Identification zetu JF zinaficha mengi sana

Identification zetu JF zinaficha mengi sana

Lakini wapo pia wenye maisha yao ya kueleweka na ni kitu cha kawaidaa kwa hii nchi, kuna dogo nimefanya nae project ya ujenzi gari yake pekee ni 110 milion ,mzee mwingine mtu mzima kidogo wanawe pekee ndio lika langu wapo kwenye 40+, ana ukwasi wa kutosha , haya kuna ma prof wawili wapo humu nawafahamu.
Nilichogundua watu wenye pesa zao ni wasomaji zaidi, sio wachangiaji kabisa, akichangia ni mara chache, njia nzuri ya kutambua mlala hoi yupo kila sehemu humu anazurula
 
Na maisha yako halisi hapaswi mtu kuyajua kwa Gharama yoyote ile
Kabisa ,maisha ya mitandaoni ni ya lusaka attentions ,engagements ,views ,likes ,comments then namba za maokoto zinasoma kwenye dashboards Meta mwisho wa mwezi unakunja zako $$.
 
Ndani ya hili jukwaa Kuna waume za watu na kwenye jamii wanaheshimika lkn humu kutwa nzima wapo busy kuanzisha nyuzi za kutafuta warembo
Hii mada inarudiwa sana humu kila mara inafunguliwa uzi, humu kumejaa watu smart watupu kuanzia muonekano wa sura mpaka muonekano wa akili hakujajaa zile low IQ za FB
 
Nimejaribu kutafakari kwa kina juu ya mienendo ya baadhi yetu ndani ya jukwaa hili nikaishia kuwaza;

Ndani ya hili jukwaa Kuna watu wamejipa ukuu ila ni hakika yangu ukikutana nao lazma utapigwa na butwaa.

Kuna watu Wana tabia fulan ndani ya hili jukwaa ila naamin tungepata nafasi ya kujuana tungebaki tunashangaana

Ni Iman yangu kuwa ndani ya hili jukwaa Kuna watu wanakula mlo mmoja ila ndo wanaoongoza kwa kuanzisha nyuzi za kumiliki mpunga mrefu.

Ndani ya hili jukwaa Kuna waume za watu na kwenye jamii wanaheshimika lkn humu kutwa nzima wapo busy kuanzisha nyuzi za kutafuta warembo
90814.jpg

Mfano huyu member
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom