Said Sanzy
New Member
- Jun 18, 2015
- 3
- 1
Kwa nin na wew hukumkataa mwanzo hata kabla hajahamia kwako na kukutambulisha kwa ndugu zake...mambo mengine tunajitakia tu...kama hukumpend hukutakiwa kumpa ushirikiano tangu mwanzo maana unapomtambulisha mtu hata kwa rafki zako yey anajua unampenda na upo serious kwake ila kama umeamua kumuacha fanya hivyo kabla ya hajaanza mipango ya ndoa ila umueleweshe kistaarab japo itakuwa si rahisi kukuelewa hata ndugu zake pia watakupa wakat mgum kwel




