hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,622
- 74,007
Hamna sio Kweli. . Wanaume tuna umia ila ni watu ambao huwa hatupendi kuonyesha Jinsi ambavyo tulivyo umizwa ....huwa tuna amua kufa kifo cha mjerumani na Tai shingoni yaani tuna ugulia maumivu ndani kwa ndani
Haswaa kwa kuwa sisi tuna ile ego ya kupenda kutawala na kuheshimiwa na wenza wetu ...pindi linapojitokeza suala kama hilo and the likes huwa Tuna Patwa na sonona sana -huwa tuna hisi kama tume dhalilishwa. ...ila ndio hivyo tu huwa tuna amua kupiga kimya. ....
Ila pia Wanaume Tuna tofautiana katika Hisia zetu na kwenye kuchukua maamuzi. ..Ndio maana huwa una sikia kuwa Kuna wengine huwa wakifanyiwa mambo kama hayo huwa Wana diriki kuua.kujiua. .Kupatwa na anguko la kiuchumi ama wengine Akina siye huwa Tunapotezea tu na kuchukulia kuwa ni mambo ya kawaida na maisha lazima ya endelee
Haswaa kwa kuwa sisi tuna ile ego ya kupenda kutawala na kuheshimiwa na wenza wetu ...pindi linapojitokeza suala kama hilo and the likes huwa Tuna Patwa na sonona sana -huwa tuna hisi kama tume dhalilishwa. ...ila ndio hivyo tu huwa tuna amua kupiga kimya. ....
Ila pia Wanaume Tuna tofautiana katika Hisia zetu na kwenye kuchukua maamuzi. ..Ndio maana huwa una sikia kuwa Kuna wengine huwa wakifanyiwa mambo kama hayo huwa Wana diriki kuua.kujiua. .Kupatwa na anguko la kiuchumi ama wengine Akina siye huwa Tunapotezea tu na kuchukulia kuwa ni mambo ya kawaida na maisha lazima ya endelee
Wanaume huwa hatuumii. I am sure ukimwambia atafurahi sana.

