GE2025 If not lip services, Lissu anaachiwa, Chadema inashiriki uchaguzi, TAL Mgombea Urais, tunafanya uchaguzi mkuu huru na wa haki kweli

GE2025 If not lip services, Lissu anaachiwa, Chadema inashiriki uchaguzi, TAL Mgombea Urais, tunafanya uchaguzi mkuu huru na wa haki kweli

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Wanabodi
Kufuatia mazungumzo ya rais wa TLS juzi kuomba kuonana na Rais Samia,kumuomba pamoja na mambo mengine,ni kuomba Lissu aachiwe,kanuni za uchaguzi zirekebishwe,Chadema ishiriki uchaguzi.

Kiukweli,sijawahi kuona rais msikivu kama Samia!,siku ya Jumanne mtu aombe kumuona rais,kesho yake Jumatano nafasi ikapatikana Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rais Samia ni msikivu, apewe maua yake. Vipi Serikali yake, Bunge na mahakama ni wasikivu? Kama sio inamanisha

Siku zote nimekuwa nikilalamika humu kuwa wasaidizi wa Rais Samia sheria hawamsaidii,wanamuogopa na kushindwa kumwambia ukweli,hii kesi ya uhaini ya Lissu ni hakuna kitu pale! Pre GE2025 - Wazalendo Wapenda Haki, Msiwe na Wasiwasi, Uhaini ni Matendo na Mipango Mkakati wa Kuutenda, Sio Maneno!, Maneno ni Sedition tuu na Sio Treason!

TLS ni wasaidizi wa Samia wa sheria,sisi TLS hatumuogopi Samia hivyo nilishauri tumweleze ukweli Rais Samia Mgeni Rasmi AGM ya TLS: Wanasheria Tumweleze Ukweli Kuhusu Ubatili wa Katiba Yetu na Sheria Zetu, Turudishe Haki Kuu ya Msingi

Jana hili limetokea kama zali, TLS imekutana na Samia,na tumemweleza hili la Lissu Rais wa TLS: Tumezungumza mengi na Rais Samia

Kama hoja hizi za TLS ni za kweli, na sio Lip Services, then Tundu Lissu anakwenda kuachiwa, kanuni za uchaguzi zinarejewa, Chadema inafuta NRNE ,Inashiriki Uchaguzi, TAL Mgombea Urais wa Chadema, Tunafanya Uchaguzi Mkuu Huru na wa Haki Kweli!

NB:Angalizo,isije kuwa TLS wamepigwa tuu sound,lip services!Je, kuna uwezekano baadhi ya Viongozi wetu wanatoa baadhi ya Ahadi kwa "Paying lip Services"?

Hili la watu kupigwa sound, niliwahi kumshauri Mama Mama don't preach. I think we've had enough of Preaching about law, justice & human rights. Would you Please just Practice what you Preach?

Pia tulimsisitiza Mama Ombi kwa Rais Samia, tunakushukuru kwa mahubiri mazuri kuhusu haki, tunakuomba utende unachohubiri yasibaki kuwa maneno tuu lakini vitendo ni tofauti

Kuhusu kuachiliwa kwa haka ka simba ka Kizimkazi, Pongezi Rais Samia kwa Tanzania kuwa Kinara Uhuru wa Habari, EAC, Vipi Kale ka 'Simba ka Kizimkazi' Mnaonaje Kaachiwe?, Kanatuvurugia Sana Amani?

Mungu Ibariki Tanzania

Paskal
Hana usikivu wowote. Labda kama umechanganyikiwa Mzee. Yaani mtu akamate mwenzio amfungulie kesi ya kisiasa ya uhaini. Kisha asubiri kufuatwa fuatwa huku binadamu mwenzie anateseka gerezani. Kweli huo ndo usikivu? Rais huyu ni shetani anayeishi maisha ya anasa. Hapaswi hata dakika moja kuongoza ni vile yupo kwenye nchi ya Raia kama wewe tu. Kitu naamini ataondoka na atakuacha wewe ni masikini wa kutupwa.
 
