Identification zetu JF zinaficha mengi sana

Identification zetu JF zinaficha mengi sana

Nimejaribu kutafakari kwa kina juu ya mienendo ya baadhi yetu ndani ya jukwaa hili nikaishia kuwaza;

Ndani ya hili jukwaa Kuna watu wamejipa ukuu ila ni hakika yangu ukikutana nao lazma utapigwa na butwaa.

Kuna watu Wana tabia fulan ndani ya hili jukwaa ila naamin tungepata nafasi ya kujuana tungebaki tunashangaana

Ni Iman yangu kuwa ndani ya hili jukwaa Kuna watu wanakula mlo mmoja ila ndo wanaoongoza kwa kuanzisha nyuzi za kumiliki mpunga mrefu.

Ndani ya hili jukwaa Kuna waume za watu na kwenye jamii wanaheshimika lkn humu kutwa nzima wapo busy kuanzisha nyuzi za kutafuta warembo
Mkuu Anza na mimi kabisa....Kwanza sipendi mtu asiye nijua anielewe yaani napenda niwe Neutral. Humu jukwaani kuna mambo ya ajabu sana.

Kuna jamaa bana alizama Dm akaniomba hela ya kula kuwa hana kabisa hela ya msosi nikaona si kesi nikamtumia 6000/= nikiwa na maaana atoe japo 5000 ale.

Sijui ni kipi kilinifanya nisave no yake dk kumi nyingi jamaa akaweka status anakula bata ambalo mimi sijawahi Lila asee. Hii hali ya jamaa kujirusha kwenye starehe na kuweka status ikawa endelevu.

Siku nyingine kama wiki na ushee hivi jamaa akazam Dm kwenye ID yangu nyingine anaomba hela anauguliwa anaahidi baada ya muda atauza simu yake anirudishie maelezo yalikuwa mengi sana. Ile no nikaitilia mashaka nikaichukua na kulinganisha na ile ya mwanzo ndo ileile nikaangalia jina mpesa ndo lile lile .... nikaishia kucheka tu na sikujibu kitu nikamblock na kufuta no na kuanzia hapo siwezi toa hata jero hapa hapa jf.
 
Mkuu Anza na mimi kabisa....Kwanza sipendi mtu asiye nijua anielewe yaani napenda niwe Neutral. Humu jukwaani kuna mambo ya ajabu sana.

Kuna jamaa bana alizama Dm akaniomba hela ya kula kuwa hana kabisa hela ya msosi nikaona si kesi nikamtumia 6000/= nikiwa na maaana atoe japo 5000 ale.

Sijui ni kipi kilinifanya nisave no yake dk kumi nyingi jamaa akaweka status anakula bata ambalo mimi sijawahi Lila asee. Hii hali ya jamaa kujirusha kwenye starehe na kuweka status ikawa endelevu.

Siku nyingine kama wiki na ushee hivi jamaa akazam Dm kwenye ID yangu nyingine anaomba hela anauguliwa anaahidi baada ya muda atauza simu yake anirudishie maelezo yalikuwa mengi sana. Ile no nikaitilia mashaka nikaichukua na kulinganisha na ile ya mwanzo ndo ileile nikaangalia jina mpesa ndo lile lile .... nikaishia kucheka tu na sikujibu kitu nikamblock na kufuta no na kuanzia hapo siwezi toa hata jero hapa hapa jf.
Nimecheka sana kwahiyo jamaa ni mshua ana anae fake ombaomba au ni kapuku anauefosi ushua hebu nipe ulichokiona kwa mtazamo wako!
 
Nimejaribu kutafakari kwa kina juu ya mienendo ya baadhi yetu ndani ya jukwaa hili nikaishia kuwaza;

Ndani ya hili jukwaa Kuna watu wamejipa ukuu ila ni hakika yangu ukikutana nao lazma utapigwa na butwaa.

Kuna watu Wana tabia fulan ndani ya hili jukwaa ila naamin tungepata nafasi ya kujuana tungebaki tunashangaana

Ni Iman yangu kuwa ndani ya hili jukwaa Kuna watu wanakula mlo mmoja ila ndo wanaoongoza kwa kuanzisha nyuzi za kumiliki mpunga mrefu.

Ndani ya hili jukwaa Kuna waume za watu na kwenye jamii wanaheshimika lkn humu kutwa nzima wapo busy kuanzisha nyuzi za kutafuta warembo
Kikubwa wanayotaka yanaenda basi tabia zao tuachane nazo, tuachane na ufukuyuku wa CCM
 
Nimejaribu kutafakari kwa kina juu ya mienendo ya baadhi yetu ndani ya jukwaa hili nikaishia kuwaza;

Ndani ya hili jukwaa Kuna watu wamejipa ukuu ila ni hakika yangu ukikutana nao lazma utapigwa na butwaa.

Kuna watu Wana tabia fulan ndani ya hili jukwaa ila naamin tungepata nafasi ya kujuana tungebaki tunashangaana

Ni Iman yangu kuwa ndani ya hili jukwaa Kuna watu wanakula mlo mmoja ila ndo wanaoongoza kwa kuanzisha nyuzi za kumiliki mpunga mrefu.

Ndani ya hili jukwaa Kuna waume za watu na kwenye jamii wanaheshimika lkn humu kutwa nzima wapo busy kuanzisha nyuzi za kutafuta warembo
usitumie hisia na mihemko hutoweza kupata majibu sahihi..
 
Mkuu Anza na mimi kabisa....Kwanza sipendi mtu asiye nijua anielewe yaani napenda niwe Neutral. Humu jukwaani kuna mambo ya ajabu sana.

Kuna jamaa bana alizama Dm akaniomba hela ya kula kuwa hana kabisa hela ya msosi nikaona si kesi nikamtumia 6000/= nikiwa na maaana atoe japo 5000 ale.

Sijui ni kipi kilinifanya nisave no yake dk kumi nyingi jamaa akaweka status anakula bata ambalo mimi sijawahi Lila asee. Hii hali ya jamaa kujirusha kwenye starehe na kuweka status ikawa endelevu.

Siku nyingine kama wiki na ushee hivi jamaa akazam Dm kwenye ID yangu nyingine anaomba hela anauguliwa anaahidi baada ya muda atauza simu yake anirudishie maelezo yalikuwa mengi sana. Ile no nikaitilia mashaka nikaichukua na kulinganisha na ile ya mwanzo ndo ileile nikaangalia jina mpesa ndo lile lile .... nikaishia kucheka tu na sikujibu kitu nikamblock na kufuta no na kuanzia hapo siwezi toa hata jero hapa hapa jf.
mtaje huyo mkuu
 
Kuna jamaa nilitoa ushauri fulani kwa jamaa aliyekuwa anatamani kuacha nyeto lakini hawezi! Kumbe bwana ule ushauri uliwagusa wengi,kuna jamaa humu ana id kubwa na hajawahi hata kukomenti mambo ya nyeto,alinikuta huko kuniomba nimueleweshe na nimsaidie jinsi gani ataacha nyeto, nikamjibu mimi nilikuwa natoa ushauri huo kutafuta likes na mimi sina utaalamu wowote. Jamaa akatokomea kusikojulikana.
 
Basi tufanye hatuna hela tu, na tunateseka na mlo mmoja😂
20260227_222537.jpg
 
Back
Top Bottom