I feel played

I feel played

Habari za jioni wana MMU,mimi ni msichana am dating a Guy who is a little bit older than me. I have been loving this guy toka enzi hizo when i was still katoto but i never took it serious until last year ndo akanitambua.Problem is he ignores me sana sasa nashindwa kumuelewa he never calls me,hareply text zangu ni mara chache sana na hata akinitxt yeye basi tutachat kidogo tu then ana nipotezea.Cha kushangaza when we go out he acts like nothing is wrong and nakua nahisi am loved kweli lakini tukiachana hapo the next day majonzi moyoni. Wana jamvi nashindwa kuelewa je ana mashetani mbaka yanikumbuke, am i being a little girl or is it just his character.Je kuna mapenzi hapo au ana cheza na mimi. Some times nalia sana I feel stupid,ushauri tafadhali. POLENI KWA UZI MREFU...

Tafuta rafiki wa kiume ambae unajua hawez kuvuka mipaka ktk ulafiki wenu then anza kuwa nae karibu, chat nae, tembea nae and sometimes make sure mpenz wako anakuona, akiuliza we mwambie jamaa ni rafiki yako tu, akizidi kuhoji mwambie huwa unakuwa nae karibu huyo kijana pindi unapo mmiss ili kupunguza upweke! Ukiona hajali na wala haoneshi kuumizwa basi ujue kweli hakuna mapenzi ila kama yapo razima atashindwa kuvumilia and atakuwa yeye ndio anataka utembee nae! Warning-yataka moyo, unaweza mpoteza moja kwa moja
 
Hapo hamna mapenzi..kwanini unakuwa na mahusiano na mtu ambaye unaona hana mwelekeo?kaa chini tulia utampa anayekujali kama unavyotaka.
 
Majina mnayotumia humu yana utata. Back to topic ushairi wa King'asti inatosha kaufanyie kazi
 
Last edited by a moderator:
Habari za jioni wana MMU,mimi ni msichana am dating a Guy who is a little bit older than me. I have been loving this guy toka enzi hizo when i was still katoto but i never took it serious until last year ndo akanitambua.Problem is he ignores me sana sasa nashindwa kumuelewa he never calls me,hareply text zangu ni mara chache sana na hata akinitxt yeye basi tutachat kidogo tu then ana nipotezea.Cha kushangaza when we go out he acts like nothing is wrong and nakua nahisi am loved kweli lakini tukiachana hapo the next day majonzi moyoni. Wana jamvi nashindwa kuelewa je ana mashetani mbaka yanikumbuke, am i being a little girl or is it just his character.Je kuna mapenzi hapo au ana cheza na mimi. Some times nalia sana I feel stupid,ushauri tafadhali. POLENI KWA UZI MREFU...
Yani hata baada ya hiyo njemba kukuchosha weekend iliyoisha jana bado inakuignore? Au ipo kwa ajili ya kutafuna mzigo wako tu.
 
You have got to know when love is over and learn to carry on.

Do not lower your dignity as a woman, over a man who does not reciprocate your love.

Believe me there is always someone better.

Now wipe those tears and call it quits.

You deserve better.
Asante I think its time now
 
Mamito hapa unadate mume wa mtu.kama hauko tayari kuwa mke wa pili basi Runaway faster as u can.
 
Tafuta rafiki wa kiume ambae unajua hawez kuvuka mipaka ktk ulafiki wenu then anza kuwa nae karibu, chat nae, tembea nae and sometimes make sure mpenz wako anakuona, akiuliza we mwambie jamaa ni rafiki yako tu, akizidi kuhoji mwambie huwa unakuwa nae karibu huyo kijana pindi unapo mmiss ili kupunguza upweke! Ukiona hajali na wala haoneshi kuumizwa basi ujue kweli hakuna mapenzi ila kama yapo razima atashindwa kuvumilia and atakuwa yeye ndio anataka utembee nae! Warning-yataka moyo, unaweza mpoteza moja kwa moja
Nimegive up tayari
 
darling....hivi kesho na keshokutwa ukimfumania utalia wakati ushaona hakupendi???? unaangalia sana mlango uliofungwa na kusahau kuna mingine iko wazi uwiiiii nikusemeshe kimasai?? hizo ni kati ya dalili kuu kwamba hupendwi kama ni mgonjwa wa malaria kashafikia steji ya kutundikiwa drip ya qwinini sasa endelea kungangania alafu siku unafika kwake unakuta ile kanga uliyoiacha last wikiend kwake kajifunga mwenzio
Nahisi its my end
 
Back
Top Bottom