweli na zinazoeleweka kuhusu masuala ya afya zinapatikana WHO. Hizo za akina John Efflein na wengineo zitakupoteza, hasa kama hujui kuzitafisiri kitaluma.

Chanjo zinatolewa kwa utaratibu maalum wa doses zake. Dose ya kwanza ni ya kusituwa tu (activate or prime) hizo seli za askari wa kinga (T memory & B memory cells). Dose ya kwanza haikupi kinga yo yote. Unahitaji doses zingine baada ya kipindi fulani (booster doses). Kwa hizi chanjo za covid-19 unahitaji dose ya pili baada ya wiki 4 kwa Moderna na AstraZeneca na wiki 3 kwa zile chanjo za aina nyingine. Hapo ndipo tunasema umepata chanjo (fully vaccinated) itakayoweza kukukinga usipate ugonjwa huo kwa kipindi fulani - kipindi hiki kwa kawaida ni miezi 6 ambapo utalazimika kupata booster dose nyingine etc

Hivyo takwimu tunazo ongelea hapa ni za wale waliopata full vaccination hasa huko ulaya, kwa wazungu na amerika ambao ni miezi 3 sasa tangia waanze kuchanjana. Hatuongelei takwimu za idadi ya doses zilizotolewa kwani hilo ni la wahasibu, sisi halituhusu. Tunaongelea ni watu wangapi wamepata dose ya kwanza na wangapi wamekamilisha chanjo:

1. Israel: Hii si nchi ya ulaya wala watu wake si wazungu bali ni waarabu. Halafu ni kainchi kadogo sana kenye watu million 9 tu kanpitwa na Burundi yenye watu million 12. Hivyo takwimu zake haziwezi kubadili cha maana huo wastani wa uchanjaji. Takwimu za sahihi za Israel toka WHO hadi tarehe 5 March 2021 ni:
- At least 1 dose 4,901,162 people sawa na 54.14%
-Full vaccinated 3,654,820 peopĺe sawa na 40,3%

2. United Kingdom:
Huyu ndiye alikuwa wa kwanza huko ulaya kuanza kuchanja watu wake tarehe 8 December 2020. Tena alianza kwa mbwembwe nyingi akifurahia uhuru wa kujitoa kwenye Umoja wa ulaya. Kwamba halazimiki kusubiri maamuzi ya EU kuanza uchanjaji. Hadi tarehe 5 March takwimu zake ziko hivi:
  • At least 1 dose 21,358,815 =32%
  • Fully vaccinated 3,660,333 = 1.5%

Yaani watu wake wengi baada ya kudungwa hiyo sindano ya kwanza waliingia mitini. Walikataa kurudi kukamilisha chanjo baada ya wiki 3 kama masharti ya chanjo ya AstraZeneca yanavyotaka. Yaani ni aibu. Full vaccination rate yake ni 1.5% tu. Halafu katuletea machanjo yake hayo bure sisi waafrika. Wewe unataka tumweleweje huyu mzungu tajiri na ugonjwa huu unatesa sana wananchi wake?

3. Haya takwimu za full vaccination coverage za WHO za nchi za wazungu na waarabu hadi tarehe 5 March hizi hapa:

One dose Full vaccination
Russia 3.4% 1.2%
France 5.1% 2.7%
Italy 5.9% 2.6%
Germany 5.7% 2.8%
Belgium 4.9% 2.9%
Greece 6.5% 3.4%
Spain 6.7% 2.8%
Turkey 9.1% 2.8%
Bulgaria 3.3% 0.7%
Hungary 9.7% 3.1%
United Kingdom 32%. 1.5%
Israel 54.1% 40.4%
Morocco 10.6% 1.4%
USA 16.9% 8.7%

World 2.2% 0.8%


Hizo ndizo takwimu za kweli zizoko WHO. Efficacy inayooneshwa kwenye hizo chanjo ni ya baada ya kupata full vaccination. Hiyo dose moja ya kwanza haikupi kinga yo yote bali ni ya maandalizi tu ya immune system yako. Unahitaji dose ya pili (booster) baada ya wiki nne au tatu kutegemea na aina ya chanjo. Hapo ndipo tunasema umepata full vaccination. Na badoinawezekana ukahitaji booster dose nyngine baada ya miezi sita na kila mwaka baada ya hapo.

Tukisema Efficacy ya chanjo ya AstraZeneca ni 62% maana yake ni kuwa katika watu 100 waliopata full vaccination, watu 62 kati yao watakuwa miili yao imepata kinga (immunity) ya ugonjwa huo, hao 38 waliobaki hawatapata kinga yo yote dhidi ya ugonjwa huo yaani wako sawa tu na wale ambao hawakuchanja kabisa. Hakuna cha kinga kidogo. Tatizo huwezi ukawatambua au kwa vipimo kujua katika hao 100 nani kafanikiwa mwili wake kupata kinga. Kipimo pekee ni kukutana na kirusi hicho - kama hakitakugalagaza basi wewe utajua uko kwenye kundi hilo la watu 62. Full vaccination haimaanishi full immunization. Yaani kati ya watu 100 wanaopata full vaccination ya Astrazeneca vaccine ni 62 tu ndiyo wanapata full immunization against CoV-2.

Lengo kuu la chanjo dhidi ya magonjwa ya kuambukiza ni kupata angalao 60% ya watu wawe na kinga (fully immunized) ili kupata herd immunity to cut off transmission. Kwa mwendo huu wa matokeo ya chanjo kama hii ya AstraZeneca tusahau kufikia hiyo 60% herd immunity.
Bro nakupa pongezi kwa kutulia na kujibu hoja kwa ufasaha, pamoja na kuwepo mfululizo wa post za kukushambulia kwa lengo lililojificha la ku kutoa kwenye mstari.
Umenikumbusha JF ya zamani 2015 backwards ilivyokuwa tofauti na sasa iliyojaa kizazi kipya cha BAVICHA!
 
Yote 10, maisha / uhai wako uko mikononi mwako. Tusitafute wa kulaumu au kuhamisha goli.
Jiwe anaweza kuamua hakuna chanjo kuingia nchini, ukafa kwa kukosa chanjo.

Hapo maisha yako yako mikononi mwa Jiwe.
 
Back
Top Bottom