I feel played

I feel played

Okay,
If he proposed without you showing him any sigbs what makes you think that he isnt in love with you no more?

Was his communication any different before and after you two became an item?

Usifurahie sana na kuona watu wanakupenda wanapokushauri uachane naye, kila mtu ana stress zake hapa. But it seems this is the answer you wanted to hear.

It also means unamfahamu vyema na unajua zaidi ya ulivyotuambia ndiyo maana na wewe unaona ni vyema kumpotezea.

Ama kuna kamshikaji kana kutext na calls nyingi masifa mengi all day...unaona huyo ndo mwenye mapenzi ya kweli sio? Think again.

I agree, inakupasa na tena ni haki, kila wakati na kila wasaa kujua position yako kwake but jitahidi kufanya maamuzi hayo mkiwa pamoja. Sio ukishauriwa na jf members.

Every man, woman, relationship is differently n uniquely wired.

***za kuambiwa...***

There you are kaka mkubwa, matatizo kwenye mahusiano hutukia pale mmojawapo esp wa jinsia zetu kutakiwa kutoa explanation kuprove trust, even kwenye negligible matters! Na kibaya zaidi matatizo huanza pale dada zetu hawa wanapoanza kufanya comparison ya mahusiano, kwamba kwa kuwa kidawa anafanywa hivi na mtu wake basi nami nastahili kutendwa vila pasi kujua mapenzi ni taasisi inayoendeshwa na kanuni zisizofanana!
 
Na wewe ukome kuhangaika na digital. Kamata alietendwa mwenzio kanyaga mwendo! Weeh weka simu silent, afu atokewe na 3rd year anaesubscribe tumeseji twa bure anatext mara 300 kwa siku. Ukitendwa urudi utuambie hapa kuwa hutaki yori yori.


mie na uzee huu nisipopata text za paw walau tano kwa siku na calls kama 3 panachimbika. Mpe raha ntoto wa watu bwana weeh!

Huyu mwanamke anawaka tu, hajui kwamba wakati mwingine nakua chimbo kwa ajili ya kumwandalia maisha, how come uko ofisini, tena ofisi ya uma unapigiwa simu saa tatu unapokea casually malalamiko yanaanzia hapo hapo....''kwanini unaongea kipolisi" Ukimjibu muda wa kazi, anakata simu kwa hasira na baadae sms za haraka haraka....kwani kazi na mimi bora nini....khaaaa! Nitakabadilisha tu, maana ni mwendo wa ubabe mwanzo mwisho, na simwachi!
 
love urself. .If he was meant for you. He will come in time. don't force things. .As u will ever be his option n u'll loose ur confidence. Ushauri wangu for now Love Your self n be expensive
Thanks alot I apriciate u
 
Maskini pole sana sex bubble! Ukikua utaona ni kitu cha kawaida !mapenzi ni kama siti ya daladala anapanda anakaa mmoja akishuka anakaa mwingine

Uko kwenye teenage love !yanatesa mno unajiuliza kwani mimi sio mzuri ? Au nina kasoro ?
Mshana si teenage love,nilishapitiaga miaka ya zamani ila hii ya sasa kali
 
Ukibadilisha mentality itakusadia kubadilisha mambo mengi na hata muonekano wako wa nje.. Watu/ mtu atakuchukulia serious.. Sio mtu wa sex tu na kupeleka muda uende
Ntabadilika niwe mtu mwingine kabisa
 
Okay,
If he proposed without you showing him any sigbs what makes you think that he isnt in love with you no more?

Was his communication any different before and after you two became an item?

Usifurahie sana na kuona watu wanakupenda wanapokushauri uachane naye, kila mtu ana stress zake hapa. But it seems this is the answer you wanted to hear.

It also means unamfahamu vyema na unajua zaidi ya ulivyotuambia ndiyo maana na wewe unaona ni vyema kumpotezea.

Ama kuna kamshikaji kana kutext na calls nyingi masifa mengi all day...unaona huyo ndo mwenye mapenzi ya kweli sio? Think again.

