Wanasayansi wasisitiza umuhimu wa Bikra (Virgnity)

KENGE 01

JF-Expert Member
Mar 12, 2021
1,592
3,839
Anaandika Kenge

Tamaduni za wazee wa zamani waliishi kwenye misingi ya kuoa mabikra.Ilikua ni aibu kubwa sana kama ikibainika bint wa Mzee flani sio Bikra.Au Bwana fulani kaoa binti ambae sio bikra. Mapinduzi ya utandawazi yanafanya mambo haya yaonekane ni ya kizamani na yaliyopitwa na wakati.

20240113_230254.jpg


Kupitia somo la Genetics wanasayansi wameonesha umuhimu wa kuoa bikra kama ifuatavyo:

MICROCHIMERISM.
Ni dhana(phenomena) inayotumiwa na wanasayansi kuonesha athari za kufanya zinaa kwa watu tofauti tofauti.

SPERM(Shahawa) Ni zaidi ya majimaji mazito kama yanavyoonekana kwa macho..Sperm zimebeba taarifa(Genetic information) za mtu husika kwa cell za vinasaba(DNA)..Ambapo mwanaume akikutana na mwanamke Sperm zinakaa kwa mwanamke na kusubiri yai kupevuka na kunasa Mimba...Na mtoto kufanana baadhi ya Tabia kwa mama na Baba.
Kama hatonasa Mimba basi DNA hizo ndipo zinazidi kuwa nyingi na kuhifadhiwa kwa mwanamke.

MIcrochimerism ndio dhana inayoelezea kwanini ukikaa na Mpenzi wako kwa miaka mingi Tabia zinaanza kufanana hii ni kwasababu ya DNA za mwanaume kuingia kwenye mfumo wa Damu wa mwanamke na kuanza kubadili Tabia.

_98fb97c7-869f-4083-91ad-c08389db0182.jpeg

Wanasayansi wameeleza pia kupitia dhana hii kwamba MALAYA na MAKAHABA wanatabia za kufanana Duniani kote kama vile
Kukosa mshipa wa aibu.
Kukosa mshipa wa uoga.
Kukosa mshipa wa huruma
kukosa mshipa wa adabu

Hawachelewi kupigana wala kukutukana wala kukupiga kisu cha tumbo kwao sio shida..Hii yote ni kwanini?

Ni kwasababu wamelala na wanaume wengi sana wenye Tabia tofauti majambazi,Makatili,Vibaka,wezi hivyo DNA za wanaume hao wote zimechanganya na kuingia kwenye damu(Bloodstream) ya mwanamke na kufuma Tabia mbalimbali.

Pia Dhana hii imejibu maswali ya kwamba unakuta mtoto mmoja kwenye familia anatabia tofauti na wenzake licha ya kufanana na wenzake na DNA inaonesha wote wamechangia baba na mama mmoja..ila tu anaTabia za ajabu ajabu kuliko wenzake..Unaweza kushinda kwa Mwamposa ukitafta msaada lakini pengine Tatizo ni lako(Mwanamke) kulala na wanaume wengi hivyo wamekuachia Tabia nyingi.

Wameenda mbali na kusema kwamba wapenzi wanaofanya Oral sex wapo hatarini zaidi kwa mwanamke..iwapo atameza zile sperm..zitaingia kwenye GastoIntestinal Tract kisha zitameng'enywa kama chakula hivyo DNA zitaingia kwenye bloodstream na kuwa part ya mwanamke Milele daima..

Hivyo kwa wanaume USIOE kama sio Bikra USIOE..Na wewe mdada Itunze iyo Bikra kama unavyotunza Kioo cha simu yako kisipate hata mchubuko..Matukio yote haya ya Wapenzi kuuana,kunjichana asilimia kubwa tumeacha MILA,MIIKO na DESTURI za mababu zetu..tumehamia kwenye TAMADUNI za BEBERU ambazo sikuhizi ETI ukiwa na demu anavuta shisha na kunywa POMBE ndio unaonekana MJANJA??Tumerogwa?

Kazi kwelikweli/Job TrueTrue
 
Mi nadhani kuna bikira nyingi sana
1. Ya kibaolojia ambayo nadhani ndio unaizungumzia
2. Yakisaikolojia ambayo mi nadhani ni muhumu sana.

Unaweza kukuta bikra ya kibaolojia kwa mwanamke lakini wewe sio first live wake,
Mwanamke hajawai fanya lakini amekua na mahusiano kibao kuchwa kisha vurugwa, kama hujakutana nae huwezi kunielewa
 
Mi nadhani kuna bikira nyingi sana
1. Ya kibaolojia ambayo nadhani ndio unaizungumzia
2. Yakisaikolojia ambayo mi nadhani ni muhumu sana.

