"IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?

Pasal wewe ni figure "kubwa". Umeandika muda mrefu na kujijengea jina kubwa.
Thanks
Nikueleza ukweli...umekuja kukengeuka wakati wa Magufuli na ulipoitwa na bunge. Ulitishwa na ukatishika na kugeuka nyuma ukawa Jiwe. Afadhali ungelinyamaza kuliko kukengeuka na kubadili msimamo!
Sikuwahi kukengeuka wala kubadili msimamo wowote!, kosa langu ni moja tuu na hili nitaingia nalo kaburini!, ni kuwa mkweli daima!.
Si wengi wanaofahamu kuwa hata shetani mwanzo alikuwa malaika!, sasa kwa watu walioaminishwa shetani ni mbaya, ukiuzungumzia umalaika wa shetani, utaonekana umekengeuka!.

Pamoja na madhaifu yote ya Magufuli, alikuwa na mazuri yake and over the time he kept changing for the better, sasa ukiwaeleza watu ukweli wa mazuri ya Magufuli, unaonekana umekengeuka!.
Mama Tanzania Mbatia, baada ya kunyanganywa chama na Mutungi, amekaa kimya lakini hakukengeuka!
Kiukweli kabisa kuna mengi, makubwa, mabaya nayajua na nimenyamaza!.
Finally, we angalia wanavyokuandika hapa JF, kila mmoja anasema you were smart huko nyuma, not today
Kama mtu ni smart bonafide genuine, he will always be smart!.
Nakukumbuka sana toka nyuma ulipokuwa MC pale Peakcock Hotel harusi ya akina Malinzi! I was there!
Duh...!. Umenikumbusha mbali!. Kumbe tunafahamiana in person!. Kina Malinzi ni watu wangu toka enzi za DJB!. Walinipeleka South Africa, Dubai na mpaka nimefika kwenye lile kasri lao Tum park lane, London!.

Naomba nikuhakikishie Pasco yule wa Kiti Moto ni yule yule wa juzi, jana na leo!, kilichobadilika ni the environment.
P
 
haelewekagi huyu. Mimi nimekimbilia kwenye reactions sijaona like ya the boss wala faizafoxy nikaona ngoja nisome. Leo kaliponda bunge Kama mwabukusi.
Nafikiri ni kitengo. Uzi kama huu ni kuficha kazi yake rasmi.

Anakwambia maslahi ya CCM ni muhimu kuliko ya Taifa.
 
Wanabodi,
Mimi mwenzenu ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea pia kwa kujitolea, nimehudumu kwenye sekta ya habari kwa takriban zaidi ya miaka 30, hivyo jicho langu limeona mengi, linaona mengi, na litaendelea kuona mengi, hivyo kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi zinazo kwenda kwa jina la Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe msomaji!.

Angalizo.
Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo muhimu!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "Hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!". Swali ni Je Bunge letu nalo, licha kushehenezwa na wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu nalo pia ni Bunge la ajabu?, linaweje kupitisha na kuridhia vitu vya ajabu ajabu sana kama hii IGA ya DPW?. Na Serikali yetu pia, licha ya kuwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu, jee nayo pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya ajabu hivi ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective kisheria hata kwa Mwanafunzi wa sheria wa mwaka wa kwanza, vipengele vya hii IGA viliwezaje kupitishwa bila kuwa noted or detected na hii IGA ika sail through serikalini undetected na sasa ime sail through Bungeni the same?!. What type of HGA tunayo anticipates kutokana na IGA ya kihivi?.

Umuhimu wa Angalizo
Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, HAPA na HAPA Mhe. Mbunge kilaza mmoja, HAPA akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, akanishitaki kwa Spika, nikaitwa Dodoma kuhojiwa mbele ya kamati fulani!, HAPA nikaitika wito, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale!, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza popote ndio maana natoa angalizo hili mapema kabisa, hapa sijatoa statement yoyote ni nimeuliza tuu maswali!.

Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.

Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya hoja za kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Mawakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Joseph Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali.

Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.

Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba, kama tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa! HAPA

Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!. Hizi kelele za Watanzania kulalamikia IGA, mimi zikanishangaza HAPA

Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, Prof. Shivji, Prof. Anna Tibaijuka, Dr. Rugemeleza Nshala, na wengine wengi, ikakutwa ina matatizo lukuki, huku TLS wakiainisha kifungu kwa kifungu na kutoa mapendekezo ya namna ya kutatua, kwenye timu ya TLS, ilijumuisha Mwanasheria nguli number moja Tanzania wa Investment law, Dr. Hawa Senare, ambaye ni pia ni mhadhiri wa sheria, wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, halafu serikali wanatuletea wanasheria wa kawaida tuu kuja kujibu hoja nzito za kisheria!.

Majibu mepesi ya wanasheria hawa wa Government Team, yamepelekea akina sisi watu wa kuhoji, ku search majina yao kwenye mtandao wa TLS, wengine majina yao hayapo!. Hili la serikali kutuletea wanasheria wanaotoa majibu mepesi kwenye hoja za kisheria kumepelekea wanasheria hawa kuonekana kama vilaza fulani, na kitendo cha majina yao kutoonekana kwenye list ya wanasheria wanaotambulika rasmi, inawezekana hawa ni miongoni mwa wale wanasheria makaratasi, waliofeli LST, wala sio mawakili, inawezekaje mtu asiyetambuliwa na TLS kutuongozea timu za majadiliano ya government negotiation team ya hii IGA?!, unategemea nini?!. ( Hapa naomba mliosoma na wanasheria hawa kwenye LL.B, mjitokeze kututhibitishia hawa ni wahitimu kweli wa sheria, maana usije kuta tuna watu fake wamejipenyeza!).

