I don’t wanna marry him, what should I do?

I don’t wanna marry him, what should I do?

Mkuu Mali na Muda ni vitu ambavyo hauwezi kuvitawanya tofauti ''

Mali ni zao la Muda wa mtu ''baada ya kuinvest vyema katika muda wake na kuamua kuzitafuta Mali ndio akazipata. .. so ukichezea Mali zake. Hisia zake ni sawa na kuchezea muda wake tu
mimi mali zichezee mpk mdako!
yani tapanya zoteeee, vuruga vurugaaaa!
HAZINIKAMILISHI NA NTATAFUTA ZINGINE, NITAZIPATA.

HISIA ZANGU NA MUDA WANGU!
aseee , na hivi huwaga nazimaanisha!
MI NIKICHEKA NAMAANISHA
NIKITUKANA NAMAANISHA!
NIKINUNA NAMAANISHA
NIKIPENDA NAMAANISHA!
 
Tatizo la wanawake huwa hawasemi ukweli,kuna kitu hyu anatuficha,aseme ukweli tu kwamba jamaa hakuamia kwake kwa bahati mbaya,alikuwa anataka kuwa karibu na ngono usiku kucha kila siku,maana zipo namna nyingi za kumzui mwanaume asihamie kwako kama unataka,hata kumdanganya kwamba mama yako huwa anakuja kila mwez kwako,au unajitaid wewe kuwa unakwenda kwake,lakin baada ya mwanaume kuhami kwake amekutana na kitu tunaita reality of life,when life is more than sex and love,amekuja kumfaham zaid mwanaume na anajikuta sio mwanaume amabaye ndio alitamani awe muwe wake.lakin mtu asiye na msimamo katika mambo yake yote ni hatari sana kushirikiananae katika jambo lolote,may you have UNSTABLE MIND,ambayo itasababisha usitulie uko uendako
 
walimwengu hamna jema ningemsupport mngenisema nimemcriticise napo bado mmenisema ila kiukweli imebidi nimshangae tu maana kwenye hii dunia ya sasa wanaume kama huyo wapo wachache sana waliobaki wote ni mashetani

mimi hata kama simpendi ningeolewa naye tu mapenzi yangekuja yenyewe mbele ya safari huko kwanza nashindwaje kumpenda mwanaume anayenifanyia yote hayo halafu naanzaje kumpenda mwanaume ambaye hanifanyii yoyote kati ya hayo sasa hayo ni mapenzi au mapepo hayo?
Hahaha yaani mpaka wewe mtetezi wa wanawake wenzako. ..Umeamua kumshangaa mtoa mada ambaye ni jinsia mwenza. .basi mtoa Mada itakuwa ana shida mahali sio bure
 
Nilianzisha mahusiano na huyu mwanaume miaka miwili na nusu ilopita. Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu. Sikuweza kumfukuza i just decided to play along though sikupendezwa. Akachukua majukumu ya kulipia rent na matumizi mengine ya ndani.

Kuhusu mambo ya matumizi yuko vizuri tu, japo nafanya kazi na nina biashara zangu pia ila bado hunipa pesa za matumizi. Amenitambulisha nafikiri karibia kwa ndugu zake wote na wanajua tunaishi pamoja, lakini mimi anawafahamu marafiki zangu wawili tu.

Sikuwa tayari kumtambulisha sana kwa upande wangu maana i was having second thoughts. Amekuwa akihitaji mtoto tangu tunaanza mahusiano hivyo nikawa na mtihani wa kujitahidi nisishike mimba kwa kipindi chote hicho.

Amekazania sana issue ya kutaka tufunge ndoa, nimeshalikwepa sana ili ajiongeze lakini naona haelewi somo. Naogopa kumwambia direct kuwa siko tayari kuolewa na yeye, i never fell in love with him. We rushed into this, didnt give me time to digest this. Now i feel like am suffocating. Nimejaribu sana kumpenda nimeshindwa.

Nitumie njia gani ambayo haitomuumiza sana, au itakayomfanya yeye aniache? Nisaidieni maana am tired living a lie.
Huna akili hata moja, Sasa mnahitaji ushauri wakati hata sababu hujatoa hata moja, toa sabab Kisha ndio watu wakupe ushaur, wanawake hua hamueleweki mnahitaji nn
 
Hahaha sio kwamba hatuna jema. .ila imeni-staajabisha kwa-kweli ..kama mleta mada anaijua misimamo yako then ameona kabisa comment yako uki-mshangaa''

Basi ya mpasa hiyo iwe ni Alarm ya kumfanya aanze kujichunguza upya '.... she's not okay aise
walimwengu hamna jema ningemsupport mngenisema nimemcriticise napo bado mmenisema ila kiukweli imebidi nimshangae tu maana kwenye hii dunia ya sasa wanaume kama huyo wapo wachache sana waliobaki wote ni mashetani

mimi hata kama simpendi ningeolewa naye tu mapenzi yangekuja yenyewe mbele ya safari huko kwanza nashindwaje kumpenda mwanaume anayenifanyia yote hayo halafu naanzaje kumpenda mwanaume ambaye hanifanyii yoyote kati ya hayo sasa hayo ni mapenzi au mapepo hayo?
 
