Nafikiri ni rangi za bendera za nchi za jumuia!manguonguo kibao
Raisi wa Somalia kavunjwa mkono na Wababe labda alikuwa anataka kuuza Bandari.Ina maana leo hii Somalia ni mwanachama wa jumuia hii? Kama vile namwona raisi wa Somalia
Ni reflection ya bendera za Nchi wanachamaMpambaji wa huo ukumbi arudi chuoni.. mkutano tu manguonguo kibao utafikiri sherehe ya harusi mwanza misungwi kwa wasukuma huko ndanindani!
Hamna la maana zaidi ya kupiga picha na kupongezana. Afrika tumelaaniwa ndio maana hatuna viongozi zaidi ya hawa weziMatukio mbalimbali katika Mkutano wa Ndani Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Ngurdoto Mkoani Arusha, tarehe 24 Novemba, 2023.
View attachment 2823191View attachment 2823192
View attachment 2823193
View attachment 2823194
View attachment 2823195
Na hayo mawaya yanaharibu kabisa. Wamekosa namna ya kuyaficha?Mpambaji wa huo ukumbi arudi chuoni.. mkutano tu manguonguo kibao utafikiri sherehe ya harusi mwanza misungwi kwa wasukuma huko ndanindani!
Halafu hizo cables za nyaya wazi wazi.Mi bado nipo na mpambaji ni mshamba sana kaharibu mkutano wa wakuu wa nchi utafikiri mkutano wa chama cha akina mama..🤣
Kazingua kinyama
Wacha Jumuia ichangamshwe kivita.Ina maana leo hii Somalia ni mwanachama wa jumuia hii? Kama vile namwona raisi wa Somalia
Kwakweli huyo mpambaji hapana. Hivi hayo mavitambaa ni ya kuweka kwenye mkutano wa wakuu wa nchi kweli. Si angeacha ukuta wazi tuu. Huko Arusha hakuna wapambaji?Mi bado nipo na mpambaji ni mshamba sana kaharibu mkutano wa wakuu wa nchi utafikiri mkutano wa chama cha akina mama..🤣
Kazingua kinyama