Sasa Wanasheria hawa anaonekana kama vilaza fulani, wanapoibuka na kusema hii IGA ni safi, nzuri na haina matatizo yoyote!, hii ni kumaanisha, TLS na wanasheria manguli wote wanaosema hii IGA ni matatizo, ndio vilaza?!...kweli?!.

Mimi nami kama mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikatoa maoni yangu HAPA

Kule nyuma niliwahi kuuliza Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?, sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.

Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakil, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, alikuwa sio mtu wa mchezo mchezo!, aliwahi kusema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hilo sakata, aliyeshughulikiwa, sio rais wa Zanzibar pekee, aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar wa wakati huo, Wolfgang Dourado, pia alishughulikiwa kikamilifu!.

Wakati wa Bunge la Katiba, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, ambaye sasa ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, kwa jina maarufu la OMO, naye alileta za kuleta kule Dodoma, wakati wa upigaji kura kupitisha katiba pendekezwa. Sisi washauri wa bure tukashauri Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii

Kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria vilaza ni watu wabaya na hatari sana kwa taifa letu",

Ni wanasheria hawa ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!, wanasheria ndio the source ya mikataba yote mibovu and in fact ni wanasheria ndio the source of katiba hii mbovu iliyopo ambayo licha ya kuwa ni katiba mbovu, pia imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili HAPA

Kwa hoja hizo, hakuna ubishi kuwa tuna wanasheria vilaza wa ajabu, swali sasa jee serikali yetu pia ni serikali ya ajabu?, na Bunge letu Tukufu pia ni Bunge la ajabu kupitisha mambo ya ajabu ajabu?.

Hitimisho
Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.

Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala

Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri kuwa hata kama hii IGA ni tunabakwa, Mwanamke mgumba akibakwa, akapata ujauzito, atampenda mbakaji! Wajua Kuna Ndoa Halali, Batili na Batilifu?. Ndoa ya TPA na DPW, ni Ubakaji?. Wajua Ubakaji unaweza kuwa Halali?. IGA Batili Yaweza kuzaa HGA Halali?.
A Way Forward.
  1. First and foremost serikali ijibu kisheria hoja zote za kisheria zilizoibuliwa kupinga hii IGA, na sio kujibu hoja za kisheria kwa majibu ya kisiasa.
  2. Kwa vile hii sii mara ya kwanza, tumetunga sheria ipo halafu serikali yetu inatuletea mikataba kinyume cha sheria!, kama tumeona sheria hazifai, tuzibadili kwanza sheria ndipo tuingie mikataba.
  3. Kwa vile hii IGA imeisha sainiwa na kuridhiwa na Bunge letu, hii maana yake ni HGA inafuata. Nashauri hiyo HGA iwe as transparent as hii IGA ili tuone maoni ya wananchi yamejumuishwa.
  4. Imeelezwa itaundwa kampuni ya ubia na itasajiliwa Tanzania, kisha 35 shares zitakuwa floated for public. Hizo shares zikiuzwa kupitia soko la hisa, DSE, then watu wenye the purchasing power ni wale wale matajiri, nashauri hizo shares zihodhiwe na mifuko ya hifadhi za jamii ya NSSF na PSSSF, ili waitumie faida kuanzisha hifadhi ya jamii kwa wote.
  5. Tubadili sheria zetu, mikataba yote ya rasilimali za taifa liidhinishe na Bunge na sio kuridhiwa tuu.
  6. Bunge letu libadilike, liache kuwa ni Bunge rubber stamp la kupitisha tuu kitutusa kila kinacholetwa na serikali yetu mbele yake!. Sometimes serikali yetu inafanya madudu ! sasa Bunge linapoletewa madudu kama hili dubwana, au dubwasha na kulipitisha kitutusa, Bunge letu litakuwa na tofauti gani na Sultan Mangungo wa Msovero?.
  7. Bunge letu liache kuwa ni Bunge kibogoyo lisilo na meno!. Maadam sheria imelipa Bunge the power to review, then Bunge litimize wajibu wake kikamilifu.
  8. Wanasheria, tuheshimiane, na kuheshimu professionalism na wanataaluma manguli wabobezi na wabobevu na kuheshimu maoni ya vyama vya kitaaluma, kama TLS, hii itazuia kuitana vilaza na mbululaz!.
  9. Kwangu mimi hii IGA ya DPW na Bandari yetu ni issue ndogo!, kuna ma issues makubwa, muhimu zaidi kama ubatili ndani ya katiba yetu unaonyima haki Watanzania, watu wako kimya!, halafu issue ndogo hii ya Bandari kelele mpaka karibu mbinguni!.
  10. Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
"kama tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa! HAPA" Tanzania ni nchi inasomesha wananchi wake na haitakiwi iseme haiwezi kujiendesha hivyo itawakodi watu wenye akili zaidi kutuendesha nchi! Mimi ningeunga mkono swala hili la bandari endapo ningesikia watanzania wamepelekwa huko kwenye watu wenye akili wakajifunze, badala yake eti tulipeleka wabunge na wapiga debe!
Nahitimisha kwa kusema watanzania tumeamua kuwa watu wakubwabwaja siasa kwakua tumeshindwa kuendesha makampuni yetu, sijui hali hii nayo itatuchukua miaka 100? Mungu wao aliyewaumba na mungu wetu wanatofauti kubwa sana.
 
