Dkt Slaa na wenzake wanashindwa kuelewa IGA ya DPW haiwezi kuwepo bila mabadiliko ya sheria yetu ya Natural Wealth and Resources Permanent Sovereignty

Dr Akili

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
4,953
4,326
Mikataba ya hadhi ya IGA (Intergovernmental Agreement) au BIT (Bilateral International Treaties) au MIT (Multilateral international Treaties) ni lazima ziendane na sheria za nchi husika vinginevyo ni null and void de novo.

Hivyo kwa kuwa mkataba kati ya Dubai Emirate na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulikuwa unapingana na sheria yetu ya Natural Wealth And Resources Permanent Sovereignty Act No. 15 of 2017, ili kuwa valid ulihitaji Tanzania kufanya mabadiliko ya sheria yake hiyo kuondoa bandari zetu (maritine spaces) kwenye orodha ya Natural Wealth and Natural Resources za nchi yetu.

Ndiyo maana serikali ilikuwa imepeleka musuada bungeni wa kufanyia marekebisho sheria hiyo inayozuia mkataba wa DP-WORLD kutekelezeka. Bahati nzuri baada ya kelele nyingi za Watanzania serikali iliondoa musuada huo na hivyo kuufanya mkataba huo wa IGA kuwa batili.

Akina Dr Slaa na wenzake wanajifanya hawaelewi jambo hili kwamba hiyo IGA haipo, ilishatupwa technically kisheria kwenye dustbin. Kilichopo ni hizi HGA, Concession Contracts and Lease Agreements. Kwa maelezo ya serikali mikataba hii imezingatia sana sheria zetu za Natural Wealth and Resources, sheria ya manunuzi, Public Private Parternaship na kadhalika. Serikali itakuwa na undiluted shares za asilima 35% kwenye kampuni hiyo na kadhalika. Kipi sasa akina Dr Slaa wanaendelea kukipigia kelele na kutaka maandamano yasiyo na kikomo nchi nzima?

 
Hii sheria ya ulinzi wa rasilimali zetu inapaswa kuingizwa kwenye katiba ya nchi yetu kama tulivyofanya kwenye sheria ya kuhamishia makao makuu ya nchi Dodoma.

Hii itawafanya wanjaja kuwa ngumu kwao kuibadisha sheria hii. Enzi ya serikali ya Mkapa haingaliwezekana kuimilikisha KADEKO uwanja wetu wa KIA na airspace ya radius ya 240 km yenye centre KIA.
 

Attachments

  • Natural-Wealth-and-Resources-Permanent-Sovereignty-Act-2017 (2).pdf
    738.2 KB · Views: 1
Hivyo kwa kuwa mkataba kati ya Dubai Emirate na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulikuwa unapingana na sheria yetu ya Natural Wealth And Resources Permanent Sovereignty Act No. 15 of 2017, ili kuwa valid ulihitaji Tanzania kufanya mabadiliko ya sheria yake hiyo kuondoa bandari zetu (maritine spaces) kwenye orodha ya Natural Wealth and Natural Resources za nchi yetu.

Ndiyo maana serikali ilikuwa imepeleka musuada bungeni wa kufanyia marekebisho sheria hiyo inayozuia mkataba wa DP-WORLD kutekelezeka. Bahati nzuri baada ya kelele nyingi za Watanzania serikali iliondoa musuada huo na hivyo kuufanya mkataba huo wa IGA kuwa batili.
Huku kote upo sahihi, ila unajiondoa akili kichwani na haya hapa chini:
Akina Dr Slaa na wenzake wanajifanya hawaelewi jambo hili kwamba hiyo IGA haipo
Samia na genge lake hawajasema ule mswada ulioondolewa bungeni hautawasilishwa huko tena. Waliuondoa kwa aibu, na hawatasita kuurudisha wakati wowote, na hasa kwa bahati mbaya sana kwa nchi yetu wakifanikiwa kuharibu uchaguzi 2025 na kudai wamechaguliwa na wananchi.

Kwa hiyo, akina Slaa, Mwabukuzi na Mdude wanaona mbali zaidi yako.
 
Mikataba ya hadhi ya IGA (Intergovernmental Agreement) au BIT (Bilateral International Treaties) au MIT (Multilateral international Treaties) ni lazima ziendane na sheria za nchi husika vinginevyo ni null and void de novo.

Hivyo kwa kuwa mkataba kati ya Dubai Emirate na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulikuwa unapingana na sheria yetu ya Natural Wealth And Resources Permanent Sovereignty Act No. 15 of 2017, ili kuwa valid ulihitaji Tanzania kufanya mabadiliko ya sheria yake hiyo kuondoa bandari zetu (maritine spaces) kwenye orodha ya Natural Wealth and Natural Resources za nchi yetu.

