I feel played

I feel played

1. Una umri gani? Au walau tupe age range yako kama hutojali.

2. Aliyeanza kumtamkia mwenzake abt love kati yenu ni nani?
 
Habari za jioni wana MMU,mimi ni msichana am dating a Guy who is a little bit older than me. I have been loving this guy toka enzi hizo when i was still katoto but i never took it serious until last year ndo akanitambua.Problem is he ignores me sana sasa nashindwa kumuelewa he never calls me,hareply text zangu ni mara chache sana na hata akinitxt yeye basi tutachat kidogo tu then ana nipotezea.Cha kushangaza when we go out he acts like nothing is wrong and nakua nahisi am loved kweli lakini tukiachana hapo the next day majonzi moyoni. Wana jamvi nashindwa kuelewa je ana mashetani mbaka yanikumbuke, am i being a little girl or is it just his character.Je kuna mapenzi hapo au ana cheza na mimi. Some times nalia sana I feel stupid,ushauri tafadhali. POLENI KWA UZI MREFU...

pole sana mamii..kiukweli nmekuelewa sana,ushauri wangu huyo jamaa hakupendi na vizuri ukaanza maisha mapya utapata mwenye kujua thamani ya penzi lako..mimi nmepitia hayo kama wewe hata miezi 3 sina lakini nikachukua uamuzi wa kuanza maisha mengine baada ya kugundua hana mapenzi na mimi na hajui thamni nliyompa moyoni.nakuombea upate wa kukupenda sio huyo mzugaji.
 
Seems that guy ni bonge la "bazazi" kwenye u-turn ndo linakutana na ww. He is using u simply bse it seems u love him deeply, he think that u got no option to push on without him by ur side!
Btw its u who knws deep inside how exactly he loves u. Unless km anakutumia tu na hamjapanga kuoana then the time is alarming u to forsake him for wholly!
 
And am cute kweli people say it sasa sijui kwa nini yeye halioni hilo

..wanawake bana...!!! saikolojia ya wanaume ngumu sana, wengi wanasema upo cute kwa sababu zao.. angalia sana mwanaume anayependa kukusifia...
 
Habari za jioni wana MMU,mimi ni msichana am dating a Guy who is a little bit older than me. I have been loving this guy toka enzi hizo when i was still katoto but i never took it serious until last year ndo akanitambua.Problem is he ignores me sana sasa nashindwa kumuelewa he never calls me,hareply text zangu ni mara chache sana na hata akinitxt yeye basi tutachat kidogo tu then ana nipotezea.Cha kushangaza when we go out he acts like nothing is wrong and nakua nahisi am loved kweli lakini tukiachana hapo the next day majonzi moyoni. Wana jamvi nashindwa kuelewa je ana mashetani mbaka yanikumbuke, am i being a little girl or is it just his character.Je kuna mapenzi hapo au ana cheza na mimi. Some times nalia sana I feel stupid,ushauri tafadhali. POLENI KWA UZI MREFU...

please let me bust the sexy bubble !!!!!
 
Last edited by a moderator:
1. Una umri gani? Au walau tupe age range yako kama hutojali.

2. Aliyeanza kumtamkia mwenzake abt love kati yenu ni nani?
Umri wangu ni kati ya miaka 23-29 na yeye ndo alianza japo kua mimi nilianza kumpenda
 
Pole, ndio makuzi hayo. Kimbia taratibu, he is not in to u kabisa. Mara nyingi mwanamme akiwa a beat older than mwanamke huwa anamtreat kama yai.
 
..wanawake bana...!!! saikolojia ya wanaume ngumu sana, wengi wanasema upo cute kwa sababu zao.. angalia sana mwanaume anayependa kukusifia...
Sio wanaume tu nipande zote na I didn't min am thaaaaaat cute just a comment
 
habari za jioni wana
mmu,mimi ni msichana am dating a guy who is a little bit older than me. I
have been loving this guy toka enzi hizo when i was still katoto but i
never took it serious until last year ndo akanitambua.problem is he
ignores me sana sasa nashindwa kumuelewa he never calls me,hareply text
zangu ni mara chache sana na hata akinitxt yeye basi tutachat kidogo tu
then ana nipotezea.cha kushangaza when we go out he acts like nothing is
wrong and nakua nahisi am loved kweli lakini tukiachana hapo the next
day majonzi moyoni. Wana jamvi nashindwa kuelewa je ana mashetani mbaka
yanikumbuke, am i being a little girl or is it just his character.je
kuna mapenzi hapo au ana cheza na mimi. Some times nalia sana i feel
stupid,ushauri tafadhali. Poleni kwa uzi mrefu...

please ni pm namba yako mimi sina mtu tutachati mpaka baaaasi
 
pole sana mamii..kiukweli nmekuelewa sana,ushauri wangu huyo jamaa hakupendi na vizuri ukaanza maisha mapya utapata mwenye kujua thamani ya penzi lako..mimi nmepitia hayo kama wewe hata miezi 3 sina lakini nikachukua uamuzi wa kuanza maisha mengine baada ya kugundua hana mapenzi na mimi na hajui thamni nliyompa moyoni.nakuombea upate wa kukupenda sio huyo mzugaji.
Asante uniombee kweli
 
Back
Top Bottom