I feel played

I feel played

Nashindwa kumsahau nikilala namuwaza yeye nikiamka yeye

Used to feel the same abt this guy. Ila nlipojipa moyo kwamba i can do it.. ..... I did it and told him game over. I thought he was everything but now nimegundua life is simpler without him. Imagine a guy who controls u like he is a boss of some kind wakati unajitegemea kila kitu
 
Sexy buble....

Mm nipo nyuma kama fisi nasubiri mkono udondoke...akiachia fursa tu mm nakamatia

Kwenye miti hakuna wajenzi.
 
Just tell him wat u feel and wat u want him to do for you so dat u can feel loved
kuna siku nilimwambia mbaka nikalia mbele yake he looked touched kidogo lakini up to now i don't see any changes
 
darling....hivi kesho na keshokutwa ukimfumania utalia wakati ushaona hakupendi???? unaangalia sana mlango uliofungwa na kusahau kuna mingine iko wazi uwiiiii nikusemeshe kimasai?? hizo ni kati ya dalili kuu kwamba hupendwi kama ni mgonjwa wa malaria kashafikia steji ya kutundikiwa drip ya qwinini sasa endelea kungangania alafu siku unafika kwake unakuta ile kanga uliyoiacha last wikiend kwake kajifunga mwenzio
 
darling....hivi kesho na keshokutwa ukimfumania utalia wakati ushaona hakupendi???? unaangalia sana mlango uliofungwa na kusahau kuna mingine iko wazi uwiiiii nikusemeshe kimasai?? hizo ni kati ya dalili kuu kwamba hupendwi kama ni mgonjwa wa malaria kashafikia steji ya kutundikiwa drip ya qwinini sasa endelea kungangania alafu siku unafika kwake unakuta ile kanga uliyoiacha last wikiend kwake kajifunga mwenzio

Mweleze ajitambue mapema
 
kuna siku nilimwambia mbaka nikalia mbele yake he looked touched kidogo lakini up to now i don't see any changes
Then move one, if someone loves they will miss you, at least once in every two days they would want to know how you are doing.
You are in love, he only sees a company in you when in need.
 
Used to feel the same abt this guy. Ila nlipojipa moyo kwamba i can do it.. ..... I did it and told him game over. I thought he was everything but now nimegundua life is simpler without him. Imagine a guy who controls u like he is a boss of some kind wakati unajitegemea kila kitu
machozi yanataka kutoka can i really do it
 
machozi yanataka kutoka can i really do it

You can do it baby gal. Mwanzo utaona kama vigumu ila utazoea na kuona kawaida. Dnt make him feel like he is ur world and without him ur life is nothing. Nawaelewa wanaume ukiwapenda sana wanadhani wengine wote vifusi wapo wao tu. MOVE ON. Im not saying its easy...im just saying its possible
 
Jaman uuupsssiiiiii

Jitambue mdogo wangu huyo ana nn??? Hicho unachofikir ni kizuri kwake kuna waliomzidi....
Mapenz sio ya king'ang'ania songa mbele yupo atakayekupenda the way u ar.
Sion haja ya wewe kulalamika.
Tambua thaman yako
 
You can do it baby gal. Mwanzo utaona kama vigumu ila utazoea na kuona kawaida. Dnt make him feel like he is ur world and without him ur life is nothing. Nawaelewa wanaume ukiwapenda sana wanadhani wengine wote vifusi wapo wao tu. MOVE ON. Im not saying its easy...im just saying its possible[/Q
 
Miss Bubble...one advice: There is NO general rule to relationships.

- Know your man. #simple
 
You can do it baby gal. Mwanzo utaona kama vigumu ila utazoea na kuona kawaida. Dnt make him feel like he is ur world and without him ur life is nothing. Nawaelewa wanaume ukiwapenda sana wanadhani wengine wote vifusi wapo wao tu. MOVE ON. Im not saying its easy...im just saying its possible
I hope he will come begging one day lakini on the other side am weak anaeza akanitafuta nikalegea nilivyo mjinga
 
Jaman uuupsssiiiiii

Jitambue mdogo wangu huyo ana nn??? Hicho unachofikir ni kizuri kwake kuna waliomzidi....
Mapenz sio ya king'ang'ania songa mbele yupo atakayekupenda the way u ar.
Sion haja ya wewe kulalamika.
Tambua thaman yako
Yani sijui kaniloga sioni mwanaume mwingine mwenzenu
 
Think like a man act like a lady.....for Godsake he is not God.....if he is not tht into u.....ruuuuun,,on to the next one.
 
Back
Top Bottom