I agree, inakupasa na tena ni haki, kila wakati na kila wasaa kujua position yako kwake but jitahidi kufanya maamuzi hayo mkiwa pamoja. Sio ukishauriwa na jf members.

Every man, woman, relationship is differently n uniquely wired.

***za kuambiwa...***
Thanks unaona mbali and asante kwa mda wako
 
There you are kaka mkubwa, matatizo kwenye mahusiano hutukia pale mmojawapo esp wa jinsia zetu kutakiwa kutoa explanation kuprove trust, even kwenye negligible matters! Na kibaya zaidi matatizo huanza pale dada zetu hawa wanapoanza kufanya comparison ya mahusiano, kwamba kwa kuwa kidawa anafanywa hivi na mtu wake basi nami nastahili kutendwa vila pasi kujua mapenzi ni taasisi inayoendeshwa na kanuni zisizofanana!
Mi sipigagi simu hovyo
 
Habari za jioni wana MMU,mimi ni msichana am dating a Guy who is a little bit older than me. I have been loving this guy toka enzi hizo when i was still katoto but i never took it serious until last year ndo akanitambua.Problem is he ignores me sana sasa nashindwa kumuelewa he never calls me,hareply text zangu ni mara chache sana na hata akinitxt yeye basi tutachat kidogo tu then ana nipotezea.Cha kushangaza when we go out he acts like nothing is wrong and nakua nahisi am loved kweli lakini tukiachana hapo the next day majonzi moyoni. Wana jamvi nashindwa kuelewa je ana mashetani mbaka yanikumbuke, am i being a little girl or is it just his character.Je kuna mapenzi hapo au ana cheza na mimi. Some times nalia sana I feel stupid,ushauri tafadhali. POLENI KWA UZI MREFU...

the tale of a man and a woman...the truth is, the two will never completely understand one another. this man is behaving 100% like a man and the woman 100% like a woman..funny things is, their survival lies somewhere in the middle.
 
You are right but mimi sinaga hizo am not into chatting kila saa or talking for hours what kills ni anaeza kaa ma weeks kibao with no mawasiliano na nikijishusha nimtafute mie basi it will take forever kujibu he cant even spare 3 minutes au maybe ni utoto but mi si mtoto

Then open the can and the smell the coffee...

Ask him the difficult questions, you know what you want from him.... ask him what he wants from you.... and that should be final.
 
Mimi kama kawaida yangu, nakuja na research reports na scientific explanations...........Imeonekana kuwa most beautiful ladies wanakuaga kwenye abusive relationships au wanadate ppo ambao kwa kweli ni 'appearance mismatch'. The reason ni kwamba the guys feel that their hot girls wanacheat au wana possibility kubwa zaidi ya kucheat. Pia they know that they dont deserve such jewels kwahiyo wanawa mistreat.

For ur case sexy....sepaaaaa! Huna chako apo...kama ushamwambia haelewi bas its obvious anakuenjoy!!!
 
"A bit older than me"... kwa mwanamke inaweza kuwa miaka 16. Then you don't have many issues to discuss. You just have few body parts that come together. ..
 
Mimi kama kawaida yangu, nakuja na research reports na scientific explanations...........Imeonekana kuwa most beautiful ladies wanakuaga kwenye abusive relationships au wanadate ppo ambao kwa kweli ni 'appearance mismatch'. The reason ni kwamba the guys feel that their hot girls wanacheat au wana possibility kubwa zaidi ya kucheat. Pia they know that they dont deserve such jewels kwahiyo wanawa mistreat.

For ur case sexy....sepaaaaa! Huna chako apo...kama ushamwambia haelewi bas its obvious anakuenjoy!!!
Thank you
 
the tale of a man and a woman...the truth is, the two will never completely understand one another. this man is behaving 100% like a man and the woman 100% like a woman..funny things is, their survival lies somewhere in the middle.
Mungu anajua
 
Back
Top Bottom