Majibu mepesi ya wanasheria hawa wa Government Team, yamepelekea akina sisi watu wa kuhoji, ku search majina yao kwenye mtandao wa TLS, wengine majina yao hayapo!. Hili la serikali kutuletea wanasheria wanaotoa majibu mepesi kwenye hoja za kisheria kumepelekea wanasheria hawa kuonekana kama vilaza fulani, na kitendo cha majina yao kutoonekana kwenye list ya wanasheria wanaotambulika rasmi, inawezekana hawa ni miongoni mwa wale wanasheria makaratasi, waliofeli LST, wala sio mawakili, inawezekaje mtu asiyetambuliwa na TLS kutuongozea timu za majadiliano ya government negotiation team ya hii IGA?!, unategemea nini?!. ( Hapa naomba mliosoma na wanasheria hawa kwenye LL.B, mjitokeze kututhibitishia hawa ni wahitimu kweli wa sheria, maana usije kuta tuna watu fake wamejipenyeza!).
Mkuu, kuwapata kwenye tovuti ya TLS ni ngumu, maana database iliyopo kule ni ya mawakili wa kujitegemea. Tanganyika Law Society ni chama cha mawakili wa kujitegemea Tanganyika ( Tanzania bara), kabla ya 2019 mpaka mawakili wa serikali walikuwa wanaruhusiwa kuwa wanachama TLS lakini baada ya hapo sio wanachama wa TLS, kwa hiyo kutowaona huko haimaanishi kuwa ni vilaza. Wameanzisha society yao kama kumbukumbu zipo sawa.

Tovuti ambayo unaweza kuona mawakili waliopo kwenye rejista ya mawakili nchini (kwa idadi kubwa) ni ewakili.judiciary.go.tz hii ipo chini ya Mahakama ya Tanzania ambao ndio watunzaji wa daftari na ndio wanaowasajili mawakili.

Hata hivyo, sheria ya ofisi ya mwanasheria mkuu (utendaji kazi) na hata sheria ya mawakili, inawatambua wanasheria walioajiriwa kwa nafasi za mawakili wa serikali (state attorneys au Law Officers) kuwa ni mawakili, bila kujali kama wapo kwenye database ya mahakama au ya TLS.
 
20141018_MAP004_0.jpg
 
Wanabodi,
Mimi mwenzenu ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea pia kwa kujitolea, nimehudumu kwenye sekta ya habari kwa takriban zaidi ya miaka 30, hivyo jicho langu limeona mengi, linaona mengi, na litaendelea kuona mengi, hivyo kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi zinazo kwenda kwa jina la Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe msomaji!.

Angalizo.
Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo muhimu!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "Hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!". Swali ni Je Bunge letu nalo, licha kushehenezwa na wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu nalo pia ni Bunge la ajabu?, linaweje kupitisha na kuridhia vitu vya ajabu ajabu sana kama hii IGA ya DPW?. Na Serikali yetu pia, licha ya kuwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu, jee nayo pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya ajabu hivi ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective kisheria hata kwa Mwanafunzi wa sheria wa mwaka wa kwanza, vipengele vya hii IGA viliwezaje kupitishwa bila kuwa noted or detected na hii IGA ika sail through serikalini undetected na sasa ime sail through Bungeni the same?!. What type of HGA tunayo anticipates kutokana na IGA ya kihivi?.

Umuhimu wa Angalizo
Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, HAPA na HAPA Mhe. Mbunge kilaza mmoja, HAPA akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, akanishitaki kwa Spika, nikaitwa Dodoma kuhojiwa mbele ya kamati fulani!, HAPA nikaitika wito, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale!, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza popote ndio maana natoa angalizo hili mapema kabisa, hapa sijatoa statement yoyote ni nimeuliza tuu maswali!.

Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.

Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya hoja za kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Mawakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Joseph Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali.

Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.

Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba, kama tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa! HAPA

Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!. Hizi kelele za Watanzania kulalamikia IGA, mimi zikanishangaza HAPA

Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, Prof. Shivji, Prof. Anna Tibaijuka, Dr. Rugemeleza Nshala, na wengine wengi, ikakutwa ina matatizo lukuki, huku TLS wakiainisha kifungu kwa kifungu na kutoa mapendekezo ya namna ya kutatua, kwenye timu ya TLS, ilijumuisha Mwanasheria nguli number moja Tanzania wa Investment law, Dr. Hawa Senare, ambaye ni pia ni mhadhiri wa sheria, wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, halafu serikali wanatuletea wanasheria wa kawaida tuu kuja kujibu hoja nzito za kisheria!.

Majibu mepesi ya wanasheria hawa wa Government Team, yamepelekea akina sisi watu wa kuhoji, ku search majina yao kwenye mtandao wa TLS, wengine majina yao hayapo!. Hili la serikali kutuletea wanasheria wanaotoa majibu mepesi kwenye hoja za kisheria kumepelekea wanasheria hawa kuonekana kama vilaza fulani, na kitendo cha majina yao kutoonekana kwenye list ya wanasheria wanaotambulika rasmi, inawezekana hawa ni miongoni mwa wale wanasheria makaratasi, waliofeli LST, wala sio mawakili, inawezekaje mtu asiyetambuliwa na TLS kutuongozea timu za majadiliano ya government negotiation team ya hii IGA?!, unategemea nini?!. ( Hapa naomba mliosoma na wanasheria hawa kwenye LL.B, mjitokeze kututhibitishia hawa ni wahitimu kweli wa sheria, maana usije kuta tuna watu fake wamejipenyeza!).

Sasa Wanasheria hawa anaonekana kama vilaza fulani, wanapoibuka na kusema hii IGA ni safi, nzuri na haina matatizo yoyote!, hii ni kumaanisha, TLS na wanasheria manguli wote wanaosema hii IGA ni matatizo, ndio vilaza?!...kweli?!.

Mimi nami kama mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikatoa maoni yangu HAPA

Kule nyuma niliwahi kuuliza Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?, sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.

Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakil, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, alikuwa sio mtu wa mchezo mchezo!, aliwahi kusema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hilo sakata, aliyeshughulikiwa, sio rais wa Zanzibar pekee, aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar wa wakati huo, Wolfgang Dourado, pia alishughulikiwa kikamilifu!.

