mwallu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 6,787
- 4,215
wakamata fursa wengi wanakuwaga watesaji.....atakuwa good lover mwanzo...baadae....majanga
Kamata fursaaa!
Kamata fursaaa!
we nae mgumu kuelewa,utakua mwanaCCM wewe sio bure.
Okay,
If he proposed without you showing him any sigbs what makes you think that he isnt in love with you no more?
Was his communication any different before and after you two became an item?
Usifurahie sana na kuona watu wanakupenda wanapokushauri uachane naye, kila mtu ana stress zake hapa. But it seems this is the answer you wanted to hear.
It also means unamfahamu vyema na unajua zaidi ya ulivyotuambia ndiyo maana na wewe unaona ni vyema kumpotezea.
Ama kuna kamshikaji kana kutext na calls nyingi masifa mengi all day...unaona huyo ndo mwenye mapenzi ya kweli sio? Think again.
I agree, inakupasa na tena ni haki, kila wakati na kila wasaa kujua position yako kwake but jitahidi kufanya maamuzi hayo mkiwa pamoja. Sio ukishauriwa na jf members.
Every man, woman, relationship is differently n uniquely wired.
***za kuambiwa...***
Na wewe ukome kuhangaika na digital. Kamata alietendwa mwenzio kanyaga mwendo! Weeh weka simu silent, afu atokewe na 3rd year anaesubscribe tumeseji twa bure anatext mara 300 kwa siku. Ukitendwa urudi utuambie hapa kuwa hutaki yori yori.
mie na uzee huu nisipopata text za paw walau tano kwa siku na calls kama 3 panachimbika. Mpe raha ntoto wa watu bwana weeh!
His not marriedHe is a married man! You are just a mchepuko why do you think you deserve all his attention? Mchepuko bwana!!!!
Thanks alot I apriciate ulove urself. .If he was meant for you. He will come in time. don't force things. .As u will ever be his option n u'll loose ur confidence. Ushauri wangu for now Love Your self n be expensive
Mshana si teenage love,nilishapitiaga miaka ya zamani ila hii ya sasa kaliMaskini pole sana sex bubble! Ukikua utaona ni kitu cha kawaida !mapenzi ni kama siti ya daladala anapanda anakaa mmoja akishuka anakaa mwingine
Uko kwenye teenage love !yanatesa mno unajiuliza kwani mimi sio mzuri ? Au nina kasoro ?
Ntabadilika niwe mtu mwingine kabisaUkibadilisha mentality itakusadia kubadilisha mambo mengi na hata muonekano wako wa nje.. Watu/ mtu atakuchukulia serious.. Sio mtu wa sex tu na kupeleka muda uende
Thanks unaona mbali and asante kwa mda wakoOkay,
If he proposed without you showing him any sigbs what makes you think that he isnt in love with you no more?
Was his communication any different before and after you two became an item?
Usifurahie sana na kuona watu wanakupenda wanapokushauri uachane naye, kila mtu ana stress zake hapa. But it seems this is the answer you wanted to hear.
It also means unamfahamu vyema na unajua zaidi ya ulivyotuambia ndiyo maana na wewe unaona ni vyema kumpotezea.
Ama kuna kamshikaji kana kutext na calls nyingi masifa mengi all day...unaona huyo ndo mwenye mapenzi ya kweli sio? Think again.
I agree, inakupasa na tena ni haki, kila wakati na kila wasaa kujua position yako kwake but jitahidi kufanya maamuzi hayo mkiwa pamoja. Sio ukishauriwa na jf members.
Every man, woman, relationship is differently n uniquely wired.
***za kuambiwa...***
Mi sipigagi simu hovyoThere you are kaka mkubwa, matatizo kwenye mahusiano hutukia pale mmojawapo esp wa jinsia zetu kutakiwa kutoa explanation kuprove trust, even kwenye negligible matters! Na kibaya zaidi matatizo huanza pale dada zetu hawa wanapoanza kufanya comparison ya mahusiano, kwamba kwa kuwa kidawa anafanywa hivi na mtu wake basi nami nastahili kutendwa vila pasi kujua mapenzi ni taasisi inayoendeshwa na kanuni zisizofanana!
Habari za jioni wana MMU,mimi ni msichana am dating a Guy who is a little bit older than me. I have been loving this guy toka enzi hizo when i was still katoto but i never took it serious until last year ndo akanitambua.Problem is he ignores me sana sasa nashindwa kumuelewa he never calls me,hareply text zangu ni mara chache sana na hata akinitxt yeye basi tutachat kidogo tu then ana nipotezea.Cha kushangaza when we go out he acts like nothing is wrong and nakua nahisi am loved kweli lakini tukiachana hapo the next day majonzi moyoni. Wana jamvi nashindwa kuelewa je ana mashetani mbaka yanikumbuke, am i being a little girl or is it just his character.Je kuna mapenzi hapo au ana cheza na mimi. Some times nalia sana I feel stupid,ushauri tafadhali. POLENI KWA UZI MREFU...
You are right but mimi sinaga hizo am not into chatting kila saa or talking for hours what kills ni anaeza kaa ma weeks kibao with no mawasiliano na nikijishusha nimtafute mie basi it will take forever kujibu he cant even spare 3 minutes au maybe ni utoto but mi si mtoto
Thank youMimi kama kawaida yangu, nakuja na research reports na scientific explanations...........Imeonekana kuwa most beautiful ladies wanakuaga kwenye abusive relationships au wanadate ppo ambao kwa kweli ni 'appearance mismatch'. The reason ni kwamba the guys feel that their hot girls wanacheat au wana possibility kubwa zaidi ya kucheat. Pia they know that they dont deserve such jewels kwahiyo wanawa mistreat.
For ur case sexy....sepaaaaa! Huna chako apo...kama ushamwambia haelewi bas its obvious anakuenjoy!!!
Sijakuelewa"A bit older than me"... kwa mwanamke inaweza kuwa miaka 16. Then you don't have many issues to discuss. You just have few body parts that come together. ..
Sijakuelewa
Asante mtamaThen open the can and the smell the coffee...
Ask him the difficult questions, you know what you want from him.... ask him what he wants from you.... and that should be final.
Miaka minneOk... labda nikuulize mmepishana miaka mingapi?
Mungu anajuathe tale of a man and a woman...the truth is, the two will never completely understand one another. this man is behaving 100% like a man and the woman 100% like a woman..funny things is, their survival lies somewhere in the middle.