Hahaha sio kwamba hatuna jema. .ila imeni-staajabisha kwa-kweli ..kama mleta mada anaijua misimamo yako then ameona kabisa comment yako uki-mshangaa''

Basi ya mpasa hiyo iwe ni Alarm ya kumfanya aanze kujichunguza upya '.... she's not okay aise
daah
 
Atleast umeshauri kwa kutumia akili mkuu, bora mwanaume akuache kwa ridhaa yake tu ila akijua umefanya visa ili muachane kisa umepata mtu mpya au brazamen Karma yake sio nzuri. Huko anakokimbilia yatamshinda tu arudishe majeshi mbio mbio
Pole. Basi tafuta kisababu kitakachomfanya akereke na akuache kabisa,au mtengenezee fumanizi either la sms au namna yoyote ili iwe sababu ya ww ku walk out. Ila usithubutu kumuacha maana unaweza kujikuta huolewi Maisha yako yote,ila mngekua hamjawahi kuishi pamoja ingekua simple sana. Ila miaka miwili si mchezo
 
Atleast umeshauri kwa kutumia akili mkuu, bora mwanaume akuache kwa ridhaa yake tu ila akijua umefanya visa ili muachane kisa umepata mtu mpya au brazamen Karma yake sio nzuri. Huko anakokimbilia yatamshinda tu arudishe majeshi mbio mbio
As if kila mtu anayeachana na mtu huko mbele yanamshinda. Wewe hujawahi kuachana na mtu?
 
Nilianzisha mahusiano na huyu mwanaume miaka miwili na nusu ilopita. Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu. Sikuweza kumfukuza i just decided to play along though sikupendezwa. Akachukua majukumu ya kulipia rent na matumizi mengine ya ndani.

Kuhusu mambo ya matumizi yuko vizuri tu, japo nafanya kazi na nina biashara zangu pia ila bado hunipa pesa za matumizi. Amenitambulisha nafikiri karibia kwa ndugu zake wote na wanajua tunaishi pamoja, lakini mimi anawafahamu marafiki zangu wawili tu.

Sikuwa tayari kumtambulisha sana kwa upande wangu maana i was having second thoughts. Amekuwa akihitaji mtoto tangu tunaanza mahusiano hivyo nikawa na mtihani wa kujitahidi nisishike mimba kwa kipindi chote hicho.

Amekazania sana issue ya kutaka tufunge ndoa, nimeshalikwepa sana ili ajiongeze lakini naona haelewi somo. Naogopa kumwambia direct kuwa siko tayari kuolewa na yeye, i never fell in love with him. We rushed into this, didnt give me time to digest this. Now i feel like am suffocating. Nimejaribu sana kumpenda nimeshindwa.

Nitumie njia gani ambayo haitomuumiza sana, au itakayomfanya yeye aniache? Nisaidieni maana am tired living a lie.
Ngoja nikuache tu dunia ije kukufundisha..
 
As if kila mtu anayeachana na mtu huko mbele yanamshinda. Wewe hujawahi kuachana na mtu?
Nishaachana na mtu ila alipotaka kujirudisha nilimtoa mbio hakuamini😆 its a common case, wanawake wengi wanaochagua chagua mabwana au wasioridhika wakipendwa kwa dhati mwisho wao yanawashindaga na kuishia pabaya mno.
 
Hama nyumba mwache hapo hapo wewe ondoka na begi lako tu. Vitu vingine viache hapo.
Nilianzisha mahusiano na huyu mwanaume miaka miwili na nusu ilopita. Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu. Sikuweza kumfukuza i just decided to play along though sikupendezwa. Akachukua majukumu ya kulipia rent na matumizi mengine ya ndani.

Kuhusu mambo ya matumizi yuko vizuri tu, japo nafanya kazi na nina biashara zangu pia ila bado hunipa pesa za matumizi. Amenitambulisha nafikiri karibia kwa ndugu zake wote na wanajua tunaishi pamoja, lakini mimi anawafahamu marafiki zangu wawili tu.

Sikuwa tayari kumtambulisha sana kwa upande wangu maana i was having second thoughts. Amekuwa akihitaji mtoto tangu tunaanza mahusiano hivyo nikawa na mtihani wa kujitahidi nisishike mimba kwa kipindi chote hicho.

Amekazania sana issue ya kutaka tufunge ndoa, nimeshalikwepa sana ili ajiongeze lakini naona haelewi somo. Naogopa kumwambia direct kuwa siko tayari kuolewa na yeye, i never fell in love with him. We rushed into this, didnt give me time to digest this. Now i feel like am suffocating. Nimejaribu sana kumpenda nimeshindwa.

