I don’t wanna marry him, what should I do?

I don’t wanna marry him, what should I do?

Hehehe nawashangaa wanaume wanavyomwaga povu kwenye huu uzi yaani nawashangaa sana aisee
Yaani haujaliona tatizo la mtoa mada like seriously? ? Au ni kwa kuwa kwako ni Habari ya binaadamu kumla Samaki

Ila ingekuwa ni tukio la Samaki kumla binaadamu kwa upande wako ..basi Ungetamani kuona TV .magazeti. na social media zote zikikemea vikali na kutaka Samaki huyo achukuliwe hatua! !!!

hivi umejiuliza endapo tukio hilo angekuwa amefanyiwa mwanamke Hali ingekuwaje humu katika upande wenu. ........??

Kuna wakati yatipasa tu - onyeshe Utu wetu katika Matukio kama Hasi kama haya pasipo kujali jinsia zetu. Dini .wala itikadi

Mtoa mada ametoa boko
 
Nilianzisha mahusiano na huyu mwanaume miaka miwili na nusu ilopita. Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu. Sikuweza kumfukuza i just decided to play along though sikupendezwa. Akachukua majukumu ya kulipia rent na matumizi mengine ya ndani.

Kuhusu mambo ya matumizi yuko vizuri tu, japo nafanya kazi na nina biashara zangu pia ila bado hunipa pesa za matumizi. Amenitambulisha nafikiri karibia kwa ndugu zake wote na wanajua tunaishi pamoja, lakini mimi anawafahamu marafiki zangu wawili tu.

Sikuwa tayari kumtambulisha sana kwa upande wangu maana i was having second thoughts. Amekuwa akihitaji mtoto tangu tunaanza mahusiano hivyo nikawa na mtihani wa kujitahidi nisishike mimba kwa kipindi chote hicho.

Amekazania sana issue ya kutaka tufunge ndoa, nimeshalikwepa sana ili ajiongeze lakini naona haelewi somo. Naogopa kumwambia direct kuwa siko tayari kuolewa na yeye, i never fell in love with him. We rushed into this, didnt give me time to digest this. Now i feel like am suffocating. Nimejaribu sana kumpenda nimeshindwa.

Nitumie njia gani ambayo haitomuumiza sana, au itakayomfanya yeye aniache? Nisaidieni maana am tired living a lie.
Wanaume huwa hatuumii. I am sure ukimwambia atafurahi sana.
 
Yaani haujaliona tatizo la mtoa mada like seriously? ? Au ni kwa kuwa kwako ni Habari ya binaadamu kumla Samaki

Ila ingekuwa ni tukio la Samaki kumla binaadamu kwa upande wako ..basi Ungetamani kuona TV .magazeti. na social media zote zikikemea vikali na kutaka Samaki huyo achukuliwe hatua! !!!

hivi umejiuliza endapo tukio hilo angekuwa amefanyiwa mwanamke Hali ingekuwaje humu katika upande wenu. ........??

Kuna wakati yatipasa tu - onyeshe Utu wetu katika Matukio kama Hasi kama haya pasipo kujali jinsia zetu. Dini .wala itikadi

Mtoa mada ametoa boko
Suala si kuona au kutokuona tatizo. Nakumbuka kuna uzi mwanaume alileta scenario kama hii wanaume walimtia sana moyo mwenzao, kwamba it's okey, it happens na wengi sana wakashea visa vyao vinavyofanana na hivyo, sema nimesahau title ya uzi ningeweka link. Ndio maana ninapowakuta wanatoa povu tena wengine in walewale walishadadia kule nabaki mdomo wazi
 
Suala si kuona au kutokuona tatizo. Nakumbuka kuna uzi mwanaume alileta scenario kama hii wanaume walimtia sana moyo mwenzao, kwamba it's okey, it happens na wengi sana wakashea visa vyao vinavyofanana na hivyo, sema nimesahau title ya uzi ningeweka link. Ndio maana ninapowakuta wanatoa povu tena wengine in walewale walishadadia kule nabaki mdomo wazi
Hao hawana utu 'ni wa binafsi so hatupaswi kufanya makosa kama yao ' kisa tu wao Wali fanya kwa mtu mwingine ambaye ni jinsia pinzani na wao

Ifike mahala kwenye nyekundu tuseme ni nyekundu na nyeupe tuseme ni nyeupe pia. ..Bila ya kujali tofauti zetu. ..tuweke utu mbele
 
