Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,558
- 113,747
- Thread starter
- #181
Amen, nimefarijika sana na ushauri huu na haswa kuhusu ile part ya shemeji yako!.Pumzika mkuu, hutobadirisha misimamo ya watu kwa kuandika au kuzungumza hata kama ungekuwa na sauti kali au nene kama simba. Toa mchango wako, na endelea na maisha mengine.
Hutowea kushinda kwa kubishana humu. Humu tupo watu wa kila namna.
Lala pumzika na shemeji, akifurahi moyo wako unaimarika. Hata ukipumzika vizuri utaamka uko vizuri, na afya yako itaimarika.
Ubarikiwe sana.
P