Wapendwa marafiki zangu Nimempoteza kaka yangu mpendwa aliyefariki jana Hospital ya RC.Tunduma mbaye ni wa pekee kwenye familia yetu David Mwampashi najiandaa kuondoka kesho asubuhi kwenda Mbozi Mbeya kwa ajili ya mazishi siku ya Ijumaa.
NB: Nawashukuru kwa marafiki wate ambao wamenipigia simu tuliongea nao na wale ambao wameshindwa kunipata hewani kutokana na simu yangu kuwa busy nawaomba radhi na ninathamini sana faraja zenu najivunia kuwa na marafiki wa JF ni zaidi ya ndugu maana wamekuwa karibu sana.
NB: Nawashukuru kwa marafiki wate ambao wamenipigia simu tuliongea nao na wale ambao wameshindwa kunipata hewani kutokana na simu yangu kuwa busy nawaomba radhi na ninathamini sana faraja zenu najivunia kuwa na marafiki wa JF ni zaidi ya ndugu maana wamekuwa karibu sana.