Wakati wa Bunge la Katiba, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, ambaye sasa ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, kwa jina maarufu la OMO, naye alileta za kuleta kule Dodoma, wakati wa upigaji kura kupitisha katiba pendekezwa. Sisi washauri wa bure tukashauri Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii

Kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria vilaza ni watu wabaya na hatari sana kwa taifa letu",

Ni wanasheria hawa ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!, wanasheria ndio the source ya mikataba yote mibovu and in fact ni wanasheria ndio the source of katiba hii mbovu iliyopo ambayo licha ya kuwa ni katiba mbovu, pia imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili HAPA

Kwa hoja hizo, hakuna ubishi kuwa tuna wanasheria vilaza wa ajabu, swali sasa jee serikali yetu pia ni serikali ya ajabu?, na Bunge letu Tukufu pia ni Bunge la ajabu kupitisha mambo ya ajabu ajabu?.

Hitimisho
Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.

Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala

Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri kuwa hata kama hii IGA ni tunabakwa, Mwanamke mgumba akibakwa, akapata ujauzito, atampenda mbakaji! Wajua Kuna Ndoa Halali, Batili na Batilifu?. Ndoa ya TPA na DPW, ni Ubakaji?. Wajua Ubakaji unaweza kuwa Halali?. IGA Batili Yaweza kuzaa HGA Halali?.
A Way Forward.
  1. First and foremost serikali ijibu kisheria hoja zote za kisheria zilizoibuliwa kupinga hii IGA, na sio kujibu hoja za kisheria kwa majibu ya kisiasa.
  2. Kwa vile hii sii mara ya kwanza, tumetunga sheria ipo halafu serikali yetu inatuletea mikataba kinyume cha sheria!, kama tumeona sheria hazifai, tuzibadili kwanza sheria ndipo tuingie mikataba.
  3. Kwa vile hii IGA imeisha sainiwa na kuridhiwa na Bunge letu, hii maana yake ni HGA inafuata. Nashauri hiyo HGA iwe as transparent as hii IGA ili tuone maoni ya wananchi yamejumuishwa.
  4. Imeelezwa itaundwa kampuni ya ubia na itasajiliwa Tanzania, kisha 35 shares zitakuwa floated for public. Hizo shares zikiuzwa kupitia soko la hisa, DSE, then watu wenye the purchasing power ni wale wale matajiri, nashauri hizo shares zihodhiwe na mifuko ya hifadhi za jamii ya NSSF na PSSSF, ili waitumie faida kuanzisha hifadhi ya jamii kwa wote.
  5. Tubadili sheria zetu, mikataba yote ya rasilimali za taifa liidhinishe na Bunge na sio kuridhiwa tuu.
  6. Bunge letu libadilike, liache kuwa ni Bunge rubber stamp la kupitisha tuu kitutusa kila kinacholetwa na serikali yetu mbele yake!. Sometimes serikali yetu inafanya madudu ! sasa Bunge linapoletewa madudu kama hili dubwana, au dubwasha na kulipitisha kitutusa, Bunge letu litakuwa na tofauti gani na Sultan Mangungo wa Msovero?.
  7. Bunge letu liache kuwa ni Bunge kibogoyo lisilo na meno!. Maadam sheria imelipa Bunge the power to review, then Bunge litimize wajibu wake kikamilifu.
  8. Wanasheria, tuheshimiane, na kuheshimu professionalism na wanataaluma manguli wabobezi na wabobevu na kuheshimu maoni ya vyama vya kitaaluma, kama TLS, hii itazuia kuitana vilaza na mbululaz!.
  9. Kwangu mimi hii IGA ya DPW na Bandari yetu ni issue ndogo!, kuna ma issues makubwa, muhimu zaidi kama ubatili ndani ya katiba yetu unaonyima haki Watanzania, watu wako kimya!, halafu issue ndogo hii ya Bandari kelele mpaka karibu mbinguni!.
  10. Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Wanyumbani uliniangusha sana kwa kuuma uma maneno kwa hoja nzuri na jadidifu kama hii!

Unajitetea kwa nani kwamba thread hii bomba isionekane ni statement bali ionekane ni questionair!

Mbona katikati mwa bandiko lako umesema wazi kwamba kuanzia Serikali, Bunge na Mahakama kuna vilaza wa kufa mtu, je hilo ni swali au ni statement?

Kwanini ujitetee kwa kutoa hoja za kweli na zenye manufaa kwa umma?

Au bado una kihoro cha kuburuzwa Bungeni kwenda kusimangwa?

Hata hivyo kwenu wanasheria, Bunge kujigeuza kuwa ni mahakama ya kuadabisha watu wanaoonekana kulikosoa, hili limekaaje kisheria ni sawa?

Kwanza walikulipa nauli ya kwenda na kurudi pamwe posho ya njiani na malazi, au ulienda kavu kavu?

Mkuu weka statement sawa kwamba Serikali nzima (ikiwemo Bunge na Mahakama) imeoza inahitaji reform ya ki ICU, vinginevyo tunakokwenda kama Taifa, tunaenda kuangukia pua.
 
Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, HAPA na HAPA Mhe. Mbunge kilaza mmoja, HAPA akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, akanishitaki kwa Spika, nikaitwa Dodoma kuhojiwa mbele ya kamati fulani!, HAPA nikaitika wito, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale!
Na ulipotoka kule ukaufyata, kabadilika na kuwa Pascal Mayalla mpya, mwoga, mtafuta teuzi... au nakusingizia rafiki yangu

Hili andiko lako n zuri nilikuwa sijaliona... sikumbuki kuliona
 
Wanabodi,
"Hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!". Swali ni Je Bunge letu nalo, licha kushehenezwa na wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu nalo pia ni Bunge la ajabu?, linaweje kupitisha na kuridhia vitu vya ajabu ajabu sana kama hii IGA ya DPW?. Na Serikali yetu pia, licha ya kuwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu, jee nayo pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya ajabu hivi ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective kisheria hata kwa Mwanafunzi wa sheria wa mwaka wa kwanza!, vipengele vya hii IGA viliwezaje kupitishwa bila kuwa noted or detected na hii IGA ika sail through serikalini undetected na sasa ime sail through Bungeni the same?!. What type of HGA tunayo anticipates kutokana na IGA ya kihivi?.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Ukiacha kutetea DP world tutakuunga mkono
Mkuu JakiDubai, kuna watu wanaandika jf ili waungwe mkono?, utaniunga mkono ili iweje?.
Anyway karibu, hili ni moja ya mabandiko yangu kuunga mkono IGA ya DPW na Bandari zetu, angalia tuu tarehe ya bandiko hili ili ulinganishe na wengine, na ikitokea una uwezo wa kusoma contents, soma contents uone jinsi ninavyoisupport DPW na Bandari zetu!.

Karibu

P
 
Wanabodi,
Mimi mwenzenu ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea pia kwa kujitolea, nimehudumu kwenye sekta ya habari kwa takriban zaidi ya miaka 30, hivyo jicho langu limeona mengi, linaona mengi, na litaendelea kuona mengi, hivyo kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi zinazo kwenda kwa jina la Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe msomaji!.

Angalizo.
Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo muhimu!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "Hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!". Swali ni Je Bunge letu nalo, licha kushehenezwa na wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu nalo pia ni Bunge la ajabu?, linaweje kupitisha na kuridhia vitu vya ajabu ajabu sana kama hii IGA ya DPW?. Na Serikali yetu pia, licha ya kuwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu, jee nayo pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya ajabu hivi ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective kisheria hata kwa Mwanafunzi wa sheria wa mwaka wa kwanza, vipengele vya hii IGA viliwezaje kupitishwa bila kuwa noted or detected na hii IGA ika sail through serikalini undetected na sasa ime sail through Bungeni the same?!. What type of HGA tunayo anticipates kutokana na IGA ya kihivi?.

Umuhimu wa Angalizo
Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, HAPA na HAPA Mhe. Mbunge kilaza mmoja, HAPA akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, akanishitaki kwa Spika, nikaitwa Dodoma kuhojiwa mbele ya kamati fulani!, HAPA nikaitika wito, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale!, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza popote ndio maana natoa angalizo hili mapema kabisa, hapa sijatoa statement yoyote ni nimeuliza tuu maswali!.

Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.

Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya hoja za kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Mawakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Joseph Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali.

Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.

Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba, kama tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa! HAPA

Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!. Hizi kelele za Watanzania kulalamikia IGA, mimi zikanishangaza HAPA

Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, Prof. Shivji, Prof. Anna Tibaijuka, Dr. Rugemeleza Nshala, na wengine wengi, ikakutwa ina matatizo lukuki, huku TLS wakiainisha kifungu kwa kifungu na kutoa mapendekezo ya namna ya kutatua, kwenye timu ya TLS, ilijumuisha Mwanasheria nguli number moja Tanzania wa Investment law, Dr. Hawa Senare, ambaye ni pia ni mhadhiri wa sheria, wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, halafu serikali wanatuletea wanasheria wa kawaida tuu kuja kujibu hoja nzito za kisheria!.

Majibu mepesi ya wanasheria hawa wa Government Team, yamepelekea akina sisi watu wa kuhoji, ku search majina yao kwenye mtandao wa TLS, wengine majina yao hayapo!. Hili la serikali kutuletea wanasheria wanaotoa majibu mepesi kwenye hoja za kisheria kumepelekea wanasheria hawa kuonekana kama vilaza fulani, na kitendo cha majina yao kutoonekana kwenye list ya wanasheria wanaotambulika rasmi, inawezekana hawa ni miongoni mwa wale wanasheria makaratasi, waliofeli LST, wala sio mawakili, inawezekaje mtu asiyetambuliwa na TLS kutuongozea timu za majadiliano ya government negotiation team ya hii IGA?!, unategemea nini?!. ( Hapa naomba mliosoma na wanasheria hawa kwenye LL.B, mjitokeze kututhibitishia hawa ni wahitimu kweli wa sheria, maana usije kuta tuna watu fake wamejipenyeza!).

Sasa Wanasheria hawa anaonekana kama vilaza fulani, wanapoibuka na kusema hii IGA ni safi, nzuri na haina matatizo yoyote!, hii ni kumaanisha, TLS na wanasheria manguli wote wanaosema hii IGA ni matatizo, ndio vilaza?!...kweli?!.

Mimi nami kama mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikatoa maoni yangu HAPA

Kule nyuma niliwahi kuuliza Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?, sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.

Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakil, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, alikuwa sio mtu wa mchezo mchezo!, aliwahi kusema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hilo sakata, aliyeshughulikiwa, sio rais wa Zanzibar pekee, aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar wa wakati huo, Wolfgang Dourado, pia alishughulikiwa kikamilifu!.

Wakati wa Bunge la Katiba, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, ambaye sasa ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, kwa jina maarufu la OMO, naye alileta za kuleta kule Dodoma, wakati wa upigaji kura kupitisha katiba pendekezwa. Sisi washauri wa bure tukashauri Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii

Kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria vilaza ni watu wabaya na hatari sana kwa taifa letu",

Ni wanasheria hawa ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!, wanasheria ndio the source ya mikataba yote mibovu and in fact ni wanasheria ndio the source of katiba hii mbovu iliyopo ambayo licha ya kuwa ni katiba mbovu, pia imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili HAPA

Kwa hoja hizo, hakuna ubishi kuwa tuna wanasheria vilaza wa ajabu, swali sasa jee serikali yetu pia ni serikali ya ajabu?, na Bunge letu Tukufu pia ni Bunge la ajabu kupitisha mambo ya ajabu ajabu?.