Hivi CHADEMA wanataka mabadiliko ya kanuni au minimal reform kwenye katiba?
Wamesema wapo tayari hata kwa mabadiliko ya Kanuni kwa sasa. Then, baada ya uchaguzi yakafuata mengine ambapo kimsingi baada ya Uchaguzi tutakuwa na Uandaaji wa katiba Mpya ambayo imeahidiwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM
 
Akikubali kufanya hivyo atakuwa Rais wa kwanza msikivu mdemokrasia ambaye hatasahaulika na mabaya yake yote aliyotenda kwa kukusudia au kwa kutokukusudia tutamsamehe na atabakia na heshima kubwa saaana hata akishindwa uchaguzi tutajenga sanamu lake kuuubwa kuliko yote Dar es Salaam na Dodoma na tutampa jina la kudumu kama la Baba wa Taifa. Yeye ataitwa Mama wa Demokrasia Tanzania. Udugu wetu na zanzibar utaimarika hata tutajapokuwa na serikali tatu lakini tutaendelea kuwa wamoja.

Ila kinyume chake cha mazuri yote niliyotaja hapo juu itakuwa endapo kama demokrasia au ukombozi wa nchii hii kuwa ya kidemokrasia utapatikana kwa kutumia vurugu au maandamano. Itakuwa ni mbaya sana kwake na kwa familia yake na kwa viongozi wengine wanaohisiwa kujilimbikizia mali. Nina uhakika hata kama Lissu atakuwa Rais atasamehe yote tutaanza upya ila akipata urais kwa vurugu visasi vyake havitasahaurika hata kama sheria itatumika
 
Wanabodi
Kufuatia mazungumzo ya rais wa TLS juzi kuomba kuonana na Rais Samia,kumuomba pamoja na mambo mengine,ni kuomba Lissu aachiwe,kanuni za uchaguzi zirekebishwe,Chadema ishiriki uchaguzi.

Kiukweli,sijawahi kuona rais msikivu kama Samia!,siku ya Jumanne mtu aombe kumuona rais,kesho yake Jumatano nafasi ikapatikana Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rais Samia ni msikivu, apewe maua yake. Vipi Serikali yake, Bunge na mahakama ni wasikivu? Kama sio inamanisha

Siku zote nimekuwa nikilalamika humu kuwa wasaidizi wa Rais Samia sheria hawamsaidii,wanamuogopa na kushindwa kumwambia ukweli,hii kesi ya uhaini ya Lissu ni hakuna kitu pale! Pre GE2025 - Wazalendo Wapenda Haki, Msiwe na Wasiwasi, Uhaini ni Matendo na Mipango Mkakati wa Kuutenda, Sio Maneno!, Maneno ni Sedition tuu na Sio Treason!

TLS ni wasaidizi wa Samia wa sheria,sisi TLS hatumuogopi Samia hivyo nilishauri tumweleze ukweli Rais Samia Mgeni Rasmi AGM ya TLS: Wanasheria Tumweleze Ukweli Kuhusu Ubatili wa Katiba Yetu na Sheria Zetu, Turudishe Haki Kuu ya Msingi

Jana hili limetokea kama zali, TLS imekutana na Samia,na tumemweleza hili la Lissu Rais wa TLS: Tumezungumza mengi na Rais Samia

Kama hoja hizi za TLS ni za kweli, na sio Lip Services, then Tundu Lissu anakwenda kuachiwa, kanuni za uchaguzi zinarejewa, Chadema inafuta NRNE ,Inashiriki Uchaguzi, TAL Mgombea Urais wa Chadema, Tunafanya Uchaguzi Mkuu Huru na wa Haki Kweli!

NB:Angalizo,isije kuwa TLS wamepigwa tuu sound,lip services!Je, kuna uwezekano baadhi ya Viongozi wetu wanatoa baadhi ya Ahadi kwa "Paying lip Services"?

Hili la watu kupigwa sound, niliwahi kumshauri Mama Mama don't preach. I think we've had enough of Preaching about law, justice & human rights. Would you Please just Practice what you Preach?