Unaweza kukuta bikra ya kibaolojia kwa mwanamke lakini wewe sio first live wake,
Mwanamke hajawai fanya lakini amekua na mahusiano kibao kuchwa kisha vurugwa, kama hujakutana nae huwezi kunielewa
Hakuna kitu kama icho ndugu mchambuzi..Bikra ni Bikra OK?
 
Anaandika Kenge

Tamaduni za wazee wa zamani waliishi kwenye misingi ya kuoa mabikra.Ilikua ni aibu kubwa sana kama ikibainika bint wa Mzee flani sio Bikra.Au Bwana fulani kaoa binti ambae sio bikra..Mapinduzi ya utandawazi yanafanya mambo haya yaonekane ni ya kizamani na yaliyopitwa na wakati.
View attachment 2870972

Kupitia somo la Genetics wanasayansi wameonesha umuhimu wa kuoa bikra kama ifuatavyo:

MICROCHIMERISM.
Ni dhana(phenomena) inayotumiwa na wanasayansi kuonesha athari za kufanya zinaa kwa watu tofauti tofauti.

SPERM(Shahawa) Ni zaidi ya majimaji mazito kama yanavyoonekana kwa macho..Sperm zimebeba taarifa(Genetic information) za mtu husika kwa cell za vinasaba(DNA)..Ambapo mwanaume akikutana na mwanamke Sperm zinakaa kwa mwanamke na kusubiri yai kupevuka na kunasa Mimba...Na mtoto kufanana baadhi ya Tabia kwa mama na Baba.
Kama hatonasa Mimba basi DNA hizo ndipo zinazidi kuwa nyingi na kuhifadhiwa kwa mwanamke.

MIcrochimerism ndio dhana inayoelezea kwanini ukikaa na Mpenzi wako kwa miaka mingi Tabia zinaanza kufanana hii ni kwasababu ya DNA za mwanaume kuingia kwenye mfumo wa Damu wa mwanamke na kuanza kubadili Tabia.
View attachment 2871001
Wanasayansi wameeleza pia kupitia dhana hii kwamba MALAYA na MAKAHABA wanatabia za kufanana Duniani kote kama vile
Kukosa mshipa wa aibu.
Kukosa mshipa wa uoga.
Kukosa mshipa wa huruma
kukosa mshipa wa adabu

Hawachelewi kupigana wala kukutukana wala kukupiga kisu cha tumbo kwao sio shida..Hii yote ni kwanini?

Ni kwasababu wamelala na wanaume wengi sana wenye Tabia tofauti majambazi,Makatili,Vibaka,wezi hivyo DNA za wanaume hao wote zimechanganya na kuingia kwenye damu(Bloodstream) ya mwanamke na kufuma Tabia mbalimbali.

Pia Dhana hii imejibu maswali ya kwamba unakuta mtoto mmoja kwenye familia anatabia tofauti na wenzake licha ya kufanana na wenzake na DNA inaonesha wote wamechangia baba na mama mmoja..ila tu anaTabia za ajabu ajabu kuliko wenzake..Unaweza kushinda kwa Mwamposa ukitafta msaada lakini pengine Tatizo ni lako(Mwanamke) kulala na wanaume wengi hivyo wamekuachia Tabia nyingi.

Wameenda mbali na kusema kwamba wapenzi wanaofanya Oral sex wapo hatarini zaidi kwa mwanamke..iwapo atameza zile sperm..zitaingia kwenye GastoIntestinal Tract kisha zitameng'enywa kama chakula hivyo DNA zitaingia kwenye bloodstream na kuwa part ya mwanamke Milele daima..

Hivyo kwa wanaume USIOE kama sio Bikra USIOE..Na wewe mdada Itunze iyo Bikra kama unavyotunza Kioo cha simu yako kisipate hata mchubuko..Matukio yote haya ya Wapenzi kuuana,kunjichana asilimia kubwa tumeacha MILA,MIIKO na DESTURI za mababu zetu..tumehamia kwenye TAMADUNI za BEBERU ambazo sikuhizi ETI ukiwa na demu anavuta shisha na kunywa POMBE ndio unaonekana MJANJA??Tumerogwa?

Kazi kwelikweli/Job TrueTrue
VYote vina Facts scientifically ila kasoro oral sex!

Mwanamke anapomeza Semen haiwezi kumuathiri chochote kwa sababu haiingiii kwenye bloodstream..