Hitimisho
Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.

Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala

Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri kuwa hata kama hii IGA ni tunabakwa, Mwanamke mgumba akibakwa, akapata ujauzito, atampenda mbakaji! Wajua Kuna Ndoa Halali, Batili na Batilifu?. Ndoa ya TPA na DPW, ni Ubakaji?. Wajua Ubakaji unaweza kuwa Halali?. IGA Batili Yaweza kuzaa HGA Halali?.
A Way Forward.
  1. First and foremost serikali ijibu kisheria hoja zote za kisheria zilizoibuliwa kupinga hii IGA, na sio kujibu hoja za kisheria kwa majibu ya kisiasa.
  2. Kwa vile hii sii mara ya kwanza, tumetunga sheria ipo halafu serikali yetu inatuletea mikataba kinyume cha sheria!, kama tumeona sheria hazifai, tuzibadili kwanza sheria ndipo tuingie mikataba.
  3. Kwa vile hii IGA imeisha sainiwa na kuridhiwa na Bunge letu, hii maana yake ni HGA inafuata. Nashauri hiyo HGA iwe as transparent as hii IGA ili tuone maoni ya wananchi yamejumuishwa.
  4. Imeelezwa itaundwa kampuni ya ubia na itasajiliwa Tanzania, kisha 35 shares zitakuwa floated for public. Hizo shares zikiuzwa kupitia soko la hisa, DSE, then watu wenye the purchasing power ni wale wale matajiri, nashauri hizo shares zihodhiwe na mifuko ya hifadhi za jamii ya NSSF na PSSSF, ili waitumie faida kuanzisha hifadhi ya jamii kwa wote.
  5. Tubadili sheria zetu, mikataba yote ya rasilimali za taifa liidhinishe na Bunge na sio kuridhiwa tuu.
  6. Bunge letu libadilike, liache kuwa ni Bunge rubber stamp la kupitisha tuu kitutusa kila kinacholetwa na serikali yetu mbele yake!. Sometimes serikali yetu inafanya madudu ! sasa Bunge linapoletewa madudu kama hili dubwana, au dubwasha na kulipitisha kitutusa, Bunge letu litakuwa na tofauti gani na Sultan Mangungo wa Msovero?.
  7. Bunge letu liache kuwa ni Bunge kibogoyo lisilo na meno!. Maadam sheria imelipa Bunge the power to review, then Bunge litimize wajibu wake kikamilifu.
  8. Wanasheria, tuheshimiane, na kuheshimu professionalism na wanataaluma manguli wabobezi na wabobevu na kuheshimu maoni ya vyama vya kitaaluma, kama TLS, hii itazuia kuitana vilaza na mbululaz!.
  9. Kwangu mimi hii IGA ya DPW na Bandari yetu ni issue ndogo!, kuna ma issues makubwa, muhimu zaidi kama ubatili ndani ya katiba yetu unaonyima haki Watanzania, watu wako kimya!, halafu issue ndogo hii ya Bandari kelele mpaka karibu mbinguni!.
  10. Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Paskali
Sikuwahi kusoma.hili andiko lako.

Nimelisoma, pia narufia kusoma ili nipate uelewa mpana kisha nizingatie maangalizo uliyoyatoa.

Je msimamo wako bado ni ule ule?
 
Wanabodi,
Mimi mwenzenu ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea pia kwa kujitolea, nimehudumu kwenye sekta ya habari kwa takriban zaidi ya miaka 30, hivyo jicho langu limeona mengi, linaona mengi, na litaendelea kuona mengi, hivyo kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi zinazo kwenda kwa jina la Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe msomaji!.

Angalizo.
Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo muhimu!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "Hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!". Swali ni Je Bunge letu nalo, licha kushehenezwa na wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu nalo pia ni Bunge la ajabu?, linaweje kupitisha na kuridhia vitu vya ajabu ajabu sana kama hii IGA ya DPW?. Na Serikali yetu pia, licha ya kuwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu, jee nayo pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya ajabu hivi ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective kisheria hata kwa Mwanafunzi wa sheria wa mwaka wa kwanza, vipengele vya hii IGA viliwezaje kupitishwa bila kuwa noted or detected na hii IGA ika sail through serikalini undetected na sasa ime sail through Bungeni the same?!. What type of HGA tunayo anticipates kutokana na IGA ya kihivi?.

Umuhimu wa Angalizo
Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, HAPA na HAPA Mhe. Mbunge kilaza mmoja, HAPA akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, akanishitaki kwa Spika, nikaitwa Dodoma kuhojiwa mbele ya kamati fulani!, HAPA nikaitika wito, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale!, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza popote ndio maana natoa angalizo hili mapema kabisa, hapa sijatoa statement yoyote ni nimeuliza tuu maswali!.

Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.

Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya hoja za kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Mawakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Joseph Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali.

Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.

Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba, kama tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa! HAPA

Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!. Hizi kelele za Watanzania kulalamikia IGA, mimi zikanishangaza HAPA

Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, Prof. Shivji, Prof. Anna Tibaijuka, Dr. Rugemeleza Nshala, na wengine wengi, ikakutwa ina matatizo lukuki, huku TLS wakiainisha kifungu kwa kifungu na kutoa mapendekezo ya namna ya kutatua, kwenye timu ya TLS, ilijumuisha Mwanasheria nguli number moja Tanzania wa Investment law, Dr. Hawa Senare, ambaye ni pia ni mhadhiri wa sheria, wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, halafu serikali wanatuletea wanasheria wa kawaida tuu kuja kujibu hoja nzito za kisheria!.