Pia tulimsisitiza Mama Ombi kwa Rais Samia, tunakushukuru kwa mahubiri mazuri kuhusu haki, tunakuomba utende unachohubiri yasibaki kuwa maneno tuu lakini vitendo ni tofauti

Kuhusu kuachiliwa kwa haka ka simba ka Kizimkazi, Pongezi Rais Samia kwa Tanzania kuwa Kinara Uhuru wa Habari, EAC, Vipi Kale ka 'Simba ka Kizimkazi' Mnaonaje Kaachiwe?, Kanatuvurugia Sana Amani?

Mungu Ibariki Tanzania

Paskal
Mpaka kwenye nchi yake RA akubali na kuhakikishiwa usalama wa kuendelea kuikamua nchi
 
Siyo CHADEMA; Sema nchi au waTanzania...wewe kama hujaona shida kwenye mfumo wetu wa uchaguzi basi utakuwa na shida kubwa sana. Hivyo matatizo ya nchi tusiyavike CHADEMA.
Natanguliza samahani kama nimekukwaza Boss.
Wala hujanikwaza mkuu, ukweli ni kuwa madiliko ya kikatiba ni matakwa ya watanzania walio wengi lakini point yangu ililenga kwa huyu mzee Pasco anaesanitize uhuni wa CCM kwa kutaka kuwahusisha na CHADEMA ambao wameamua kusimama na wananchi.
 
Wanabodi
Kufuatia mazungumzo ya rais wa TLS juzi kuomba kuonana na Rais Samia,kumuomba pamoja na mambo mengine,ni kuomba Lissu aachiwe,kanuni za uchaguzi zirekebishwe,Chadema ishiriki uchaguzi.

Kiukweli,sijawahi kuona rais msikivu kama Samia!,siku ya Jumanne mtu aombe kumuona rais,kesho yake Jumatano nafasi ikapatikana Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rais Samia ni msikivu, apewe maua yake. Vipi Serikali yake, Bunge na mahakama ni wasikivu? Kama sio inamanisha

Siku zote nimekuwa nikilalamika humu kuwa wasaidizi wa Rais Samia sheria hawamsaidii,wanamuogopa na kushindwa kumwambia ukweli,hii kesi ya uhaini ya Lissu ni hakuna kitu pale! Pre GE2025 - Wazalendo Wapenda Haki, Msiwe na Wasiwasi, Uhaini ni Matendo na Mipango Mkakati wa Kuutenda, Sio Maneno!, Maneno ni Sedition tuu na Sio Treason!

TLS ni wasaidizi wa Samia wa sheria,sisi TLS hatumuogopi Samia hivyo nilishauri tumweleze ukweli Rais Samia Mgeni Rasmi AGM ya TLS: Wanasheria Tumweleze Ukweli Kuhusu Ubatili wa Katiba Yetu na Sheria Zetu, Turudishe Haki Kuu ya Msingi

Jana hili limetokea kama zali, TLS imekutana na Samia,na tumemweleza hili la Lissu Rais wa TLS: Tumezungumza mengi na Rais Samia

Kama hoja hizi za TLS ni za kweli, na sio Lip Services, then Tundu Lissu anakwenda kuachiwa, kanuni za uchaguzi zinarejewa, Chadema inafuta NRNE ,Inashiriki Uchaguzi, TAL Mgombea Urais wa Chadema, Tunafanya Uchaguzi Mkuu Huru na wa Haki Kweli!

NB:Angalizo,isije kuwa TLS wamepigwa tuu sound,lip services!Je, kuna uwezekano baadhi ya Viongozi wetu wanatoa baadhi ya Ahadi kwa "Paying lip Services"?

Hili la watu kupigwa sound, niliwahi kumshauri Mama Mama don't preach. I think we've had enough of Preaching about law, justice & human rights. Would you Please just Practice what you Preach?

Pia tulimsisitiza Mama Ombi kwa Rais Samia, tunakushukuru kwa mahubiri mazuri kuhusu haki, tunakuomba utende unachohubiri yasibaki kuwa maneno tuu lakini vitendo ni tofauti

Kuhusu kuachiliwa kwa haka ka simba ka Kizimkazi, Pongezi Rais Samia kwa Tanzania kuwa Kinara Uhuru wa Habari, EAC, Vipi Kale ka 'Simba ka Kizimkazi' Mnaonaje Kaachiwe?, Kanatuvurugia Sana Amani?

