Kazi imeanza, yaani huyu bibie kasababisha leo wanawake tutachambwa humuHao ndio wanawake bwana
Sifa yao kubwa ni kwamba ---hata wao wenyewe hawakijui wanachokitaka



Duh KWELI KWENYE MITI hakuna wajenzi,huyo anayekusumbua na kukudanganya umuache huyu ukimuacha tu haitachukua muda atakukimbia,time will tell,mark my wordNilianzisha mahusiano na huyu mwanaume miaka miwili na nusu ilopita. Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu. Sikuweza kumfukuza i just decided to play along though sikupendezwa. Akachukua majukumu ya kulipia rent na matumizi mengine ya ndani.
Kuhusu mambo ya matumizi yuko vizuri tu, japo nafanya kazi na nina biashara zangu pia ila bado hunipa pesa za matumizi. Amenitambulisha nafikiri karibia kwa ndugu zake wote na wanajua tunaishi pamoja, lakini mimi anawafahamu marafiki zangu wawili tu.
Sikuwa tayari kumtambulisha sana kwa upande wangu maana i was having second thoughts. Amekuwa akihitaji mtoto tangu tunaanza mahusiano hivyo nikawa na mtihani wa kujitahidi nisishike mimba kwa kipindi chote hicho.
Amekazania sana issue ya kutaka tufunge ndoa, nimeshalikwepa sana ili ajiongeze lakini naona haelewi somo. Naogopa kumwambia direct kuwa siko tayari kuolewa na yeye, i never fell in love with him. We rushed into this, didnt give me time to digest this. Now i feel like am suffocating. Nimejaribu sana kumpenda nimeshindwa.
Nitumie njia gani ambayo haitomuumiza sana, au itakayomfanya yeye aniache? Nisaidieni maana am tired living a lie.
Nilianzisha mahusiano na huyu mwanaume miaka miwili na nusu ilopita. Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu. Sikuweza kumfukuza i just decided to play along though sikupendezwa. Akachukua majukumu ya kulipia rent na matumizi mengine ya ndani.
Kuhusu mambo ya matumizi yuko vizuri tu, japo nafanya kazi na nina biashara zangu pia ila bado hunipa pesa za matumizi. Amenitambulisha nafikiri karibia kwa ndugu zake wote na wanajua tunaishi pamoja, lakini mimi anawafahamu marafiki zangu wawili tu.
Sikuwa tayari kumtambulisha sana kwa upande wangu maana i was having second thoughts. Amekuwa akihitaji mtoto tangu tunaanza mahusiano hivyo nikawa na mtihani wa kujitahidi nisishike mimba kwa kipindi chote hicho.
Amekazania sana issue ya kutaka tufunge ndoa, nimeshalikwepa sana ili ajiongeze lakini naona haelewi somo. Naogopa kumwambia direct kuwa siko tayari kuolewa na yeye, i never fell in love with him. We rushed into this, didnt give me time to digest this. Now i feel like am suffocating. Nimejaribu sana kumpenda nimeshindwa.
Nitumie njia gani ambayo haitomuumiza sana, au itakayomfanya yeye aniache? Nisaidieni maana am tired living a lie.
Hicho kilikuwa ni kidokezo tu tena cha nyongeza. Ushauri wangu na wa wadau wengine hapa bila shaka utakusaidia katika maamuzi yako...na always akili za kuambiwa changanya na zako !!!Sikuwahi kumhusisha mama yangu katika hili naanzaje sasahivi? Wazazi wangu hawajui kama ninaishi na mwanaume.
Meza pain killer tu mkuu.. Hiyo ndio fact yenyewe. ..wachache baadhi yenu mnajielewa ila majority yenu wengi kichwani hamna kitu '' so Hata pale mnapo jitahidi kuji tetea huwa utetezi wenu unamezwa na madudu kama haya tunayo yaona hapa. ... na hatimae huwa tunabaini kwamba mnafanya kazi ya kuitakatisha kaniki iwe nyeupe. .... I'm so sorry to say thisKazi imeanza, yaani huyu bibie kasababisha leo wanawake tutachambwa humu![]()
dah mwanamke mshenz kama wewe ndo nlikuwa nae mwaka 2003,nilimpa kila kitu baada ya kwenda masomoni ndani ya miezi 6,tu akaanza kubadilika kauli ya mwisho tuachane nikampotezea na kumwachia na kila kitu tukapotezana toka 2003,mpka mwaka jana nakuja kukutana nae kariakoo anauza nyanya huku mgongoni akiwa na mtoto wa mwaka na nusu dah nilihuzunika sana maana alilia mpka basi nilikuwa na wife pembeni alichoambulia ni elf 10 ya kumuungisha nyanya.Wife baadae nlimweleza kila kitu maana alikuwa hajui naona ndo mapenz ameyazidisha kwaiyo na wewe usijejutia kma alivyojutia mwenzio
Bado anakugegeda au mgegedo nao ulishaacha kumpa? Pole !!!Nimejitahidi sana kwa kipindi chote hicho ila sikuwahi na sidhani kama nitaweza. Imefikia hatua i just hate everything about him. Kumbuka hata hii ya kuishi pamoja sikuwahi kuifurahia.
Na usithubutu kuniacha!!Nimetamani kumuacha kwa muda sasa ila nashindwa namna ya kumuacha.
Mtu anaomba msaada we unataka umkule? Mkuu umenichekesha sana. JF is never boring wallahiUvelia Let me eat you only once, and you won't believe your eyes!! He will be out of your life within two weeks!!!