Majibu mepesi ya wanasheria hawa wa Government Team, yamepelekea akina sisi watu wa kuhoji, ku search majina yao kwenye mtandao wa TLS, wengine majina yao hayapo!. Hili la serikali kutuletea wanasheria wanaotoa majibu mepesi kwenye hoja za kisheria kumepelekea wanasheria hawa kuonekana kama vilaza fulani, na kitendo cha majina yao kutoonekana kwenye list ya wanasheria wanaotambulika rasmi, inawezekana hawa ni miongoni mwa wale wanasheria makaratasi, waliofeli LST, wala sio mawakili, inawezekaje mtu asiyetambuliwa na TLS kutuongozea timu za majadiliano ya government negotiation team ya hii IGA?!, unategemea nini?!. ( Hapa naomba mliosoma na wanasheria hawa kwenye LL.B, mjitokeze kututhibitishia hawa ni wahitimu kweli wa sheria, maana usije kuta tuna watu fake wamejipenyeza!).

Sasa Wanasheria hawa anaonekana kama vilaza fulani, wanapoibuka na kusema hii IGA ni safi, nzuri na haina matatizo yoyote!, hii ni kumaanisha, TLS na wanasheria manguli wote wanaosema hii IGA ni matatizo, ndio vilaza?!...kweli?!.

Mimi nami kama mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikatoa maoni yangu HAPA

Kule nyuma niliwahi kuuliza Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?, sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.

Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakil, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, alikuwa sio mtu wa mchezo mchezo!, aliwahi kusema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hilo sakata, aliyeshughulikiwa, sio rais wa Zanzibar pekee, aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar wa wakati huo, Wolfgang Dourado, pia alishughulikiwa kikamilifu!.

Wakati wa Bunge la Katiba, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, ambaye sasa ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, kwa jina maarufu la OMO, naye alileta za kuleta kule Dodoma, wakati wa upigaji kura kupitisha katiba pendekezwa. Sisi washauri wa bure tukashauri Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii

Kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria vilaza ni watu wabaya na hatari sana kwa taifa letu",

Ni wanasheria hawa ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!, wanasheria ndio the source ya mikataba yote mibovu and in fact ni wanasheria ndio the source of katiba hii mbovu iliyopo ambayo licha ya kuwa ni katiba mbovu, pia imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili HAPA

Kwa hoja hizo, hakuna ubishi kuwa tuna wanasheria vilaza wa ajabu, swali sasa jee serikali yetu pia ni serikali ya ajabu?, na Bunge letu Tukufu pia ni Bunge la ajabu kupitisha mambo ya ajabu ajabu?.

Hitimisho
Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.

Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala

Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri kuwa hata kama hii IGA ni tunabakwa, Mwanamke mgumba akibakwa, akapata ujauzito, atampenda mbakaji! Wajua Kuna Ndoa Halali, Batili na Batilifu?. Ndoa ya TPA na DPW, ni Ubakaji?. Wajua Ubakaji unaweza kuwa Halali?. IGA Batili Yaweza kuzaa HGA Halali?.
A Way Forward.
  1. First and foremost serikali ijibu kisheria hoja zote za kisheria zilizoibuliwa kupinga hii IGA, na sio kujibu hoja za kisheria kwa majibu ya kisiasa.
  2. Kwa vile hii sii mara ya kwanza, tumetunga sheria ipo halafu serikali yetu inatuletea mikataba kinyume cha sheria!, kama tumeona sheria hazifai, tuzibadili kwanza sheria ndipo tuingie mikataba.
  3. Kwa vile hii IGA imeisha sainiwa na kuridhiwa na Bunge letu, hii maana yake ni HGA inafuata. Nashauri hiyo HGA iwe as transparent as hii IGA ili tuone maoni ya wananchi yamejumuishwa.
  4. Imeelezwa itaundwa kampuni ya ubia na itasajiliwa Tanzania, kisha 35 shares zitakuwa floated for public. Hizo shares zikiuzwa kupitia soko la hisa, DSE, then watu wenye the purchasing power ni wale wale matajiri, nashauri hizo shares zihodhiwe na mifuko ya hifadhi za jamii ya NSSF na PSSSF, ili waitumie faida kuanzisha hifadhi ya jamii kwa wote.
  5. Tubadili sheria zetu, mikataba yote ya rasilimali za taifa liidhinishe na Bunge na sio kuridhiwa tuu.
  6. Bunge letu libadilike, liache kuwa ni Bunge rubber stamp la kupitisha tuu kitutusa kila kinacholetwa na serikali yetu mbele yake!. Sometimes serikali yetu inafanya madudu ! sasa Bunge linapoletewa madudu kama hili dubwana, au dubwasha na kulipitisha kitutusa, Bunge letu litakuwa na tofauti gani na Sultan Mangungo wa Msovero?.
  7. Bunge letu liache kuwa ni Bunge kibogoyo lisilo na meno!. Maadam sheria imelipa Bunge the power to review, then Bunge litimize wajibu wake kikamilifu.
  8. Wanasheria, tuheshimiane, na kuheshimu professionalism na wanataaluma manguli wabobezi na wabobevu na kuheshimu maoni ya vyama vya kitaaluma, kama TLS, hii itazuia kuitana vilaza na mbululaz!.
  9. Kwangu mimi hii IGA ya DPW na Bandari yetu ni issue ndogo!, kuna ma issues makubwa, muhimu zaidi kama ubatili ndani ya katiba yetu unaonyima haki Watanzania, watu wako kimya!, halafu issue ndogo hii ya Bandari kelele mpaka karibu mbinguni!.
  10. Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Mkuu Paschal Mayalla, kati ya wanasheria na waandishi wa habari wagumu kuwaelewa, wewe ni mmoja wao!! Kwa maneno yako mwenyewe wakati debate inapamba Moto, uliilinganisha hii IGA na kishika uchumba. Nilikuona mwanasheria wa ajau kama unavyowashangaa wanasheria wengine walihusika kipindi cha kuisaini hadi kuipitisha bungeni.

