Pasco alipigwa changa la macho, eti nilipangiwa kiti nyuma, khaa! Katibu Mkuu?
Pasco alipigwa changa la macho, eti nilipangiwa kiti nyuma, khaa! Katibu Mkuu?
kwani hawa waandishi walioandika hii habari wanatofauti gani na Pasco? na isitoshe hakuna sehemu waliomhoji dk Slaa hapo
Hawa jamaa wanaweza kuwa ma-Salva 2015!Hilo nakubali, ni heri hata wangeipeleka hoja mchanganyiko bana.
Maybe mods wana sababu nzuri na "madhali wamekabidhiwa rungu, tuombe tu Mungu wawe na akili timamu."
Kuna threads kibao ziko Sisa na ni waay more "chity chaty" than this one
Especially with the fact that Pasco alimuhoji Dr Slaa, mambo mengine mnamwaribia Dr badala ya kumjengea.
Hilo nakubali, ni heri hata wangeipeleka hoja mchanganyiko bana.
Maybe mods wana sababu nzuri na "madhali wamekabidhiwa rungu, tuombe tu Mungu wawe na akili timamu."
Kuna threads kibao ziko Sisa na ni waay more "chity chaty" than this one
Especially with the fact that Pasco alimuhoji Dr Slaa, mambo mengine mnamwaribia Dr badala ya kumjengea.
Biig Tyme!Huyu Mod aliyeihamishia Chit Chat aliboogie
mkuu, nadhani hapo penye bold ndiopenye majibu sahihi................
lakini naomba nikuulize, ....................... ni kwa nini unadhani dr ndiye kasusa na hudhani hata kidogo kuwa (huenda) jk kaambia watu wake kuwa hataki kumshika mkono huyo mtu???...................... nakuomba ujaribu kuwa neutral kidogo ili tupate habari isiyoegemea upande wowote..................
pole na hekaheka za ifakara mkuu....................... RIP regia.......................
Slaa mzee wa visasi, chuki na fitna..
nashukuru angalau kamtambua kwamba JK ni rais, kajifunza mengi Ifakara naamini akirudi Ifakara hatakuwa tena yule Dk Slaa tunaemjua, yaani No RESEARCH, NO EVIDANCE
Update.
Nimekuta na Dr. Slaa mahali na kupata fursa ya kumuuliza yale maswali yangu yaliyobakia.
Amenithibitishia kuwa hajawahi kumkacha Jk hata mara moja, bali imekuwa ikitokea by chances tuu hawajakutana!,
Hivyo ile dhana yangu ya muendelezo wa misuso nimeifuta.
Asanteni kwa kunielewa!.
Pasco!.