Huyu ni Mungu wa aina gani anaacha niteseke kiasi hiki?

but nasikitika imefikia hatua hekalu la mungu limegeuzwa kuwa sehemu ya biashara ckuiz nakosa imani kabsa na ndo maan nimekuja na hii thread ni wap nikimbilie pengine unaweza na ushaur mzur nikapata option nyingine ya kunisaidia tofaut na kumlilia mungu.
Still humjui Mungu wako pole sana mkuu
 
Always nasema kuwa pamoja na mapambano makali ya kutafuta kufanikiwa maishani,but always msimamo wangu utabakia kuwa katika maisha KUFANIKIWA NI BAHATI..haijalishi nani anaisababisha hiyo bahati,but ukweli kama hauna BAHATI mafanikio sahau...kuna wengi hata hawapambani kiivyo na wanatoboa,na weeengi wapambanaji huwa wanakufa wakiwa na average life,tofauti na matarajio ambayo walikuwa wamejiwekea maishani..
Kweli,

Mafanikio hayategemei juhudi pekee,,ingekuwa hivyo kila mtu angefanikiwa,,

Mafanikio ni KIBALI na kibali ni BAHATI,,,
Hivyo;
MAFANIKIO=KIBALI+MIPANGO MIZURI+JUHUDI.
 
Kuna thread inasema zijue tabia za wana jf, yaani kila comment hapa sifa yake ipo kule, kuna watu wanamjua Mungu hapa kuliko aliyeandika thread, kuna watu wanamaisha safi kabisa,😂😂😂😂.
 
Ikiwa bado hujapokea baraka zako usikate tamaa wala usione wivu kwakuona shuhuda za watu wengine.

Tambua muda wako unakaribia na utashangaza wengi.
 
Kuna thread inasema zijue tabia za wana jf, yaani kila comment hapa sifa yake ipo kule, kuna watu wanamjua Mungu hapa kuliko aliyeandika thread, kuna watu wanamaisha safi kabisa,😂😂😂😂.
Ama kwel ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni. Fany unitag mkuu
 
but nasikitika imefikia hatua hekalu la mungu limegeuzwa kuwa sehemu ya biashara ckuiz nakosa imani kabsa na ndo maan nimekuja na hii thread ni wap nikimbilie pengine unaweza na ushaur mzur nikapata option nyingine ya kunisaidia tofaut na kumlilia mungu.
Huko unakowaza ndiko utapotea kabisa, usione watu wanamihela weee hiyo mia yako idhamini hivyo hivyo kila mtu ana siri yake, wewe ukienda katika nyumba ya ibada mwamini Mungu tu, shika ulicho nacho usimtegee huyo mtu dini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula kunywa kulala sio Mambo yote Mtu anahitaji ziada ambayo itamsaidia apatapo tatizo pia anahitaji kujimwambafai kwa matokeo mazuli yajuhudi zake.

Mkuu umejituma kwa juhudi ukayaacha maalifa
Wewe kinachokutesa ni kutaka ku show off. Na kuonekana na totoz wa ukweli.

kwa hali hiyo lazima utamlaumu sana Mungu nae anakubania kukuepusha na maovu.
 
Mbona huangalii neema ulizojaaliwa unaangalia ambavyo huna?

Hapo wewe sio mzima wa afya? Kuna watu wana pesa kibao lakn hawafaidi maisha hata kidgo kutokana na maradhi yanayowakumba, ww mpk unamiliki smart4n na kuweza kuweka bando na kuchati jf unajiona una hali ngumu?

Binadamu tumejaaliwa neema nyingi sana lakini kazi yetu ni kuangalia tumenyimwa nn, Mungu atusamehe sana.

Maaachallah sheikh idrissou,, atakuwa amekuelewa sana
 
Daah!

Wakuu, najitahidi sana kufanya kazi kwa bidii kwa miaka kadhaa hapo nyuma mpaka leo mwaka wa tano huu bila kutetereka kama ni kuumia nimeumia sana kuna muda nafikia stage najiuliza ya kwamba hivi kama yupo MUNGU wetu tunaemuabudu, kumuimba na kumsifu kila uchao, je anaweza niacha naendelea kuteseka namna hii?
Mungu yupo haijalishi taabu na changamoto tunazopitia! Ni madhila gani unapitia? Umewahi kumkumbuka kwa zaka na sadaka? Pole kwa yote unayopitia!
 
mwaka 1755 kwenye mji mkubwa wa Lisbon kule uholanzi....ilikuwa sikukuu ya watakatifu (all saints day) na lisbon ulikuwa mji mtakatifu wa kikatoliki (holy city).
kwahiyo siku hiyo watu wote walikuwa makanisani.
likaja tetemeko kubwa na kuangusha majengo makubwa yote...unajua majengo makubwa kwa kipindi hiko yalikuwa ni yapi? yalikuwa ni makanisa
Baada ya tetemeko ikaja tsunami na kuuzoa mji mzima.
watu zaidi ya 80,000 walifariki wakiwa makanisani wanawake kwa watoto, vijana na wazee
Na mji wa lisbon wote ulipotea

Sasa jiulize huyo mungu alikuwa wapi?
Je huyo mungu anaweza kila kitu? je huyo mungu anatupenda wanadamu?

Majibu nayopata ni matatu
1. Mungu anaweza kia kitu ila hatupendi wanadamu ndiyo maana anatuacha tuhangaike,
2. Mungu anatupenda wanadamu lakini hana uwezo wa kutulinda na kutuokoa wote au
3. Huyo mungu hayupo
 
but nasikitika imefikia hatua hekalu la mungu limegeuzwa kuwa sehemu ya biashara ckuiz nakosa imani kabsa na ndo maan nimekuja na hii thread ni wap nikimbilie pengine unaweza na ushaur mzur nikapata option nyingine ya kunisaidia tofaut na kumlilia mungu.
Ndio ujue Mungu hana Hekalu la Kukaa wala Kuabudiwa. Unafikiri kama Angekuwa na Hekalu angeruhusu Liwe ni La Biashara
 
Daah!

Wakuu, najitahidi sana kufanya kazi kwa bidii kwa miaka kadhaa hapo nyuma mpaka leo mwaka wa tano huu bila kutetereka. Kama ni kuumia nimeumia sana. Kuna muda nafikia stage najiuliza ya kwamba hivi kama yupo MUNGU wetu tunayemuabudu, kumuimba na kumsifu kila uchao, je anaweza niacha naendelea kuteseka namna hii?
Mungu huwa hapendi kulaumiwa, ila anapenda kulalamikiwa. Mlalamikie kumuonyesha kuwa njia yako ni YEYE na bila yeye huwezi kutoka hapo ulipo. Usiendelee kumlaumu kwa sababu kwa kufanya hivyo, ATAKUPIGA muda siyo mrefu. Ni uhakika na siyo utani
 
Wewe kinachokutesa ni kutaka ku show off. Na kuonekana na totoz wa ukweli.

kwa hali hiyo lazima utamlaumu sana Mungu nae anakubania kukuepusha na maovu.
Mkuu mim cna maana hio utakuwa umeninukuu vibaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom