I feel played

I feel played

One sentence for you baby gal, "he is not that into you"!

stop calling him, stop texting him and when you meet 'act normal' like he does. Soon atatoka moyoni mwako, anaenjoy free rent huyo.

Huu ndo ukweli. Umemaliza kila kitu.
Mleta mada yafanyie kazi haya maneno.
 
Wengne tuko hivyo jamani. Kwan kuchat na kukupigia simu mara kwa mara ndio mapenzi?! Anafanya kazi gan kwanza?! Ni mtu wa tabia gan?! Tokea zaman alikuwa hivyo au kachenji baada ya kuwa nawewe?!
Kazi am not sure but huwa anasafiri sijaweka kazi yake akilini sababu sitaki afikirie am after money tabia yake sijui lakini he drinks alot na mara ya kwanza he used to call mara chache Ila siku hizi its neva labda anione sehemu ndo atapiga kuuliza naenda wapi
 
Wewe anakuchukulia kama mapozeo ndio maana hayupo kihivyo nawe
 
Vumilia sexy bubble
Mapenzi bana ukimuonesha mtu unampenda anakuchukulia poa, usipomuonesha wampenda analalamika.
 
Last edited by a moderator:
Experience yangu inaonesha huyo mtu ana mwingine ambae ndo yuko nae serious. Ww anakupotezea muda tu. Chapa lapaaa
 
Habari za jioni wana MMU,mimi ni msichana am dating a Guy who is a little bit older than me. I have been loving this guy toka enzi hizo when i was still katoto but i never took it serious until last year ndo akanitambua.Problem is he ignores me sana sasa nashindwa kumuelewa he never calls me,hareply text zangu ni mara chache sana na hata akinitxt yeye basi tutachat kidogo tu then ana nipotezea.Cha kushangaza when we go out he acts like nothing is wrong and nakua nahisi am loved kweli lakini tukiachana hapo the next day majonzi moyoni. Wana jamvi nashindwa kuelewa je ana mashetani mbaka yanikumbuke, am i being a little girl or is it just his character.Je kuna mapenzi hapo au ana cheza na mimi. Some times nalia sana I feel stupid,ushauri tafadhali. POLENI KWA UZI MREFU...

He is busy but he loves you so much....
 
One sentence for you baby gal, "he is not that into you"!

stop calling him, stop texting him and when you meet 'act normal' like he does. Soon atatoka moyoni mwako, anaenjoy free rent huyo.

exactly yes n i agree wit u % percent kuna mtu alitaka kunipanda kichwani kama huyo dada at first it was difficult 4 me thx God jf huwa inaniencourage zaid ya sana ikawa no call no sms mpaka anashangaa nkachapa lapa taratiiibu khaa u cant believe I MADE IT!
 
Just tell him wat u feel and wat u want him to do for you so dat u can feel loved
 
Habari za jioni wana MMU,mimi ni msichana am dating a Guy who is a little bit older than me. I have been loving this guy toka enzi hizo when i was still katoto but i never took it serious until last year ndo akanitambua.Problem is he ignores me sana sasa nashindwa kumuelewa he never calls me,hareply text zangu ni mara chache sana na hata akinitxt yeye basi tutachat kidogo tu then ana nipotezea.Cha kushangaza when we go out he acts like nothing is wrong and nakua nahisi am loved kweli lakini tukiachana hapo the next day majonzi moyoni. Wana jamvi nashindwa kuelewa je ana mashetani mbaka yanikumbuke, am i being a little girl or is it just his character.Je kuna mapenzi hapo au ana cheza na mimi. Some times nalia sana I feel stupid,ushauri tafadhali. POLENI KWA UZI MREFU...

Hivi huwa mnashindwa kuandika kiswahili au haya ni maradhi mapya?

Kama unadhani kiswahili ambacho ulikitumia muda tu uliotoka tumboni mwa mama yako hadi leo unakitumia na pengine hata ukiwa chooni unakitumia si bora tu uandike hiyo lugha ambayo umejifuza kwa mwaka mmoja tu?
 
Back
Top Bottom