Muungwana JK, tulijua toka wakati wa uchaguzi kuwa yeye na kundi lake la mtandao kisiasa wana tatizo kubwa, maana zile kampeni hazikuwa za kawaida kwa nji yetu masikini. Hela za kampeni zilikuwa nyingi mno, kuharibu majina ya wanasiasa wengine kwa makusudi ili tu wapate power,
Wakaenda mpaka kuiharibu katiba na mwenendo wa uchaguzi wa CCM, wakatishia mpaka kwamba nji haitatawalika iwapo hawatapata, wakawaharibu watu babu kubwa kama kina Salim, maneno mengi, tulijua kuwa ni upepo tu na nguvu ya soda, tuliposema mapema tukatukanwa matusi mazito kule BCS, tulipojaribu kuwasihi wabongo waamuke usingizini, maana they were about to commit the worst political mistake ever, wakatujia juuu, sasa here we are!
One year tayari wananchi wamechoka, tena choka mbaya maana wamepigika ile mbaya na hawana hamu, leo eti Muungwana hataki misiifa, ebo! hataki misifa kwa vipi? Yaani anatuona sisi wabongo wajinga? au? Hebu atuambie zile misifa aliyokuwa akipewa hata kabla ya uchaguzi na kina Kingunge, Tido Mhando mzee wa polls za BBC, watu wa Mlimani, zilikuwa ni sifa za nini? Aliwahi kufanya nini cha maana kabla ya kuwa rais? Hebu kuweni wakweli what didi the man do?
Muungwana toka siku ya kwanza ulipoanza hizi kampeni za urais you were wrong, sina tatizo na Muungwana personally, lakini kiuongozi I do, kwa sababu you just don't have it, kule mwanzoni nilisema kwamba kile tu kitendo cha kuwapa watu 60 uwaziri, mpaka Ikulu viti havikutosha kwenye mkutano wa cabinet, ilikuwa tayari dalili za ku-go home.Mimi ninasema katika awamu nzima ya nne tuliyonayo, ninamuona kiongozi mmoja tu angalau mwenye nafuu naye ni Mama Migiro, wengine wote wanaweza kufunga virago waondoke na taifa letu litakuwa just fine! Yes we will be just fine, I mean what are these people doing? Kuna mliosema tumpe muda, sasa tuambieni tufanye nini sasa?
Eti leo hataki misifa tena? Mzee JK na kundi lako tafuteni njia za kujiondoa kwenye madaraka, kwa sababu hakuna njia nyingine ya kuwaondoeni, na hatuwezi kusema eti mnaweza kuwa rehabilitated kwa sababu mtu anyekuwa rehabed, ni yule ambaye kabla ya kuwa na tatizo alikuwa sawa, sasa nyinyi hamjawahi kuwa sawa, ndio maana hiyo option haipo, nyinyi ni kuondoka au mkiendelea acheni ngebe ngebe,
nyamazeni kuleni mapesa ya kodi zetu wajinga, hakuna hope maana Chadema nayo ndio hivyo tena taifa zima tutaishia kulazimishwa kula kisusio for breakfast na kusikiliza miziki ya Jimmy Reeves na Dolly Parton!