Msimamo wako ni msimamo wa kila Mtanzania anaependa maendeleo ya nchi hii kwamba bandari zetu ziendeshwe kwa ubia na wawekezaji hilo halina ubishi. Lakini wawekezaji wababaishaji na waporaji kama DPW, natofautiana na wewe hata kama hiyo IGA itabadirishwa. Nia yao mbaya imeonyeshwa kwenye huo mkataba ambao mnauita makubaliano. Bila kuangalia kesi lukuki za hii kampuni kote duniani, huo mkataba ambao naamini waliutayarisha wao, inatosha kabisa kutokuaamini.

Rai yangu kwako ndugu Mayalla, wewe ni mwandishi wa habari wa. muda mrefu, chukua upande ili msimamo wako ueleweke. Hii ya kuandika makala nyingi na ndefu zinazopingana kutokana na upepo wa kisiasa haikupi heshima kama mwanasheria. Lugha yako inaonyesha wazi kuna kitu unakitafuta. Si mbaya kutafuta lakini kuwa mkweli na mtu mwenye msimamo kutakuongezea heshima.
 
Hivi unawezaje kupata usingizi kwa mashambulizi haya. Unajitahidi sana lakini kila nikipita mitaa hii naona unashambuliwa tu.
Japo nina ngozi ngumu kama gamba la kobe, lakini ni kweli sipati usingizi ndio maana niko macho mpaka saa hizi
P
 
Japo nina ngozi ngumu kama gamba la kobe, lakini ni kweli sipati usingizi ndio maana niko macho mpaka saa hizi
P
Pole mkuu, angalia afya yako, maana dunia hii hata ukifanya vizuri vipi binadamu huwa ni wale wale hatubadiriki. Nadhani kwa umri wako umeshaona mengi sana yasiyopendeza na yenyekupendeza. Umejifunza miaka mingi kukosoa mifumo yetu hii unaambulia matusi na masimango,hata kama ushauri wako uliikoa Dunia na janga la maangamizo.
Nafahamu uandishi ndio unakupa mkate wako wa kila siku, lakini labda ungekuwa ukiishatupa jiwe gizani nawe unaendelea na maisha mengine. Hii kutujibu sisi nadhani itakuletea stress bure, na magonjwa ya moyo.
 
Pole mkuu, angalia afya yako, maana dunia hii hata ukifanya vizuri vipi binadamu huwa ni wale wale hatubadiriki. Nadhani kwa umri wako umeshaona mengi sana yasiyopendeza na yenyekupendeza. Umejifunza miaka mingi kukosoa mifumo yetu hii unaambulia matusi na masimango,hata kama ushauri wako uliikoa Dunia na janga la maangamizo.
Nafahamu uandishi ndio unakupa mkate wako wa kila siku, lakini labda ungekuwa ukiishatupa jiwe gizani nawe unaendelea na maisha mengine. Hii kutujibu sisi nadhani itakuletea stress bure, na magonjwa ya moyo.
Asante sana nitazingatia ushauri na baada ya kujibu post hii nimezima data kutafuta usingizi.

P
 
Asante sana nitazingatia ushauri na baada ya kujibu post hii nimezima data kutafuta usingizi.

P
Pumzika mkuu, hutobadirisha misimamo ya watu kwa kuandika au kuzungumza hata kama ungekuwa na sauti kali au nene kama simba. Toa mchango wako, na endelea na maisha mengine.
Hutowea kushinda kwa kubishana humu. Humu tupo watu wa kila namna.
Lala pumzika na shemeji, akifurahi moyo wako unaimarika. Hata ukipumzika vizuri utaamka uko vizuri, na afya yako itaimarika.
Ubarikiwe sana.
 
Nimeandika nimeona Bora nifute.
Kwa Bei rahisi ngoja niseme kidogo tu.

Raisi wa Marekani Donald Trump na Mchungaji Christopher Mtikila walieleza kila kitu kuhusu nchi za Kiafrika na Waafrika.

Hao walisema hivyo kwakuwa ni watu walio shika mafundisho ya Dini zao vizuri.

Sisi Waafrika ni Bora Kama tungekuwa tunaendelea kutawaliwa na Wazungu kwa mkataba wa miaka miambili na hata zaidi hadi tustaarabike.

Ni kwamba Waafrika Weusi bado hatujafikia hatua ya kuwa Binadamu kamili aliye staarabika.

Bado tuna Unyani mwingi sana.
Hata tuwe na PhD mia hali ni hiyo hiyo.
Tazama mambo anayoyafanya Profesa mmoja maarufu wa chama flani cha upinzani.
Huyo ndio Profesa Mweusi mahili sana katika fani yake.

Muweke Mtu yeyote Mweusi pale kwenye kiti cha Enzi mambo ni Yale Yale au zaidi ya Yale

Ki ukweli hatuwezi kujitawala.

Nenda Kongo, Somalia, Sudani, Nigeria, Msumbiji, na nchi nyingine
wanazokaa Waafrika Weusi mambo ni Yale Yale.

Huwa najisikia fedheha kubwa sana kuitwa mtu mweusi mbele ya Wazungu kwa Jambo hilo tu.

Hadi muda huu kuitwa "Black Man" ni tusi kubwa sana.

Jiulize ni kwa nini liwe tusi, hali ya kuwa rangi haina shida yoyote.
 
Back
Top Bottom