Kha we umesahau kama nakuja Mwanza tomorrow?
Endelea kuota mkaka, si unaona mahabuba nimemchimba asichangie hapa na amenielewa...
Bwahahahaha!
Am a new member kwa jf:nmejikuta nawaza sana recently coz of life circumstances nmekutana nazo n kitu pekee nahitaj san ni marafiki wa kuchat nao,share topic thoughts etc kuavoid ile too much thinking...I belive I got them all hapa kwa JF...thx guys
Umekariri eh? Wengine tumetaka kujua ili tuhandle with care, nadhani unafahamu kuwa tushachumbiwa humu JF.
Dah sasa utaona michango kibao hapa baada ya kuwaambia we ni she
ntu nzima hatishiwi nyau mwe!
Hayo ndo maneno, i knew u dont like men who follows u kama mikia
mi ndo beibe nasty muulize charming gal atakueleza ila leo naona umemkosa my doc bby judgement ila utamuona soon mamito karibu mwaya ila hapa kuna wazee wa kabaa hehheeee we subiri utawaona tuu na leo wapo kimya kweli haya mi nipo kipenz hop u ok nw manake jf ni solution though smtms usipo zoea waweza vimba kama umewekwa amira.
hahaa,we c ndo wamtisha wangu laadhidhi!
most welcome!Am a new member kwa jf:nmejikuta nawaza sana recently coz of life circumstances nmekutana nazo n kitu pekee nahitaj san ni marafiki wa kuchat nao,share topic thoughts etc kuavoid ile too much thinking...I belive I got them all hapa kwa JF...thx guys
Karibu sana Bi. Shosti. Kwani huwa unafikiriaga vinini haswa?
nakukubali jembe langu beibe.nasty!
Umekariri eh? Wengine tumetaka kujua ili tuhandle with care, nadhani unafahamu kuwa tushachumbiwa humu JF.
Hee nakuchumbiwa kumo kumbe...humu ndo kwanifaa sasa..hahaa
Ila mwangalie sana huyo anayekuuliza jinsia....utakula za uso hadi ushangae......kuna maafande wako around wanalia mali zao....me ni 'she'..
b52 ndio mimi.....ushanifahamu?wazee wa kabaa...hahaa umenchekesha mwaya...asante,i hope utansaidia kuwafahamu uzur..