sexy bubble
Senior Member
- Mar 29, 2014
- 156
- 22
- Thread starter
- #141
Asantenamuonea huruma
Asantenamuonea huruma
Niserebuke nafurahia nini?Sexy bubble hebu tafta ule wimbo wa mwasiti wa serebuka!! Ukuburudshe Excel video plz kama ipo
Utoto unakusumbua. There comes a point when a man thinks more about how is going to make that next million than when he is good ng to talk to you.That sounds like a big joke
Nalia mara ya mwisho leo kesho a new me
nashindwa kupm na kuzifungua naona notification but nikifungua kitu blank
Inauma mpenzi natamani nikamroge
Niserebuke nafurahia nini?
You are right but mimi sinaga hizo am not into chatting kila saa or talking for hours what kills ni anaeza kaa ma weeks kibao with no mawasiliano na nikijishusha nimtafute mie basi it will take forever kujibu he cant even spare 3 minutes au maybe ni utoto but mi si mtotoUtoto unakusumbua. There comes a point when a man thinks more about how is going to make that next million than when he is good ng to talk to you.
Simply, mapenzi ya honey umekula nini wanafanya watoto,grown ups talk more about opportunities than mapenzi. Wewe unataka uongee nae kila siku for 4 hours mtaongea nini? Leo ulivaa viatu vyekundu ukakutana na mtu kavaa vyeusi!!!
Grow up, be a lady and a woman not a girl
Sawa bwana asanteUr too emotional my dia.u deserve better man than that.ni muda tu utakuambia jamaa akupend.na atamkiwa wote unaona anakujar sio kweli hizo ni sex swaga.mwanaume akiwa na anataka sex atamwambia atakichaa anampenda
I pray alot natumaini siku moja bwana atajibu maombi yangu I pray for him tooLoh ili iweje!!? Kwa kip hasa.....
Hakuna nguvu kubwa inayoishinda maomb na iman.....!!
Amin utamsahau mwombe sana Mungu wako kama unaamin katika yey...
Believe me... you will feel at easy in a second.....
Its okey not to be okey... Jus know who you are.....
Keep ur head high kesho is a new day......!!
Asante bwana
ok ni cheki 0768074172
Point of correction dada mkubwa King'asti , pole kwanza kwa kazi ya kujenga taifa,wakati wengine tukiwa na mikakati maridhawa ya kulibomoa inawahuuuu?
Back to a topic, kuna tatizo huwa nimeliexperience binafsi ambalo yumkini huyu bi dada ndilo linalomkuta pia, mwezi uliopita kama unakumbuka nilikuja hapa malalamiko ya kuachika na lol pop tulietoka naye hukoooooo kene baridi kali, tukipita milima na mabonde kwa pamoja na kurisk mambo mengi kwa seek ya future lol watoto wa kike ninyi....
Mtoto wa kike subiri miaka yote na huku moja moja tunapiga, heeh maliza chuo na ndoa hapo hapo,,,guess inavyouma! Basi kujiondolea stress mtoto wa kiume nikaamua kukaa kando na kushusha toti za whisky tu kuweka akili sawa...ila kwa kuwa maisha hayatakiwi kusimama nikaja kumtunuku mtoto wa mkufunzi wangu of whom ndo kwanza kako mwaka wa pili chuo....yaani ni shida shida kabisa!
Kila dakika ni ngrrrrr! ngrrrrrr! hadi simu nimeamua kuiweka silent, na ukipigiwa simu hata saa tisa usiku usipo peak ni ugomvi wa siku nne,na once ukimwambie bi dada mimi ni mkomavu kwenye haya mambo siwezi kurudi tena kwenye enzi za yori yori basi ni kilio...."umenidharau" Kwa hiyo unaweza kuona changamoto tulizonazo mabazazi tunaaamua kujichukulia digital baada ya kupigwa chini na zilipendwa wetu....Tuwemo!
Habari za jioni wana MMU,mimi ni msichana am dating a Guy who is a little bit older than me. I have been loving this guy toka enzi hizo when i was still katoto but i never took it serious until last year ndo akanitambua.Problem is he ignores me sana sasa nashindwa kumuelewa he never calls me,hareply text zangu ni mara chache sana na hata akinitxt yeye basi tutachat kidogo tu then ana nipotezea.Cha kushangaza when we go out he acts like nothing is wrong and nakua nahisi am loved kweli lakini tukiachana hapo the next day majonzi moyoni. Wana jamvi nashindwa kuelewa je ana mashetani mbaka yanikumbuke, am i being a little girl or is it just his character.Je kuna mapenzi hapo au ana cheza na mimi. Some times nalia sana I feel stupid,ushauri tafadhali. POLENI KWA UZI MREFU...
Ukibadilisha mentality itakusadia kubadilisha mambo mengi na hata muonekano wako wa nje.. Watu/ mtu atakuchukulia serious.. Sio mtu wa sex tu na kupeleka muda uendeapart from mentality nibadilishe nini tena
Umri wangu ni kati ya miaka 23-29 na yeye ndo alianza japo kua mimi nilianza kumpenda