I don’t wanna marry him, what should I do?

I don’t wanna marry him, what should I do?

HAYA NDIO MAMBO YAKUPOTEZEANA MUDA SI MAZURI KABISA, SINCE UNAANZA NAE MAHUSIANO DIDN'T YOU KNOW THAT HE IS NOT UR TIME, AFTER ALL NDIO UMEKUJA KUJUA SASA HIVI HIZO SABABU ZAKO BINAFSI?? KUSEMA UNA SABABU BINAFSI AMBAZO NI PERSONAL MAANA YAKE HE HAS NOTHING BAD TO YOU, BUT YOU HAVE BAD PERCEPTION INTO YOUR MIND ABOUT HIM THATS WHY UNAMMALIZIA MUDA, ILA BETTEE EARLY THAN LATE, AFTEE ALL YEARS NI BORA USIENDELEE KUMPOTEZEA MUDA, HUWA NAPENDA KUSEMA UKIONA UNAMCHOKA MTU BASI HUYO HAKUWA CHAGUO LAKO, NA KAMA SI CHAGUO LAKO BASI NI VEMA USIENDELEE KUMPOTEZEA MUDA MAANA KARMA IS OUT THERE WAITING FOR YOU,
ILA KUNA VINGINE VINACHEKESHA SANA AFTER ALL THE TIME NOW YOU HAVE TO YOUR SENSES THST HE IS NOT YOUR TYPE?? JARIBU KUWA SERIOUS IN RELATION COZ YOU ARE USING SOMEONES TIME IN ADVANTAGE OF YOURS, KAMA UNAJUA WA MBILI HAVAI MOJA ELEWEKA MAPEMA.
 
HAYA NDIO MAMBO YAKUPOTEZEANA MUDA SI MAZURI KABISA, SINCE UNAANZA NAE MAHUSIANO DIDN'T YOU KNOW THAT HE IS NOT UR TIME, AFTER ALL NDIO UMEKUJA KUJUA SASA HIVI HIZO SABABU ZAKO BINAFSI?? KUSEMA UNA SABABU BINAFSI AMBAZO NI PERSONAL MAANA YAKE HE HAS NOTHING BAD TO YOU, BUT YOU HAVE BAD PERCEPTION INTO YOUR MIND ABOUT HIM THATS WHY UNAMMALIZIA MUDA, ILA BETTEE EARLY THAN LATE, AFTEE ALL YEARS NI BORA USIENDELEE KUMPOTEZEA MUDA, HUWA NAPENDA KUSEMA UKIONA UNAMCHOKA MTU BASI HUYO HAKUWA CHAGUO LAKO, NA KAMA SI CHAGUO LAKO BASI NI VEMA USIENDELEE KUMPOTEZEA MUDA MAANA KARMA IS OUT THERE WAITING FOR YOU,
ILA KUNA VINGINE VINACHEKESHA SANA AFTER ALL THE TIME NOW YOU HAVE TO YOUR SENSES THST HE IS NOT YOUR TYPE?? JARIBU KUWA SERIOUS IN RELATION COZ YOU ARE USING SOMEONES TIME IN ADVANTAGE OF YOURS, KAMA UNAJUA WA MBILI HAVAI MOJA ELEWEKA MAPEMA.
Ikiwa atapewa sababu na akaelewa mtu kama huyo kwa uzoefu wangu kuja kuoa ama kudumu na mwanamke huwa ngumu sana kwakuwa anapoachwa hapewi sababu za msingi.
 
Kabisa muachie mapema anaestahil kuwa nae akawe nae...mtoto wa watu..ni chungu lkn dawa atapona...uache kukaa kinyumba na mwanaume kabla ya ndoa...
 
We hujaamua tu au kama anakasoro zingine useme nikwambie tu ukipata mtu anakupenda na anakuhangaikia hvo usimpuuzie,utayakumbuka haya nisemayo m nadhan pia kupenda unaeza jifunza anza kuimagine upendo wake na vyote vzur anavokupendea bila kusahau nyakati nzuri
Ndo maana kuna methal inasema mpende akupendae nasisitiza unaeza kujifunza kumpenda mtu
 
..Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu......

Hapo umedanganya. Kuna vitu vilivyokufanya umpende mpaka ukakubali ahamie kwako. Pengine vitu hivyo kwa sasa havipo au vimebadilika. Au pengine ulitaka tu akusaidie katika hayo mambo ya rent na mengineyo na sasa umefikia melengo yako unamwona hafai. Kizungumkuti cha dunia: wenzio wanahaha kutafuta waume wa kuwaoa.

Ili kuzuia mikanganyiko jikaze tu umwambie ukweli. Toa sababu zako. Hata kama umepata mwanaume mwingine unayedhani anakufaa zaidi we mwambie tu. Hii ni bora kuliko kuanza kumfanyia visa na mambo mengine ya kitoto. Kama anakupenda kikweli atakuelewa na hatakulazimisha lakini lifanye hili kwa heshima, utashi mwema, uwazi na unyenyekevu. Kama unaona ni vyema unaweza kumwambia mbele ya mchungaji wenu au mtu mwingine mwenye mamlaka kama mama yako...Ukifanya vinginevyo si ajabu tutakuja kukusoma ukiwa kama mwathirika wa hawa wanaocharangwa mapanga na kuchomwa visu na wapenzi wao baada ya wapenzi wao kuwekeza sana tena kwa muda mrefu halafu wanakuja kuwafanyia visa vya kijinga mwishoni mwishoni huku...
Sikuwahi kumhusisha mama yangu katika hili naanzaje sasahivi? Wazazi wangu hawajui kama ninaishi na mwanaume.
 
We hujaamua tu au kama anakasoro zingine useme nikwambie tu ukipata mtu anakupenda na anakuhangaikia hvo usimpuuzie,utayakumbuka haya nisemayo m nadhan pia kupenda unaeza jifunza anza kuimagine upendo wake na vyote vzur anavokupendea bila kusahau nyakati nzuri
Ndo maana kuna methal inasema mpende akupendae nasisitiza unaeza kujifunza kumpenda mtu
Nimejitahidi sana kwa kipindi chote hicho ila sikuwahi na sidhani kama nitaweza. Imefikia hatua i just hate everything about him. Kumbuka hata hii ya kuishi pamoja sikuwahi kuifurahia.
 
Yaani wewe mwanamke wa ajabu sana, umeshamlia pesa zake sasa unataka kutokomea ndio maana Mimi uwa nawadinya na kusepa zangu, pumbavu kabisa
Nimemlia pesa zake kivipi? Sijawahi kumuomba hata mia tangu nianze mahusiano nae. Kwenye biashara zangu sijawahi kumhusisha hivyo hajawahi kuweka hata sh 5 yake huko, its all me.
 
Back
Top Bottom