ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,054
- 49,742
Kwamba Katiba(IGA) ndio Ina shida sio kanuni(HGA) hivyo Serikali imedanganya Wananchi,asisitiza Maandamano.
--
"Sasa Juzi (Oktoba 22.2023) Serikali inasema imesikia maoni ya Wananchi na kurekebisha Mkataba (Mkataba wa Bandari), Serikali imewadanganya Wananchi kwa sababu moja IGA ndio iliyokuwa inalalamikiwa na tuligusa vipengele vyenye mapungufu ikiwemo uwezo wa Dubai, kukiukwa sheria za ndani (Tanzania), kutwaa au kuweka mali chini ya mikono ya kigeni bila ukomo unaoeleweka nk, Sasa leo Serikali inazungumzia Host Government Agreement (HGA) halafu inawadanganya Wananchi kana kwamba imerekebisha IGA hiyo si kweli IGA na HGA ni vitu viwili tofauti na HGA haiwezi kukiuka masharti ya IGA kwasababu IGA ndio Mkataba Mama, IGA ni Katiba na HGA ni kanuni sasa ukitwambia HGA ina miaka 30 je IGA ina miaka mingapi" -Mwabukusi Wakili wa Kujitegemea Boniface Mwabukusi amezungumza alipokuwa akifanya Mahojiano maalumu na Jambo TV Ofisini kwake Jijini Mbeya Leo, Jumanne Oktoba 24.2023.
Nini maoni Yako?
--
"Sasa Juzi (Oktoba 22.2023) Serikali inasema imesikia maoni ya Wananchi na kurekebisha Mkataba (Mkataba wa Bandari), Serikali imewadanganya Wananchi kwa sababu moja IGA ndio iliyokuwa inalalamikiwa na tuligusa vipengele vyenye mapungufu ikiwemo uwezo wa Dubai, kukiukwa sheria za ndani (Tanzania), kutwaa au kuweka mali chini ya mikono ya kigeni bila ukomo unaoeleweka nk, Sasa leo Serikali inazungumzia Host Government Agreement (HGA) halafu inawadanganya Wananchi kana kwamba imerekebisha IGA hiyo si kweli IGA na HGA ni vitu viwili tofauti na HGA haiwezi kukiuka masharti ya IGA kwasababu IGA ndio Mkataba Mama, IGA ni Katiba na HGA ni kanuni sasa ukitwambia HGA ina miaka 30 je IGA ina miaka mingapi" -Mwabukusi Wakili wa Kujitegemea Boniface Mwabukusi amezungumza alipokuwa akifanya Mahojiano maalumu na Jambo TV Ofisini kwake Jijini Mbeya Leo, Jumanne Oktoba 24.2023.
Nini maoni Yako?