Hao hawana utu 'ni wa binafsi so hatupaswi kufanya makosa kama yao ' kisa tu wao Wali fanya kwa mtu mwingine ambaye ni jinsia pinzani na wao

Ifike mahala kwenye nyekundu tuseme ni nyekundu na nyeupe tuseme ni nyeupe pia. ..Bila ya kujali tofauti zetu. ..tuweke utu mbele
Mimi nimetoa maoni yangu binafsi, actually sijatoa ila yapo ambayo nimesupport. Kinachonishangaza ni vile watu walewale walioona mwanamke kufanyiwa ni sawa na mwanamke kufanya wanatoa povu. Usiseme sio wewe mimi ukiweka maoni hapa naashum ndio maoni ya Azarel, ndio maoni ya Daby, Extrovert Kaboom na wengineo vinginevyo nao waje watoe maoni yao binafsi (joke)
 
Mimi nimetoa maoni yangu binafsi, actually sijatoa ila yapo ambayo nimesupport. Kinachonishangaza ni vile watu walewale walioona mwanamke kufanyiwa ni sawa na mwanamke kufanya wanatoa povu. Usiseme sio wewe mimi ukiweka maoni hapa naashum ndio maoni ya Azarel, ndio maoni ya Daby, Extrovert Kaboom na wengineo vinginevyo nao waje watoe maoni yao binafsi (joke)
Hahaha hapo sasa una kwenda mrama. ..yaani mawazo yangu mimi Yana weza kuwa sawa na hao watu ulio wa-quote hapo wakati unajua kuwa binaadamu tunatofautiana katika uwezo wa kufikiri na utendaji pia !!!!.. Haha hii sio sawa '
 
Ukweli z
Nilianzisha mahusiano na huyu mwanaume miaka miwili na nusu ilopita. Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu. Sikuweza kumfukuza i just decided to play along though sikupendezwa. Akachukua majukumu ya kulipia rent na matumizi mengine ya ndani.

Kuhusu mambo ya matumizi yuko vizuri tu, japo nafanya kazi na nina biashara zangu pia ila bado hunipa pesa za matumizi. Amenitambulisha nafikiri karibia kwa ndugu zake wote na wanajua tunaishi pamoja, lakini mimi anawafahamu marafiki zangu wawili tu.

Sikuwa tayari kumtambulisha sana kwa upande wangu maana i was having second thoughts. Amekuwa akihitaji mtoto tangu tunaanza mahusiano hivyo nikawa na mtihani wa kujitahidi nisishike mimba kwa kipindi chote hicho.

Amekazania sana issue ya kutaka tufunge ndoa, nimeshalikwepa sana ili ajiongeze lakini naona haelewi somo. Naogopa kumwambia direct kuwa siko tayari kuolewa na yeye, i never fell in love with him. We rushed into this, didnt give me time to digest this. Now i feel like am suffocating. Nimejaribu sana kumpenda nimeshindwa.

Nitumie njia gani ambayo haitomuumiza sana, au itakayomfanya yeye aniache? Nisaidieni maana am tired living a lie.
'Ukweli siku zote hukuweka huru'
 
Hamna kitu kinaumiza kama kujua unampenda mtu af kumbe mwenzio unamkera kwa kumpenda kwako!
Muache mapema , aumie atapona kwani umekuwa hewa mama, kuwa atakufa?

Hembu muache yawe mafupi!
Khantwe .. Umeona hapa binamu ameweka usawa wa jinsia yake na mtoa mada kando. .Kisha ameamua kusimama kwenye ukweli 'kama ambavyo Utu unavyo taka. ....

So what if ninge include mawazo yako au ya mtoa mada kuwa ndio mawazo ya wanawake wote don't you see kuwa ningekuwa nime muonea madame snowhite
 
Shida nini mama? Au anafanya makosa mengine ambayo hayavumiliki? Hebu tuelezee vizuri. Maana kutaka kumuacha mwanaume kama huyo bila kosa siyo hali ya kawaida ni pepo hilo.
Hahaha yaani mpaka wewe mtetezi wa wanawake wenzako. ..Umeamua kumshangaa mtoa mada ambaye ni jinsia mwenza. .basi mtoa Mada itakuwa ana shida mahali sio bure
 
Hahaha hapo sasa una kwenda mrama. ..yaani mawazo yangu mimi Yana weza kuwa sawa na hao watu ulio wa-quote hapo wakati unajua kuwa binaadamu tunatofautiana katika uwezo wa kufikiri na utendaji pia !!!!.. Haha hii sio sawa '
it's a joke nimesema
 
Back
Top Bottom