mchawi wa kusini
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 805
- 807
Habari Jf nataka kuwajua kama madailivyo kuhusu adamu na hawa ahsant twende na mimi pamoja
ADAM NA HAWA WALIKUWA WEUSI AU WEUPE?
Kujibu swali hili na kwa kutaka kujua au kuthibitisha uvumi kwamba Adam alikuwa mtu mweusi, inabidi turudi kwenye tafiti nyingi zilizofanyika kuhusu DNA ya mtu mweusi.
DNA ni kifupisho cha "DeoxyriboNucleic Acid" ambayo ni jina la Kiingereza la molekuli kubwa ndani ya seli za viumbehai wote. Kwa Kiswahili huitwa "Asidi DeoksiriboNukleini" (kifupi: ADN) au 'Asidi Kiinideoksiribo. DNA hubeba vinasaba (jeni), yaani ni hii molekuli ambayo inatawala seli za viumbehai na kuamua tabia, mwonekano, jinsia, na hata aina ya damu ya viumbe vyote.Yaani kwa mfano ukitaka kuthibitisha kama mwanao ni damu yako kweli,unakwenda kupima vinasaba au jeni ya DNA.
Utafiti wa kina sana wa kisayansi unaonyesha kuwa mwanamke mweusi (Mwafrika) ndiye binadam wa pekee ambaye ana DNA ya kipekee inayoweza kutoa kila rangi ya binadamu duniani!Yaani anaweza akazaa mwafrika, albino, mzungu, mwarabu n.k.Jeni yake ni ya kipekee!
DNA ya mwanamke wa kiafrika inapopitia mabadiliko ya kimaumbile(mutation),binadamu wa rangi zote wanapatikana.Aina hii ya "gene"(jeni) ya vinasaba inaitwa "Eve Gene",yani jeni ya Eva,na haipatikani popote pale zaidi ya hapa kwetu Afrika.
Alafu kwa wale wasiojua, GENE (jeni)ni ruwaza ya kemikali ndani ya seli ambayo hubeba taarifa kuhusu sifa za kimaumbile zinazorithishwa kwa kiumbehai kutoka kwa wazazi wake.
Sasa naomba mtu akane hili alafu anithibitishie kuwa Adamu na Hawa hawakuwa watu weusi na hawakuwepo hapo bondeni Mesopotomia (Edeni)
Tambueni ukweli kwamba wazungu walitunyang'anya imani yetu,na chimbuko lake, na kuifanya kuwa ya kwao!
Adamu na Hawa walikuwa watu weusi.
#IloveAfrica
#AfricaIsPowerful
#FaithBeganInAfrica
#AlkebulanIsPower
ADAM NA HAWA WALIKUWA WEUSI AU WEUPE?
Kujibu swali hili na kwa kutaka kujua au kuthibitisha uvumi kwamba Adam alikuwa mtu mweusi, inabidi turudi kwenye tafiti nyingi zilizofanyika kuhusu DNA ya mtu mweusi.
DNA ni kifupisho cha "DeoxyriboNucleic Acid" ambayo ni jina la Kiingereza la molekuli kubwa ndani ya seli za viumbehai wote. Kwa Kiswahili huitwa "Asidi DeoksiriboNukleini" (kifupi: ADN) au 'Asidi Kiinideoksiribo. DNA hubeba vinasaba (jeni), yaani ni hii molekuli ambayo inatawala seli za viumbehai na kuamua tabia, mwonekano, jinsia, na hata aina ya damu ya viumbe vyote.Yaani kwa mfano ukitaka kuthibitisha kama mwanao ni damu yako kweli,unakwenda kupima vinasaba au jeni ya DNA.
Utafiti wa kina sana wa kisayansi unaonyesha kuwa mwanamke mweusi (Mwafrika) ndiye binadam wa pekee ambaye ana DNA ya kipekee inayoweza kutoa kila rangi ya binadamu duniani!Yaani anaweza akazaa mwafrika, albino, mzungu, mwarabu n.k.Jeni yake ni ya kipekee!
DNA ya mwanamke wa kiafrika inapopitia mabadiliko ya kimaumbile(mutation),binadamu wa rangi zote wanapatikana.Aina hii ya "gene"(jeni) ya vinasaba inaitwa "Eve Gene",yani jeni ya Eva,na haipatikani popote pale zaidi ya hapa kwetu Afrika.
Alafu kwa wale wasiojua, GENE (jeni)ni ruwaza ya kemikali ndani ya seli ambayo hubeba taarifa kuhusu sifa za kimaumbile zinazorithishwa kwa kiumbehai kutoka kwa wazazi wake.
Sasa naomba mtu akane hili alafu anithibitishie kuwa Adamu na Hawa hawakuwa watu weusi na hawakuwepo hapo bondeni Mesopotomia (Edeni)
Tambueni ukweli kwamba wazungu walitunyang'anya imani yetu,na chimbuko lake, na kuifanya kuwa ya kwao!
Adamu na Hawa walikuwa watu weusi.
#IloveAfrica
#AfricaIsPowerful
#FaithBeganInAfrica
#AlkebulanIsPower