Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,155
Eeeh
Na mm nataka nihamie kwako
Na mm nataka nihamie kwako
Jamani mbona mimi nimewahi umwa na nyoka wengine wengi nawajua wameumwa na nyokaNaskia kuna mazungumzo
Shetan alifanya na eva pale eden
Hatujui alichiwambia mpaka leo
Hafu ni mara chache sana mwanamke kuumwa na nyoka sijui wana agreement gani hawa !!![]()
hahahahaha... kuwa tumekariri. lakini wewe ndio sababu kwanini tumekariri
Mmeanza matatizo yenu toka kuumbwa nyie ndo chanzo chenyewe cha matatizo nyie ndo mashetan sisi ni victims wenu
Kwa vyovyote vile utakavyofanya lazima aumie.sasa kama ni kweli humpendi na haupo tayari kuolewa nae mwambie tu ukweli kua unamwaga mboga.Nilianzisha mahusiano na huyu mwanaume miaka miwili na nusu ilopita. Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu. Sikuweza kumfukuza i just decided to play along though sikupendezwa. Akachukua majukumu ya kulipia rent na matumizi mengine ya ndani.
Kuhusu mambo ya matumizi yuko vizuri tu, japo nafanya kazi na nina biashara zangu pia ila bado hunipa pesa za matumizi. Amenitambulisha nafikiri karibia kwa ndugu zake wote na wanajua tunaishi pamoja, lakini mimi anawafahamu marafiki zangu wawili tu.
Sikuwa tayari kumtambulisha sana kwa upande wangu maana i was having second thoughts. Amekuwa akihitaji mtoto tangu tunaanza mahusiano hivyo nikawa na mtihani wa kujitahidi nisishike mimba kwa kipindi chote hicho.
Amekazania sana issue ya kutaka tufunge ndoa, nimeshalikwepa sana ili ajiongeze lakini naona haelewi somo. Naogopa kumwambia direct kuwa siko tayari kuolewa na yeye, i never fell in love with him. We rushed into this, didnt give me time to digest this. Now i feel like am suffocating. Nimejaribu sana kumpenda nimeshindwa.
Nitumie njia gani ambayo haitomuumiza sana, au itakayomfanya yeye aniache? Nisaidieni maana am tired living a lie.
Wala mmeamua tu wenyewe kukariri
Kama ingekuwa sisi ndo chanzo na sisi ndo wenye makosa kwanini Mungu asingetupa adhabu sisi tu bali alitupa wote?
Sometimes namwelewa mtoa mada sometimes simuelewi.
Namuelewa kwa sababu najua huwezi lazimisha kupenda.
Nashindwa kumuelewa kwa sababu naona ana ego flani hivi, maana sentensi tatu anatamka, "biashara zangu". Sitaki kuendelea kufanya profiling, lakini, a brother is in a very difficult situation.
Yote kwa yote, Lazima ufanye uamuzi kwa faida yako, faida yake, na faida ya Jamhuri.
Bibie umeolewa..?Yaani haujaliona tatizo la mtoa mada like seriously? ? Au ni kwa kuwa kwako ni Habari ya binaadamu kumla Samaki
Ila ingekuwa ni tukio la Samaki kumla binaadamu kwa upande wako ..basi Ungetamani kuona TV .magazeti. na social media zote zikikemea vikali na kutaka Samaki huyo achukuliwe hatua! !!!
hivi umejiuliza endapo tukio hilo angekuwa amefanyiwa mwanamke Hali ingekuwaje humu katika upande wenu. ........??
Kuna wakati yatipasa tu - onyeshe Utu wetu katika Matukio kama Hasi kama haya pasipo kujali jinsia zetu. Dini .wala itikadi
Mtoa mada ametoa boko
ONE OF MY EX PARTNER ALINICHANA KWA FORMULA HII AND I DID APPRECIATE PLUS UNDERSTOOD HER AFTERWARDS."...Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu..."...
Hapo umedanganya. Kuna vitu vilivyokufanya umpende mpaka ukakubali ahamie kwako. Pengine vitu hivyo kwa sasa havipo au vimebadilika. Au pengine ulitaka tu akusaidie katika hayo mambo ya rent na mengineyo na sasa umefikia melengo yako unamwona hafai. Kizungumkuti cha dunia: wenzio wanahaha kutafuta waume wa kuwaoa.
Ili kuzuia mikanganyiko jikaze tu umwambie ukweli. Toa sababu zako. Hata kama umepata mwanaume mwingine unayedhani anakufaa zaidi we mwambie tu. Hii ni bora kuliko kuanza kumfanyia visa na mambo mengine ya kitoto. Kama anakupenda kikweli atakuelewa na hatakulazimisha lakini lifanye hili kwa heshima, utashi mwema, uwazi na unyenyekevu. Kama unaona ni vyema unaweza kumwambia mbele ya mchungaji wenu au mtu mwingine mwenye mamlaka kama mama yako...Ukifanya vinginevyo si ajabu tutakuja kukusoma ukiwa kama mwathirika wa hawa wanaocharangwa mapanga na kuchomwa visu na wapenzi wao baada ya wapenzi wao kuwekeza sana tena kwa muda mrefu halafu wanakuja kuwafanyia visa vya kijinga mwishoni mwishoni huku...