Mungu Ibariki Tanzania

Paskal
ULe unabii.....Yeriko inabomoka.
 
Bukusi boy alisema.

Unapo criminalize political arena/unapo jinaisha uga wa kisiasa basi unaipeleka nchi kubaya

Hapo nilimwelewa sana. Nadhani kujiosha imebidi wamwite ili kufunikafunika uchafu ambao wamesha ufanya
Amepewa maelekezo tu kwani tangu lini wametamani kukutana naye. Ama yeyehakuomna umhm wa kuwaita ikulu
 
Lissu alichokosea alidhani adui yake amekufa 2021 kumbe yupo
Siyo adui wa Lissu, ni adui wa watazania wote. Lissu ni kiongozi wetu tu na anafanya haya siyo kwa ajili yake. Nna uhakika angetaka makandokando sasa hivi angekuwa amejaza magari ya kifahari kwenye mansion yake ambayo angejewa kando ya bahari.
 
Wanabodi
Kufuatia mazungumzo ya rais wa TLS juzi kuomba kuonana na Rais Samia,kumuomba pamoja na mambo mengine,ni kuomba Lissu aachiwe,kanuni za uchaguzi zirekebishwe,Chadema ishiriki uchaguzi.

Kiukweli,sijawahi kuona rais msikivu kama Samia!,siku ya Jumanne mtu aombe kumuona rais,kesho yake Jumatano nafasi ikapatikana Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rais Samia ni msikivu, apewe maua yake. Vipi Serikali yake, Bunge na mahakama ni wasikivu? Kama sio inamanisha

Siku zote nimekuwa nikilalamika humu kuwa wasaidizi wa Rais Samia sheria hawamsaidii,wanamuogopa na kushindwa kumwambia ukweli,hii kesi ya uhaini ya Lissu ni hakuna kitu pale! Pre GE2025 - Wazalendo Wapenda Haki, Msiwe na Wasiwasi, Uhaini ni Matendo na Mipango Mkakati wa Kuutenda, Sio Maneno!, Maneno ni Sedition tuu na Sio Treason!

TLS ni wasaidizi wa Samia wa sheria,sisi TLS hatumuogopi Samia hivyo nilishauri tumweleze ukweli Rais Samia Mgeni Rasmi AGM ya TLS: Wanasheria Tumweleze Ukweli Kuhusu Ubatili wa Katiba Yetu na Sheria Zetu, Turudishe Haki Kuu ya Msingi

Jana hili limetokea kama zali, TLS imekutana na Samia,na tumemweleza hili la Lissu Rais wa TLS: Tumezungumza mengi na Rais Samia

Kama hoja hizi za TLS ni za kweli, na sio Lip Services, then Tundu Lissu anakwenda kuachiwa, kanuni za uchaguzi zinarejewa, Chadema inafuta NRNE ,Inashiriki Uchaguzi, TAL Mgombea Urais wa Chadema, Tunafanya Uchaguzi Mkuu Huru na wa Haki Kweli!

NB:Angalizo,isije kuwa TLS wamepigwa tuu sound,lip services!Je, kuna uwezekano baadhi ya Viongozi wetu wanatoa baadhi ya Ahadi kwa "Paying lip Services"?

Hili la watu kupigwa sound, niliwahi kumshauri Mama Mama don't preach. I think we've had enough of Preaching about law, justice & human rights. Would you Please just Practice what you Preach?

Pia tulimsisitiza Mama Ombi kwa Rais Samia, tunakushukuru kwa mahubiri mazuri kuhusu haki, tunakuomba utende unachohubiri yasibaki kuwa maneno tuu lakini vitendo ni tofauti

Kuhusu kuachiliwa kwa haka ka simba ka Kizimkazi, Pongezi Rais Samia kwa Tanzania kuwa Kinara Uhuru wa Habari, EAC, Vipi Kale ka 'Simba ka Kizimkazi' Mnaonaje Kaachiwe?, Kanatuvurugia Sana Amani?

