- Thread starter
- #41
mamie Qt ngoja tu nkutambulishe mapema ucjenambia hukujua. hyo sobhuza ndo shemejio,so ukikutana nae sehemu hatarish uckose kunipm fasta!
nmekupata mumie...count it done
mamie Qt ngoja tu nkutambulishe mapema ucjenambia hukujua. hyo sobhuza ndo shemejio,so ukikutana nae sehemu hatarish uckose kunipm fasta!
Ila mwangalie sana huyo anayekuuliza jinsia....utakula za uso hadi ushangae......kuna maafande wako around wanalia mali zao....
Am a new member kwa jf:nmejikuta nawaza sana recently coz of life circumstances nmekutana nazo n kitu pekee nahitaj san ni marafiki wa kuchat nao,share topic thoughts etc kuavoid ile too much thinking...I belive I got them all hapa kwa JF...thx guys
b52 ndio mimi.....ushanifahamu?
Swali jingine?
Anajitisha mwenyewe na insecurities zake. Mi nafanya kweli ati......Lol!
nmekupata mumie...count it done
Nmekufahamu...enhe hiyo 'wazee wa kabaa'ndo mnataka kumanisha nin!?
Angalia sana switii, asije akaniblekimeili...
Angalia sana switii, asije akaniblekimeili...
hahaa haya Sob...
Hivi kila binti humu ni sweetie wako eeh
Charminggirl uko wapi mama uje umwone mupenzi wako anavyoshoboka kwa mgeni
Na wewe unakubali tu mh
..'nakubali tu'nin tena Erick jmn,we nawe mchochez mmh...
Nalinda eti...au unataka Charminggirl akumalize...?
Where is my judgement 52 pliz umeona anachonifanyia sa asipo nipm au kunitafuta leo hii kesho kutakuwa na thread itakayo muhusu.pliiz n by da way Qt hapa@kuna watu nadhan ushaanza waona humu huyu 52 ni kijana mwema na nimeona hapa anjitahidNalinda eti...au unataka Charminggirl akumalize...?
Where is my judgement 52 pliz umeona anachonifanyia sa asipo nipm au kunitafuta leo hii kesho kutakuwa na thread itakayo muhusu.pliiz n by da way Qt hapa@kuna watu nadhan ushaanza waona humu huyu 52 ni kijana mwema na nimeona hapa anjitahid
Pole sana Beibe.....kumbuka ndoa yataka uvumilivu....najua JG hajapatikana hm weekend nzima..hope yuko Tarime...pole kwa baridi....Where is my judgement 52 pliz umeona anachonifanyia sa asipo nipm au kunitafuta leo hii kesho kutakuwa na thread itakayo muhusu.pliiz n by da way Qt hapa@kuna watu nadhan ushaanza waona humu huyu 52 ni kijana mwema na nimeona hapa anjitahid
asante kwa ulinzi...nmekuelewa Erick
Pole sana Beibe.....kumbuka ndoa yataka uvumilivu....najua JG hajapatikana hm weekend nzima..hope yuko Tarime...pole kwa baridi....
Btw Huyu Qt ananibadilisha mapigo ya moyo lol
hahaaa...me napita tu kwa hii post jmn