Yaani wewe mwanamke wa ajabu sana, umeshamlia pesa zake sasa unataka kutokomea ndio maana Mimi uwa nawadinya na kusepa zangu, pumbavu kabisa
30 bado tumaringo ringo tupo hasa kama ni mrembo mrembo.Halafu ukigonga miaka 30 plus unaenda kwa mchungajj kuombewa kupata mume pumbavu kabisa

Damn girl yo fukd up, big tym. Two yrs with a nigga? You'v been sending out the wrong msg then, release him. Don't do a nigga lyk that, he deserves better!! Kama humfeel and you cohabit then definitely unachepuka,, konnichiwa!!Nilianzisha mahusiano na huyu mwanaume miaka miwili na nusu ilopita. Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu. Sikuweza kumfukuza i just decided to play along though sikupendezwa. Akachukua majukumu ya kulipia rent na matumizi mengine ya ndani.
Kuhusu mambo ya matumizi yuko vizuri tu, japo nafanya kazi na nina biashara zangu pia ila bado hunipa pesa za matumizi. Amenitambulisha nafikiri karibia kwa ndugu zake wote na wanajua tunaishi pamoja, lakini mimi anawafahamu marafiki zangu wawili tu.
Sikuwa tayari kumtambulisha sana kwa upande wangu maana i was having second thoughts. Amekuwa akihitaji mtoto tangu tunaanza mahusiano hivyo nikawa na mtihani wa kujitahidi nisishike mimba kwa kipindi chote hicho.
Amekazania sana issue ya kutaka tufunge ndoa, nimeshalikwepa sana ili ajiongeze lakini naona haelewi somo. Naogopa kumwambia direct kuwa siko tayari kuolewa na yeye, i never fell in love with him. We rushed into this, didnt give me time to digest this. Now i feel like am suffocating. Nimejaribu sana kumpenda nimeshindwa.
Nitumie njia gani ambayo haitomuumiza sana, au itakayomfanya yeye aniache? Nisaidieni maana am tired living a lie.
Wapi watu sio waelewa ndugu, after all kuna vitu vingine tunatakiwa tujiongeze sio kuambiwa kila jambo.mwambie ukweli ukweli humuweka mtu huru na pia na yeye utampa mwanga wa maisha maana hapo ni kama unamtupa baharini na huku ukweli unaujua moyoni
Kabisa wana anza kulia lia eti wana mikosi30 bado tumaringo ringo tupo hasa kama ni mrembo mrembo.
Kwa hawa wenzetu ngoma hasa huanza kunoga wakigonga 35...mpaka huruma yaani![]()