Mungu Ibariki Tanzania

Paskal
Maigizo katika ubora wake, kama angekuwa na nia ya kweli ,angeanzia na kwake anakowaburuza wanachama wenzie
 
Huo ni upuuzi, yani unatengeneza tatizo,halafu unatatua tatizo ili uonekane shujaa. Nakuheshimu Acha kutuandikia ujinga wa Huyo bi chura.
 
Wanabodi
Kufuatia mazungumzo ya rais wa TLS juzi kuomba kuonana na Rais Samia,kumuomba pamoja na mambo mengine,ni kuomba Lissu aachiwe,kanuni za uchaguzi zirekebishwe,Chadema ishiriki uchaguzi.

Kiukweli,sijawahi kuona rais msikivu kama Samia!,siku ya Jumanne mtu aombe kumuona rais,kesho yake Jumatano nafasi ikapatikana Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rais Samia ni msikivu, apewe maua yake. Vipi Serikali yake, Bunge na mahakama ni wasikivu? Kama sio inamanisha

Siku zote nimekuwa nikilalamika humu kuwa wasaidizi wa Rais Samia sheria hawamsaidii,wanamuogopa na kushindwa kumwambia ukweli,hii kesi ya uhaini ya Lissu ni hakuna kitu pale! Pre GE2025 - Wazalendo Wapenda Haki, Msiwe na Wasiwasi, Uhaini ni Matendo na Mipango Mkakati wa Kuutenda, Sio Maneno!, Maneno ni Sedition tuu na Sio Treason!

TLS ni wasaidizi wa Samia wa sheria,sisi TLS hatumuogopi Samia hivyo nilishauri tumweleze ukweli Rais Samia Mgeni Rasmi AGM ya TLS: Wanasheria Tumweleze Ukweli Kuhusu Ubatili wa Katiba Yetu na Sheria Zetu, Turudishe Haki Kuu ya Msingi

Jana hili limetokea kama zali, TLS imekutana na Samia,na tumemweleza hili la Lissu Rais wa TLS: Tumezungumza mengi na Rais Samia

Kama hoja hizi za TLS ni za kweli, na sio Lip Services, then Tundu Lissu anakwenda kuachiwa, kanuni za uchaguzi zinarejewa, Chadema inafuta NRNE ,Inashiriki Uchaguzi, TAL Mgombea Urais wa Chadema, Tunafanya Uchaguzi Mkuu Huru na wa Haki Kweli!

NB:Angalizo,isije kuwa TLS wamepigwa tuu sound,lip services!Je, kuna uwezekano baadhi ya Viongozi wetu wanatoa baadhi ya Ahadi kwa "Paying lip Services"?

Hili la watu kupigwa sound, niliwahi kumshauri Mama Mama don't preach. I think we've had enough of Preaching about law, justice & human rights. Would you Please just Practice what you Preach?

Pia tulimsisitiza Mama Ombi kwa Rais Samia, tunakushukuru kwa mahubiri mazuri kuhusu haki, tunakuomba utende unachohubiri yasibaki kuwa maneno tuu lakini vitendo ni tofauti

Kuhusu kuachiliwa kwa haka ka simba ka Kizimkazi, Pongezi Rais Samia kwa Tanzania kuwa Kinara Uhuru wa Habari, EAC, Vipi Kale ka 'Simba ka Kizimkazi' Mnaonaje Kaachiwe?, Kanatuvurugia Sana Amani?

Mungu Ibariki Tanzania

Paskal
Kaka unaota CCM mnamuogopa sa TL na mwenyekiti wenu sio msikivu bali mroho wa madaraka atasikiliza lakini ccm ni mbele kwa mbele
 
Vipi Serikali yake, Bunge na mahakama ni wasikivu?
For the next five years tutakuwa na bunge la ndugu jamaa na marafiki, yaani watakaa kama kikao cha ukoo.

Hii nchi yetu tunaikosa kwa tamaa za uongozi. Mimi sio mtabiri ila naliona bunge lijalo likipitisha sheria za ovyo ovyo kweli.
 
Back
Top Bottom