I lost My Only Brother I have

Tupo pamoja nawe ktk kipindi hiki cha huzuni.
Mungu akufariji na akutangulie kwenye safari yako msibani.

Pole sana
 
Pole sana mkuu.
"Praise be to the God and Father of our Lord Jesus Christ, the Father of compassion and the God of all comfort, who comforts us in all our troubles, so that we can comfort those in any trouble with the comfort we ourselves receive from God."
 
Pole sana kwa kuondokewa na kaka yako, Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu!
 
It pains much to lose someone you loved the most. Tunachofanya ni kumuombea marehemu kwa mujibu wa imani zetu, na wewe Mungu akupe moyo mkuu ukijua siku moja utamfuata na utakuwa naye milele.
 
Pole sana Derimto. Ni mapenzi yake Mungu. Mwenyezi Mungu akupe faraja katika kipindi hiki kizito
 
Pole sana mkuu kwa msiba mlioupata,Mungu awape nguvu wakati huu mgumu mnaopitia
 
Pole sana. Mungu aiweke roho ya Kaka mahali pema peponi.
Muhimu, ni Mungu akutangulie katika safari yako, ufike salama na hatimaye urudi salama.
Amen
 

Derimto, pole sana.
Mwenyezi Mungu awatangulie.

RIP bro David.
 
Mungu mwenyewe akitie nguvu katika hiki kipindi kigumu unachokipitia, pia usisahau kumshukuru yeye kwa kila jambo.
 
Mungu mwenyewe akitie nguvu katika hiki kipindi kigumu unachokipitia, pia usisahau kumshukuru yeye kwa kila jambo.
 
Derimto,

...............Mungu amlaze mahali pema peponi kaka yako Mpendwa Ndugu David Mwampashi...................................................Hakika ina huzunisha sana kwa kupotelewa naye kwani,...............................................ndiyo pekee katika familia yenu,....................................kumbuka tuu kuwa "kazi ya Mungu haina makosa, mlimpenda sana,.....................yeye mwenyezi mungu kampenda zaidi,......................................kumbuka sote tupo safarini tukiamini kuwa iko siku tutakutana tena pamoja...........................,jina la bwana lihimidiwe.

Usafiri salama,kuelekea msibani, wafikishie salamu za rambirambi ndugu,jamaa na marakiki wa familia yako.

.....................Pole sana.
 
Back
Top Bottom