wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,048
- 2,442
Hayo yote yalipaliliwa na jiwe na sasa Mama Tozo kahalalisha -watu wale kwa urefu wa kamba zao.Usichojua Ni kwamba
Polisi n majambazi waliohalalishwa na serikali kutumia Kodi zetu kutudhulumu na wakat mwingine hata kuua wananchi
Tujiongezee ulinzi binafsi pollisi SI walinz wa raia na mali kwa Sasa n waporaji na wauaji wa raia
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app