"IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?

Pumzika mkuu, hutobadirisha misimamo ya watu kwa kuandika au kuzungumza hata kama ungekuwa na sauti kali au nene kama simba. Toa mchango wako, na endelea na maisha mengine.
Hutowea kushinda kwa kubishana humu. Humu tupo watu wa kila namna.
Lala pumzika na shemeji, akifurahi moyo wako unaimarika. Hata ukipumzika vizuri utaamka uko vizuri, na afya yako itaimarika.
Ubarikiwe sana.
Amen, nimefarijika sana na ushauri huu na haswa kuhusu ile part ya shemeji yako!.
P
 
Amen, nimefarijika sana na ushauri huu na haswa kuhusu ile part ya shemeji yako!.
P
Karibu sana kaka, maisha haya mafupi sana ,tujaribu kubalance. Ukishupaa shingo na vidole humu utajikuta hufanyi lolote lako binafsi, na hutokuwa na muda na mkeo au familia yako kwa ujumla.
Enjoy your life brother usizijali sana kelele za humu. Nafahamu kuna wakati unatoa majibu ya ufasaha unadhani wata ridhika nayo, lakini wanakuja kivingine. Wewe ni mmojo humu tuko wengi, hutoweza ku satisfy watu humu kwa majibu.
Andika atakaye soma na kuelewa aelewe, asiyetaka aache.
tafuta kitabu kimoja kinaitwa " The COURAGE TO BE DISLIKED. Tafuta amani ya moyo wako, achana na sisi usiotuona wala kutufahamu.
 
Wanabodi,
Mimi mwenzenu ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea pia kwa kujitolea, nimehudumu kwenye sekta ya habari kwa takriban zaidi ya miaka 30, hivyo jicho langu limeona mengi, lizania.

Paskali.
Ukisafiri wakati haya yanaendelea AUILE KAULI YA MAREHEMU JPM YA ASILI YA JINA LAKO NDO IMERUDI
 
Ukisafiri wakati haya yanaendelea AUILE KAULI YA MAREHEMU JPM YA ASILI YA JINA LAKO NDO IMERUDI
Naona Rais Magufuli alikuwa sawa alipo.uita Mr Njaa, he is using too much effort for nonissues. Magufuli angekuwapo angetupa translation ya Luhaga Mpina - naye anaenda hukohuko. Wameona kuna vacancy CHADEMA wanachangamkia tenda.
 
Watu Waafrika Weusi bado hawajastaarabika.
Wanaweza kufanya chochote wakati wowote bila kuthamini kizazi cha baadae.
Wao wanacho thamini ni Ugali tu. Ugali wao wa leo, TU Basi.
Case Closed.
 
Back
Top Bottom