Nitumie njia gani ambayo haitomuumiza sana, au itakayomfanya yeye aniache? Nisaidieni maana am tired living a lie.
 
Nilianzisha mahusiano na huyu mwanaume miaka miwili na nusu ilopita. Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu. Sikuweza kumfukuza i just decided to play along though sikupendezwa. Akachukua majukumu ya kulipia rent na matumizi mengine ya ndani.

Kuhusu mambo ya matumizi yuko vizuri tu, japo nafanya kazi na nina biashara zangu pia ila bado hunipa pesa za matumizi. Amenitambulisha nafikiri karibia kwa ndugu zake wote na wanajua tunaishi pamoja, lakini mimi anawafahamu marafiki zangu wawili tu.

Sikuwa tayari kumtambulisha sana kwa upande wangu maana i was having second thoughts. Amekuwa akihitaji mtoto tangu tunaanza mahusiano hivyo nikawa na mtihani wa kujitahidi nisishike mimba kwa kipindi chote hicho.

Amekazania sana issue ya kutaka tufunge ndoa, nimeshalikwepa sana ili ajiongeze lakini naona haelewi somo. Naogopa kumwambia direct kuwa siko tayari kuolewa na yeye, i never fell in love with him. We rushed into this, didnt give me time to digest this. Now i feel like am suffocating. Nimejaribu sana kumpenda nimeshindwa.

Nitumie njia gani ambayo haitomuumiza sana, au itakayomfanya yeye aniache? Nisaidieni maana am tired living a lie.
Usije ukafikir hata mama yako ailimpenda baba yako utatafuta anae kupenda utachemka na mlivyo kua wanawake wengi hivi huelewi hilo au wajiona u mzuri kiasi gani hata kama kwani kunawazur wangapi hawajapata ndoa stuka
 
walimwengu hamna jema ningemsupport mngenisema nimemcriticise napo bado mmenisema ila kiukweli imebidi nimshangae tu maana kwenye hii dunia ya sasa wanaume kama huyo wapo wachache sana waliobaki wote ni mashetani

mimi hata kama simpendi ningeolewa naye tu mapenzi yangekuja yenyewe mbele ya safari huko kwanza nashindwaje kumpenda mwanaume anayenifanyia yote hayo halafu naanzaje kumpenda mwanaume ambaye hanifanyii yoyote kati ya hayo sasa hayo ni mapenzi au mapepo hayo?
Mwenzio yuko ki show off zaidi, jamaa anaonekanaje kwa co-workers, family, mashosti au wafanyabiashara wenzake, muache ulimwengu utampa darasa mujarabu.

Ukisema cha nini wenzio wanawaza watakipata lini.
 
Tatizo la wanawake huwa hawasemi ukweli,kuna kitu hyu anatuficha,aseme ukweli tu kwamba jamaa hakuamia kwake kwa bahati mbaya,alikuwa anataka kuwa karibu na ngono usiku kucha kila siku,maana zipo namna nyingi za kumzui mwanaume asihamie kwako kama unataka,hata kumdanganya kwamba mama yako huwa anakuja kila mwez kwako,au unajitaid wewe kuwa unakwenda kwake,lakin baada ya mwanaume kuhami kwake amekutana na kitu tunaita reality of life,when life is more than sex and love,amekuja kumfaham zaid mwanaume na anajikuta sio mwanaume amabaye ndio alitamani awe muwe wake.lakin mtu asiye na msimamo katika mambo yake yote ni hatari sana kushirikiananae katika jambo lolote,may you have UNSTABLE MIND,ambayo itasababisha usitulie uko uendako
True na mapenzi ni zaidi ya neno "I love you bby" na "sex" kuna mengi yanafuata na ngao ni uvumilivu na compromising. Msipoutumia vizuri hizo ngao hamfiki hata mbezi kwa msuguri tayari pancha 😂😂😂😂😂😂

Kimsingi kuna jambo behind kutaka breakup, aidha kuna kabwana kapya which i think its 100% possible ukizingatia mwanamke ni kama kinyonga haachii mguu wa kushoto ikiwa wa kulia haujakamata tawi lingine kisha ndo anasonga mbele.
 
Mwenzio yuko ki show off zaidi, jamaa anaonekanaje kwa co-workers, family, mashosti au wafanyabiashara wenzake, muache ulimwengu utampa darasa mujarabu.

Ukisema cha nini wenzio wanawaza watakipata lini.

Na ndio watu wengi tunapokosea hapo
 
Nishaachana na mtu ila alipotaka kujirudisha nilimtoa mbio hakuamini its a common case, wanawake wengi wanaochagua chagua mabwana au wasioridhika wakipendwa kwa dhati mwisho wao yanawashindaga na kuishia pabaya mno.
Kwani mtoa mada amechagua chagua mara ngapi?
 
Back
Top Bottom