Pole sana mkuu.
"Praise be to the God and Father of our Lord Jesus Christ, the Father of compassion and the God of all comfort, who comforts us in all our troubles, so that we can comfort those in any trouble with the comfort we ourselves receive from God."
It pains much to lose someone you loved the most. Tunachofanya ni kumuombea marehemu kwa mujibu wa imani zetu, na wewe Mungu akupe moyo mkuu ukijua siku moja utamfuata na utakuwa naye milele.
...............Mungu amlaze mahali pema peponi kaka yako Mpendwa Ndugu David Mwampashi...................................................Hakika ina huzunisha sana kwa kupotelewa naye kwani,...............................................ndiyo pekee katika familia yenu,....................................kumbuka tuu kuwa "kazi ya Mungu haina makosa, mlimpenda sana,.....................yeye mwenyezi mungu kampenda zaidi,......................................kumbuka sote tupo safarini tukiamini kuwa iko siku tutakutana tena pamoja...........................,jina la bwana lihimidiwe.
Usafiri salama,kuelekea msibani, wafikishie salamu za rambirambi ndugu,jamaa na marakiki wa familia yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.