Ndiyo maana serikali ilikuwa imepeleka musuada bungeni wa kufanyia marekebisho sheria hiyo inayozuia mkataba wa DP-WORLD kutekelezeka. Bahati nzuri baada ya kelele nyingi za Watanzania serikali iliondoa musuada huo na hivyo kuufanya mkataba huo wa IGA kuwa batili.

Akina Dr Slaa na wenzake wanajifanya hawaelewi jambo hili kwamba hiyo IGA haipo, ilishatupwa technically kisheria kwenye dustbin. Kilichopo ni hizi HGA, Concession Contracts and Lease Agreements. Kwa maelezo ya serikali mikataba hii imezingatia sana sheria zetu za Natural Wealth and Resources, sheria ya manunuzi, Public Private Parternaship na kadhalika. Serikali itakuwa na undiluted shares za asilima 35% kwenye kampuni hiyo na kadhalika. Kipi sasa akina Dr Slaa wanaendelea kukipigia kelele na kutaka maandamano yasiyo na kikomo nchi nzima?
Mkuu Dr Akili, naunga mkono hoja, kwa mapungufu haya ya kisheria ya ile IGA Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! kilichofanyika ni hiki Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu, licha ya mapungufu, HGA yake inakuja. Ombi kwa Serikali yetu sikivu, tunaomba Maximum Transparency kwenye HGA hii inamaanisha ni kweli ile IGA imewekwa pembeni!, kinachohitajika sasa ni kwa serikali yetu kuusema ukweli huu hadharani, huu mjadala uishe DPW apige kazi kwa amani.
P
 
Mikataba ya hadhi ya IGA (Intergovernmental Agreement) au BIT (Bilateral International Treaties) au MIT (Multilateral international Treaties) ni lazima ziendane na sheria za nchi husika vinginevyo ni null and void de novo.

Hivyo kwa kuwa mkataba kati ya Dubai Emirate na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulikuwa unapingana na sheria yetu ya Natural Wealth And Resources Permanent Sovereignty Act No. 15 of 2017, ili kuwa valid ulihitaji Tanzania kufanya mabadiliko ya sheria yake hiyo kuondoa bandari zetu (maritine spaces) kwenye orodha ya Natural Wealth and Natural Resources za nchi yetu.

Ndiyo maana serikali ilikuwa imepeleka musuada bungeni wa kufanyia marekebisho sheria hiyo inayozuia mkataba wa DP-WORLD kutekelezeka. Bahati nzuri baada ya kelele nyingi za Watanzania serikali iliondoa musuada huo na hivyo kuufanya mkataba huo wa IGA kuwa batili.

Akina Dr Slaa na wenzake wanajifanya hawaelewi jambo hili kwamba hiyo IGA haipo, ilishatupwa technically kisheria kwenye dustbin. Kilichopo ni hizi HGA, Concession Contracts and Lease Agreements. Kwa maelezo ya serikali mikataba hii imezingatia sana sheria zetu za Natural Wealth and Resources, sheria ya manunuzi, Public Private Parternaship na kadhalika. Serikali itakuwa na undiluted shares za asilima 35% kwenye kampuni hiyo na kadhalika. Kipi sasa akina Dr Slaa wanaendelea kukipigia kelele na kutaka maandamano yasiyo na kikomo nchi nzima?
Ni kushukuru kwa ufafanuzi huu! Angalau mama kawapiga chenga manyang’u waliotaka kutuingiza Mkenge wa kifisadi!
 
Hii sheria ya ulinzi wa rasilimali zetu inapaswa kuingizwa kwenye katiba ya nchi yetu kama tulivyofanya kwenye sheria ya kuhamishia makao makuu ya nchi Dodoma.

Hii itawafanya wanjaja kuwa ngumu kwao kuibadisha sheria hii. Enzi ya serikali ya Mkapa haingaliwezekana kuimilikisha KADEKO uwanja wetu wa KIA na airspace ya radius ya 240 km yenye centre KIA.
Huyo alikuwa ni Anna Mkapa na Genge lake
 
Samia na genge lake hawajasema ule mswada ulioondolewa bungeni hautawasilishwa huko tena. Waliuondoa kwa aibu, na hawatasita kuurudisha wakati wowote, na hasa kwa bahati mbaya sana kwa nchi yetu wakifanikiwa kuharibu uchaguzi 2025 na kudai wamechaguliwa na wananchi.