Mungu Akuhekimishe katika hili![]()
Thanks broONE OF MY EX PARTNER ALINICHANA KWA FORMULA HII AND I DID APPRECIATE PLUS UNDERSTOOD HER AFTERWARDS.
SALUTE BRO!!



How old are you?Nilianzisha mahusiano na huyu mwanaume miaka miwili na nusu ilopita. Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu. Sikuweza kumfukuza i just decided to play along though sikupendezwa. Akachukua majukumu ya kulipia rent na matumizi mengine ya ndani.
Kuhusu mambo ya matumizi yuko vizuri tu, japo nafanya kazi na nina biashara zangu pia ila bado hunipa pesa za matumizi. Amenitambulisha nafikiri karibia kwa ndugu zake wote na wanajua tunaishi pamoja, lakini mimi anawafahamu marafiki zangu wawili tu.
Sikuwa tayari kumtambulisha sana kwa upande wangu maana i was having second thoughts. Amekuwa akihitaji mtoto tangu tunaanza mahusiano hivyo nikawa na mtihani wa kujitahidi nisishike mimba kwa kipindi chote hicho.
Amekazania sana issue ya kutaka tufunge ndoa, nimeshalikwepa sana ili ajiongeze lakini naona haelewi somo. Naogopa kumwambia direct kuwa siko tayari kuolewa na yeye, i never fell in love with him. We rushed into this, didnt give me time to digest this. Now i feel like am suffocating. Nimejaribu sana kumpenda nimeshindwa.
Nitumie njia gani ambayo haitomuumiza sana, au itakayomfanya yeye aniache? Nisaidieni maana am tired living a lie.
U talked point, I bet she can't do that, maelezo yake yanaongea yenyeweMie nakushauri UACHANE NAE ..
.tafuta wakati uongee nae
...kuwa straight and firm
...ila kuwa msikivu
let him talk his fears..
kama uhusiano utavunjika nini anakihofia most..
.halafu hio ndio iwe starting point..
hakikisha ,unamhakikishia utakua bega kwa bega kwenye mambo yote anayohofia
..sema huwezi kuwa mke wake
..kama ni kipato..
.unaweza kumfungulia biashara ama mkafungua joint business
......hakikisha unamuacha ana feel confident that there's love in this world and he deserve happiness
.....Usimcriticise as itamuondelea kujiamini…
…………...Kuweni Friends ..
Au, Friends with benefits.
.is also okay...only if you both know the BOUNDARIES....
Nilianzisha mahusiano na huyu mwanaume miaka miwili na nusu ilopita. Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu. Sikuweza kumfukuza i just decided to play along though sikupendezwa. Akachukua majukumu ya kulipia rent na matumizi mengine ya ndani.
Kuhusu mambo ya matumizi yuko vizuri tu, japo nafanya kazi na nina biashara zangu pia ila bado hunipa pesa za matumizi. Amenitambulisha nafikiri karibia kwa ndugu zake wote na wanajua tunaishi pamoja, lakini mimi anawafahamu marafiki zangu wawili tu.
Sikuwa tayari kumtambulisha sana kwa upande wangu maana i was having second thoughts. Amekuwa akihitaji mtoto tangu tunaanza mahusiano hivyo nikawa na mtihani wa kujitahidi nisishike mimba kwa kipindi chote hicho.
Amekazania sana issue ya kutaka tufunge ndoa, nimeshalikwepa sana ili ajiongeze lakini naona haelewi somo. Naogopa kumwambia direct kuwa siko tayari kuolewa na yeye, i never fell in love with him. We rushed into this, didnt give me time to digest this. Now i feel like am suffocating. Nimejaribu sana kumpenda nimeshindwa.
Nitumie njia gani ambayo haitomuumiza sana, au itakayomfanya yeye aniache? Nisaidieni maana am tired living a lie.
kwenye mapenzi hakuna njia ya kumuacha mtu isiyoumiza...Nitumie njia gani ambayo haitomuumiza sana,
Nilianzisha mahusiano na huyu mwanaume miaka miwili na nusu ilopita. Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu. Sikuweza kumfukuza i just decided to play along though sikupendezwa. Akachukua majukumu ya kulipia rent na matumizi mengine ya ndani.
Kuhusu mambo ya matumizi yuko vizuri tu, japo nafanya kazi na nina biashara zangu pia ila bado hunipa pesa za matumizi. Amenitambulisha nafikiri karibia kwa ndugu zake wote na wanajua tunaishi pamoja, lakini mimi anawafahamu marafiki zangu wawili tu.
Sikuwa tayari kumtambulisha sana kwa upande wangu maana i was having second thoughts. Amekuwa akihitaji mtoto tangu tunaanza mahusiano hivyo nikawa na mtihani wa kujitahidi nisishike mimba kwa kipindi chote hicho.
Amekazania sana issue ya kutaka tufunge ndoa, nimeshalikwepa sana ili ajiongeze lakini naona haelewi somo. Naogopa kumwambia direct kuwa siko tayari kuolewa na yeye, i never fell in love with him. We rushed into this, didnt give me time to digest this. Now i feel like am suffocating. Nimejaribu sana kumpenda nimeshindwa.
Nitumie njia gani ambayo haitomuumiza sana, au itakayomfanya yeye aniache? Nisaidieni maana am tired living a lie.