Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,152
- 43,113
Wamefanyaje? Ila walalahoi ndio wanaoongoza kwa kuandika stories za kula good time๐๐๐๐๐ walala hoi
Wamefanyaje? Ila walalahoi ndio wanaoongoza kwa kuandika stories za kula good time๐๐๐๐๐ walala hoi
Hapana mkuu. Hakuniibia aliomba nami nikaridhia. Nikipata ruhusa kwa mods nitafanya hivyo.mtaje huyo mkuu
Nadhani jamaa niombaomba Promax na pia ana washikaji zake ambao wao wana ukwasi yeye akiwa na 50k akiungana nao basi bata linakuwa si la kawaida hicho ndo naweza kusema maana hata vaa yake si kutilia mashaka kabisa.Nimecheka sana kwahiyo jamaa ni mshua ana anae fake ombaomba au ni kapuku anauefosi ushua hebu nipe ulichokiona kwa mtazamo wako!
Kwahiyo we sio mlevi๐Na maisha yako halisi hapaswi mtu kuyajua kwa Gharama yoyote ile
Hahaha ni mlevi kama starehe yangu tu , ila ni kipande kidogo tu cha maisha yangu๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐Kwahiyo we sio mlevi๐
Mm identification yangu inaficha nini.. ๐Nimejaribu kutafakari kwa kina juu ya mienendo ya baadhi yetu ndani ya jukwaa hili nikaishia kuwaza;
Ndani ya hili jukwaa Kuna watu wamejipa ukuu ila ni hakika yangu ukikutana nao lazma utapigwa na butwaa.
Kuna watu Wana tabia fulan ndani ya hili jukwaa ila naamin tungepata nafasi ya kujuana tungebaki tunashangaana
Ni Iman yangu kuwa ndani ya hili jukwaa Kuna watu wanakula mlo mmoja ila ndo wanaoongoza kwa kuanzisha nyuzi za kumiliki mpunga mrefu.
Ndani ya hili jukwaa Kuna waume za watu na kwenye jamii wanaheshimika lkn humu kutwa nzima wapo busy kuanzisha nyuzi za kutafuta warembo
Yako inasadifu utan na mtu wa masiharaMm identification yangu inaficha nini.. ๐
Hiyo ndio duniya sheikh wangu.....bila ivyo vifo vitokanavyo na stress vingekuwa vingi sanaNimejaribu kutafakari kwa kina juu ya mienendo ya baadhi yetu ndani ya jukwaa hili nikaishia kuwaza;
Ndani ya hili jukwaa Kuna watu wamejipa ukuu ila ni hakika yangu ukikutana nao lazma utapigwa na butwaa.
Kuna watu Wana tabia fulan ndani ya hili jukwaa ila naamin tungepata nafasi ya kujuana tungebaki tunashangaana
Ni Iman yangu kuwa ndani ya hili jukwaa Kuna watu wanakula mlo mmoja ila ndo wanaoongoza kwa kuanzisha nyuzi za kumiliki mpunga mrefu.
Ndani ya hili jukwaa Kuna waume za watu na kwenye jamii wanaheshimika lkn humu kutwa nzima wapo busy kuanzisha nyuzi za kutafuta warembo
Nipo open na serious ile mbayaYako inasadifu utan na mtu wa masihara
Ninaamini wengi humu hatufahamiani vzr ndiomaana ni rahisi mtu kuropoka chochote! Sina uhakika kama kuna mtu anaanika maisha yake humu..Hahaha ni mlevi kama starehe yangu tu , ila ni kipande kidogo tu cha maisha yangu๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐
Humu ni watu wa kawaida tu ,walimu , manesi ma daktari ,majobless , wanafunzi , ma askari , wafanya biashara wadogo na sisi walevi๐Ninaamini wengi humu hatufahamiani vzr ndiomaana ni rahisi mtu kuropoka chochote! Sina uhakika kama kuna mtu anaanika maisha yake humu..
Wauzaji hakuna? Nimeona uzi umefutwa chapchap๐ฌHumu ni watu wa kawaida tu ,mwalimu , manesi ma daktari ,majobless , wanafunzi , ma askari , wafanya biashara wadogo na sisi walevi๐
Wauzaji wa nini? Uzi upiWauzaji hakuna? Nimeona uzi umefutwa chapchap๐ฌ
Uzi wa mke wake akifa asiolewe anaelezea machimbo kiundani sana!Wauzaji wa nini? Uzi upi
Aaah nimekumbuka ๐๐ wauza nyapu wanakosekanaje sasa๐ ๐Uzi wa mke wake akifa asiolewe anaelezea machimbo kiundani sana!
Basi maisha ni halisi kumbe!Aaah nimekumbuka ๐๐ wauza nyapu wanakosekanaje sasa๐ ๐