Kwa hiyo, akina Slaa, Mwabukuzi na Mdude wanaona mbali zaidi yako.
Naamini sasa kazi ya akina salaa etc ni kuelimisha Umma juu ya hii sheria na kulazimisha ili iingizwe katika katiba wakati huu
 
Mkuu Dr Akili, naunga mkono hoja, kwa mapungufu haya ya kisheria ya ile IGA Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! kilichofanyika ni hiki Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu, licha ya mapungufu, HGA yake inakuja. Ombi kwa Serikali yetu sikivu, tunaomba Maximum Transparency kwenye HGA hii inamaanisha ni kweli ile IGA imewekwa pembeni!, kinachohitajika sasa ni kwa serikali yetu kuusema ukweli huu hadharani, huu mjadala uishe DPW apige kazi kwa amani.
P
Support
 
Ni kushukuru kwa ufafanuzi huu! Angalau mama kawapiga chenga manyang’u waliotaka kutuingiza Mkenge wa kifisadi!
EEEeenHeeeeee!
Huyo mama mwenyewe ni mshiriki mkuu kati ya hayo "manyang'u" unayo yasema wewe. Utakuwa na sababu zako maalum za kumweka pembeni yeye.
 
Sasa umejuaje ni uongo kama hujaelewa

Bunge lilishindwa kutafsiri KADCO inamilikiwa na nani sasa unadhani wanaelewa DP World ni nini hasa?!!
Uongo ni huo mstari nilio'quote'; kuto eleweka ni kuhusu uhusiano wa huo mstari na hayo uliyo andika mwanzo.

"IGA haipo" (?)

"Labda unazungumzia kenya ambako wabunge wote ni lawyers" (uongo ni huu hapa)
 
EEEeenHeeeeee!
Huyo mama mwenyewe ni mshiriki mkuu kati ya hayo "manyang'u" unayo yasema wewe. Utakuwa na sababu zako maalum za kumweka pembeni yeye.
Simweki pembeni ila uzuri wake ni kuwa kidogo ana chembe ya guilty conscience kidogo katika Moyo wake kwa vile ni mama. After all haijatokea Mzanzibari yeyote kuwa na huruma ya masuala ya Bara.

Nimeipenda leo hii analysis na ndicho akina Tundu Lissu wanapaswa kufanya ili liingizwe katika katiba.
 
Samia na genge lake hawajasema ule mswada ulioondolewa bungeni hautawasilishwa huko tena. Waliuondoa kwa aibu, na hawatasita kuurudisha wakati wowote,
Hilo halitaweza kutokea. Kelele zile zilizopigwa na Watanzania hadi Maaskofu wa TEC hawatapenda zirejee mara ya pili. Wamejifunza ya kutosha kwamba Watanzania wa sasa wako macho kwenye rasilimali zao.


Uwepo wa Tanganyika. Mara hii hili nalo umelisahau?
Hivi ni kwa nini unalipenda sana hilo jina la Tanganyika tulilopewa na mkoloni Mwingereza? Yule mkoloni Mujerumani alituita Deutsche Ouster Africa. Hata muungano wetu na Zanzibar ukivunjika, kamwe hatutakubali majina hayo waliotuita wakoloni hao yarejee. Tutatafuta jina letu wenyewe zuri. Tunaweza kuendelea na jina la Tanzania. Au tukajiita Nyanyembe au Msimbazi na kadhalika.


hii inamaanisha ni kweli ile IGA imewekwa pembeni!, kinachohitajika sasa ni kwa serikali yetu kuusema ukweli huu hadharani, huu mjadala uishe DPW apige kazi kwa amani.
P
Unajua ndugu yangu, huyu Dubai Emirate tumempiga kipigo kikubwa sana cha kiwango cha 5G kwenye huo mkataba wake wa IGA. Tumemfanya kuwa mdogo kama priton. Sasa ili kumtunzia heshima yake na urafiki wetu, si jambo la busara kutamba hadharani kwamba Tanzania imempiga 5G Dubai Emirate. Sisi ni waungwana kama walivyo wananchi walipomtandika 5G rafiki yao hivi karibuni.

Huyo alikuwa ni Anna Mkapa na Genge lake
Ni kweli kabisa. Anna na Mramba ndio walikuwa wapigaji enzi hizo, walijimilikisha hadi Liganga na Mchuchuma kwenye chuma na makaa ya mawe yetu. William Benjamin Mkapa, mungoni, yeye alikuwa mcha Mungu: walitumia tu jina lake kufanya upigaji huo.

Kwa muamko huu wa Watanzania wa sasa hiyo chuma ya Mchuchuma wataanza kunufaika nayo hivi karibuni na kuachana na biashara ya vyuma chakafu.


Nimeipenda leo hii analysis na ndicho akina Tundu Lissu wanapaswa kufanya ili liingizwe katika katiba.
Focus ya akina Tundu Lissu ni katiba mpya itakayoweza kuwaingiza ikulu.

Hawataweza kupigania sheria hii ya ulinzi wa maliasili za taifa kwani haina benefiti kwao. Na hii si msimamo wa Tundu Lissu pekee bali ilikuwa ni msimamo wa viongozi wengi serikalini kwa miaka mingi. Kumbuka hii sheria iliyoletwa bungeni na akina Prof Kabudi kwa hati ya dharura wakati wa utawala wa Magufuli, ilikuwa ni copy and paste ya Azimio la General Assembly la Umoja wa Mataifa la tarehe 14 December 1962 lililosema:

The Resolution 1803 (XVII) of the General Assembly provides that states and international organizations shall strictly and conscientiously respect the Sovereignty of peoples and nations over their natural wealth and resources in accordance with the Charter of the United Nations and the principles the principles contained in the Resolution.

Tanzania ni mmoja wa nchi zilizoridhia azimio hilo la Umoja wa Mataifa tangia miaka hiyo. Lakini kwa sababu zisizojulikana liliwekwa kapuni na wala halikuingizwa kwenye katiba yetu ya mwaka 1977 na ile ya mwaka 1984 kama tulivyofanya kwenye maazimio mengine muhimu ya Umoja wa Mataifa hususani lile la Haki za Binadamu.

 
Ni kweli kabisa. Anna na Mramba ndio walikuwa wapigaji enzi hizo, walijimilikisha hadi Liganga na Mchuchuma kwenye chuma na makaa ya mawe yetu. William Benjamin Mkapa, mungoni, yeye alikuwa mcha Mungu: walitumia tu jina lake kufanya upigaji huo.
Nakumbuka alipopata taarifa kuwa wamefungua kampuni inayoitwa ABEM, Mzee Nkapa akang'aka na kusema 'mmenimaliza'. Akawaeleza kwa ukali kuwa waondoe jina lake. Wakatoa. Ila kwa bahati mbaya kampuni ikianzishwa huwa nyaraka kama hizi hazifutwi. Ndo maana wabaya wake kila wakati walitumia ile hati ya kwanza na bila kusema kuwa ili huishwa kwa kuondoa jina lake siku ya pili.

Anna Mungu anamuona. Na kweli alimuumiza sana - KADCO etc
 
Mikataba ya hadhi ya IGA (Intergovernmental Agreement) au BIT (Bilateral International Treaties) au MIT (Multilateral international Treaties) ni lazima ziendane na sheria za nchi husika vinginevyo ni null and void de novo.

Hivyo kwa kuwa mkataba kati ya Dubai Emirate na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulikuwa unapingana na sheria yetu ya Natural Wealth And Resources Permanent Sovereignty Act No. 15 of 2017, ili kuwa valid ulihitaji Tanzania kufanya mabadiliko ya sheria yake hiyo kuondoa bandari zetu (maritine spaces) kwenye orodha ya Natural Wealth and Natural Resources za nchi yetu.

Ndiyo maana serikali ilikuwa imepeleka musuada bungeni wa kufanyia marekebisho sheria hiyo inayozuia mkataba wa DP-WORLD kutekelezeka. Bahati nzuri baada ya kelele nyingi za Watanzania serikali iliondoa musuada huo na hivyo kuufanya mkataba huo wa IGA kuwa batili.

Akina Dr Slaa na wenzake wanajifanya hawaelewi jambo hili kwamba hiyo IGA haipo, ilishatupwa technically kisheria kwenye dustbin. Kilichopo ni hizi HGA, Concession Contracts and Lease Agreements. Kwa maelezo ya serikali mikataba hii imezingatia sana sheria zetu za Natural Wealth and Resources, sheria ya manunuzi, Public Private Parternaship na kadhalika. Serikali itakuwa na undiluted shares za asilima 35% kwenye kampuni hiyo na kadhalika. Kipi sasa akina Dr Slaa wanaendelea kukipigia kelele na kutaka maandamano yasiyo na kikomo nchi nzima?

Diaspora wanawasukuma akina Dr Slaa na wexake kama walevi vile, na wenyewe kwasbabu ya njaa na tamaa yanakwenda tu kama mang'ombe
 
Back
Top Bottom