Remember the End products of protein ni Amino Acid haijalishi Ni aina gani ya Protein Sperm ina enzymes kibao ambazo zote ni protein kama Hyarulonidase enzymes na zingine Pia ina fatty..

Zote hizi zitaleta Amino acid na fatty acid thats the end products..

Even DNA ikiwa digested italeta amino acid..

so In oral sex mkuu umekosea ila kwingine kote uko sawa!

kwenye chimerism kwenye Mapenzi uko sawa Kabisa japo huwa kwa kiasi kikubwa kwa mtu anayebeba mimba na kiasi kidogo kwa mtu wa kawaida..Kuweza kuathirika na Microchimera

Shukrani
 
VYote vina Facts scientifically ila kasoro oral sex!

Mwanamke anapomeza Semen haiwezi kumuathiri chochote kwa sababu haiingiii kwenye bloodstream..

Remember the End products of protein ni Amino Acid haijalishi Ni aina gani ya Protein Sperm ina enzymes kibao ambazo zote ni protein kama Hyarulonidase enzymes na zingine Pia ina fatty..

Zote hizi zitaleta Amino acid na fatty acid thats the end products..

Even DNA ikiwa digested italeta amino acid..

so In oral sex mkuu umekosea ila kwingine kote uko sawa!

kwenye chimerism kwenye Mapenzi uko sawa Kabisa japo huwa kwa kiasi kikubwa kwa mtu anayebeba mimba na kiasi kidogo kwa mtu wa kawaida..Kuweza kuathirika na Microchimera

Shukrani
You're fvckin' bright.A brilliant explanation lets debate.
Amino acid si inaweza kudivide na kuleta Zile group mbili sijui Amine kama sijakosea...Ni kweli haiwezi kuwa digested ila nimeona kuna namna inaweza kuretain kwenye Nasal cavity kisha kuna mechanism inaipeleka mpaka kwenye brain cell sijaielewa iyo mechanism inawezekana?
 
Mi nadhani kuna bikira nyingi sana
1. Ya kibaolojia ambayo nadhani ndio unaizungumzia
2. Yakisaikolojia ambayo mi nadhani ni muhumu sana.

Unaweza kukuta bikra ya kibaolojia kwa mwanamke lakini wewe sio first live wake,
Mwanamke hajawai fanya lakini amekua na mahusiano kibao kuchwa kisha vurugwa, kama hujakutana nae huwezi kunielewa
Nakuelewa
Ndio mana katika tafiti zangu naamini mwanamke ana NAFASI mbili tu katika MOYO wake

Nafasi ya kwanza ni yule FISTLOVE( elewa hapa FIRST LOVE si lazima awe amekutoa bikra some time BIKRA za wanawake zonatokaga kizembe sana na inakuw ishaenda) nazungunzia FIRST LOVE

Na nafasi ya PILI Kwa mwanamke ipo Kwa MUMEWE pale ambapo mwanamke sasa anaona huu muda sahihi kwake kuolewa
Yaan ukifika muda huo wanawake huwashangaza wengi sana kwani anaweza olewa na mwanaume ambae wengi hawakutegemea kama angeolewa na mwanaume huyo

sasa ikitokea mwanamke kashavuka hao wote na wewe ukajipendekeza kwenye anga zake Kwa kihelehele chaha moyo wako ukampendana
na ndo ukute ana BONGE la tako na SINGLE MOTHER utajuta kuzariwa hasa umkute yule ambaye ukiomba KEI unapewa saa yoyote ila ukiomba Basi nikuone tuhalalisheshe hizo FIGISU zake utajuta


Anyway kiuhalisia hauwezi kumuelewa mwanamke ishi nao hvyohvyo kisela kibabe kihunihuni yaan kivyovyote vile Ili mladi kile unachotaka unapata
DUNIA YA SASA ISHAVULUGWA
FB_IMG_1672960911348.jpg
 
You're fvckin' bright.A brilliant explanation lets debate.
Amino acid si inaweza kudivide na kuleta Zile group mbili sijui Amine kama sijakosea...Ni kweli haiwezi kuwa digested ila nimeona kuna namna inaweza kuretain kwenye Nasal cavity kisha kuna mechanism inaipeleka mpaka kwenye brain cell sijaielewa iyo mechanism inawezekana?
Mkuu Habari ya Kuretain kwenye Nasal cavify then Brain cells sio ya kweli hata Kidogo..
Unaijua BBB mkuu?
Kirefu Blood-Brain barrier (BBB)..
 
