I don’t wanna marry him, what should I do?

I don’t wanna marry him, what should I do?

Wanawake ni watu wa ajabu mno...! Hamueleweki mnataka nini maishani, ushamtumia wee leo waona hakufai, mwambie ukweli lakini ujue kuwa wakati utapofika wa wewe kumtaka umpendae haitakuwa rahisi sana kwako, na utamuita huyo unayetaka kumuacha na wala hatogeuka kuusikiliza wito wako.
 
Dunia haiko fair huyo anayekupenda unamuona sio wa maana unayempenda wewe anakuona wewe sio wa maana kuna siku na saa utakuja kumjutia huyo kaka... natamani nikushauri kwa namna ambayo ungeweza kunielewa ila utakuja kuelewa siku yatakapokukuta
 
HAYA NDIO MAMBO YAKUPOTEZEANA MUDA SI MAZURI KABISA, SINCE UNAANZA NAE MAHUSIANO DIDN'T YOU KNOW THAT HE IS NOT UR TIME, AFTER ALL NDIO UMEKUJA KUJUA SASA HIVI HIZO SABABU ZAKO BINAFSI?? KUSEMA UNA SABABU BINAFSI AMBAZO NI PERSONAL MAANA YAKE HE HAS NOTHING BAD TO YOU, BUT YOU HAVE BAD PERCEPTION INTO YOUR MIND ABOUT HIM THATS WHY UNAMMALIZIA MUDA, ILA BETTEE EARLY THAN LATE, AFTEE ALL YEARS NI BORA USIENDELEE KUMPOTEZEA MUDA, HUWA NAPENDA KUSEMA UKIONA UNAMCHOKA MTU BASI HUYO HAKUWA CHAGUO LAKO, NA KAMA SI CHAGUO LAKO BASI NI VEMA USIENDELEE KUMPOTEZEA MUDA MAANA KARMA IS OUT THERE WAITING FOR YOU,
ILA KUNA VINGINE VINACHEKESHA SANA AFTER ALL THE TIME NOW YOU HAVE TO YOUR SENSES THST HE IS NOT YOUR TYPE?? JARIBU KUWA SERIOUS IN RELATION COZ YOU ARE USING SOMEONES TIME IN ADVANTAGE OF YOURS, KAMA UNAJUA WA MBILI HAVAI MOJA ELEWEKA MAPEMA.
Dah ,aiseee....
 
Nimejitahidi sana kwa kipindi chote hicho ila sikuwahi na sidhani kama nitaweza. Imefikia hatua i just hate everything about him. Kumbuka hata hii ya kuishi pamoja sikuwahi kuifurahia.
Kama ni hivyo hakuna sababu ya kuwa sijui na huruma, au kushindwa kumwambia,tell him unajisikia, hata Mungu atakusimamia, na pia Mungu atajua huyo mwanaume amletee mwanamke yupi wa kufanana nae.. Umefanya vibaya sana kukaa kimya muda wote. " Baba hapendi".
 
Hao ndio wanawake bwana

Sifa yao kubwa ni kwamba ---hata wao wenyewe hawakijui wanachokitaka
Acha tu mkuu.Ni vile baai hatuwez kujizuia kupenda ila mapenzi ni upumbavu uliotukuka sanaa
 
Sometimes namwelewa mtoa mada sometimes simuelewi.

Namuelewa kwa sababu najua huwezi lazimisha kupenda.

Nashindwa kumuelewa kwa sababu naona ana ego flani hivi, maana sentensi tatu anatamka, "biashara zangu". Sitaki kuendelea kufanya profiling, lakini, a brother is in a very difficult situation.

Yote kwa yote, Lazima ufanye uamuzi kwa faida yako, faida yake, na faida ya Jamhuri.
Kabisa,hasara ya jamuhuri inajulikanaga kabisa,hasa kwenye suala la mapenzi.
 
Hahaha Soo True

Mazee hii kweli kabisa. Hata dem awe mpole mkarimu mtaratibu vp...unavyozidi kumtukuza tu ndio unazidi kuharibu.

Ishanikuta sanaa hii.

Na zile tongoza za kubembeleza ndio kabisaaa
Kweli kabisa,wanasema mwanamke kwa kadri unavyotaka kumuweka karibu ndio unavyopoteza uwezekano wa kuwa nae,hawa viumbe aisee,..
 
Hahaha kwa hiyo mtu kusema biashara zangu ni kosa? Katika eneo hilo alitakiwa asemeje eti, biashara zetu? Wanaume watu wa ajabu sana ninyi
Neno zangu,mimi ,yangu, ni sumu sana kwenye mahusiano,mtu mwenye u- mimi ..hata huwa salamu simpi.
 
Back
Top Bottom