Anaandika Kenge

Tamaduni za wazee wa zamani waliishi kwenye misingi ya kuoa mabikra.Ilikua ni aibu kubwa sana kama ikibainika bint wa Mzee flani sio Bikra.Au Bwana fulani kaoa binti ambae sio bikra..Mapinduzi ya utandawazi yanafanya mambo haya yaonekane ni ya kizamani na yaliyopitwa na wakati.
View attachment 2870972

Kupitia somo la Genetics wanasayansi wameonesha umuhimu wa kuoa bikra kama ifuatavyo:

MICROCHIMERISM.
Ni dhana(phenomena) inayotumiwa na wanasayansi kuonesha athari za kufanya zinaa kwa watu tofauti tofauti.

SPERM(Shahawa) Ni zaidi ya majimaji mazito kama yanavyoonekana kwa macho..Sperm zimebeba taarifa(Genetic information) za mtu husika kwa cell za vinasaba(DNA)..Ambapo mwanaume akikutana na mwanamke Sperm zinakaa kwa mwanamke na kusubiri yai kupevuka na kunasa Mimba...Na mtoto kufanana baadhi ya Tabia kwa mama na Baba.
Kama hatonasa Mimba basi DNA hizo ndipo zinazidi kuwa nyingi na kuhifadhiwa kwa mwanamke.

MIcrochimerism ndio dhana inayoelezea kwanini ukikaa na Mpenzi wako kwa miaka mingi Tabia zinaanza kufanana hii ni kwasababu ya DNA za mwanaume kuingia kwenye mfumo wa Damu wa mwanamke na kuanza kubadili Tabia.
View attachment 2871001
Wanasayansi wameeleza pia kupitia dhana hii kwamba MALAYA na MAKAHABA wanatabia za kufanana Duniani kote kama vile
Kukosa mshipa wa aibu.
Kukosa mshipa wa uoga.
Kukosa mshipa wa huruma
kukosa mshipa wa adabu

Hawachelewi kupigana wala kukutukana wala kukupiga kisu cha tumbo kwao sio shida..Hii yote ni kwanini?

Ni kwasababu wamelala na wanaume wengi sana wenye Tabia tofauti majambazi,Makatili,Vibaka,wezi hivyo DNA za wanaume hao wote zimechanganya na kuingia kwenye damu(Bloodstream) ya mwanamke na kufuma Tabia mbalimbali.

Pia Dhana hii imejibu maswali ya kwamba unakuta mtoto mmoja kwenye familia anatabia tofauti na wenzake licha ya kufanana na wenzake na DNA inaonesha wote wamechangia baba na mama mmoja..ila tu anaTabia za ajabu ajabu kuliko wenzake..Unaweza kushinda kwa Mwamposa ukitafta msaada lakini pengine Tatizo ni lako(Mwanamke) kulala na wanaume wengi hivyo wamekuachia Tabia nyingi.

Wameenda mbali na kusema kwamba wapenzi wanaofanya Oral sex wapo hatarini zaidi kwa mwanamke..iwapo atameza zile sperm..zitaingia kwenye GastoIntestinal Tract kisha zitameng'enywa kama chakula hivyo DNA zitaingia kwenye bloodstream na kuwa part ya mwanamke Milele daima..

Hivyo kwa wanaume USIOE kama sio Bikra USIOE..Na wewe mdada Itunze iyo Bikra kama unavyotunza Kioo cha simu yako kisipate hata mchubuko..Matukio yote haya ya Wapenzi kuuana,kunjichana asilimia kubwa tumeacha MILA,MIIKO na DESTURI za mababu zetu..tumehamia kwenye TAMADUNI za BEBERU ambazo sikuhizi ETI ukiwa na demu anavuta shisha na kunywa POMBE ndio unaonekana MJANJA??Tumerogwa?

Kazi kwelikweli/Job TrueTrue
aisee kwamba sperm zikimezwa huwa zinabaki zina retain genetic memory na kuji attach kwa mwanamke? Ingekuwa umesoma digestion vizuri ungejua kwamba tumbo la chakula linazalisha gastric juice ambayo ndani yake kuna enzymes kama pepsinogen na prorenin ambazo awali huwa inactive ili zisianze kumeng'enya kuta za tumbo la chakula.

Sasa kutokana na uwepo wa HCL (hydrochloric acid kwenye gastric juice) hizo enzymes zinabadilishwa kwenda kwenye active form zake ambazo ni pespsin na renin hiyo pepsin ndo huwa inaivunja vunja protein kuipeleka kwenye amino acids .

Sasa hiyo information huwa ina survive vipi kama BUILDING STRUCTURE IMEVUNJWA VUNJWA COMPLETELY? SCIENCE YA WAPI HIYO? MBONA HAUJAWEKA SOURCE ?
 
Back
Top Bottom