Huyu ndiye ‘the real’ Kikwete!

Huyu ndiye ‘the real’ Kikwete!

ili kuhimili maisha ya dodoma kipindi hiki....itabidi nikakope hizo pesa za bilioni moja,niweze kula angalau kuku. wakati huu wa rvf,bei ya kuku imepanda sana!
 
Mimi najiuliza kama Nchi ina shida hii tu yaani hotuba ya mwezi mzima ameongelea haya pekee ?Tanzania haina shida zingine urgent sawa na RVF ?
 
Mimi najiuliza kama Nchi ina shida hii tu yaani hotuba ya mwezi mzima ameongelea haya pekee ?Tanzania haina shida zingine urgent sawa na RVF ?
Watu wanapoteza maisha kuhusu huu ugonjwa kuliko hata tunavyodhani au tunavyoelewa.Fedha nyingi zimeteketea kukabiliana nalo na Bado nyingine zinahitajika kingine kikubwa ni Busara Rais kuliongelea hilo kwani kama wananchi watalipuuzia litaendelea kumaliza nguvu kazi ya Taifa...............Inaua HARAKA SANA,Tukumbuke huyu ni Amiri Jeshi Mkuu na hii ni moja ya vita dhidi ya adui maradhi.
 
Serikali ya JK yaweka historia

Habari Zinazoshabihiana
• Karume abeza wapinzani Zanzibar 01.02.2007 [Soma]
• Mpasuko wa kisiasa Z'bar wawa mwiba 27.07.2006 [Soma]
• Mpasuko wa kisiasa Z'bar wawa mwiba 27.07.2006 [Soma]

*Yajadili taarifa Mdhibiti, Mkaguzi Mkuu Hesabu za Serikali
*Yaelezwa kuwa haijawahi kufanyika tangu historia ya nchi hii

Na Mwandishi Wetu

KWA mara ya kwanza katika historia ya nchi, Baraza la Mawaziri limepokea na kujadili taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2005/2006.

Taarifa iliyotolewa Ikulu Dar es Salaam jana, ilisema Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, aliwasilisha taarifa hiyo kwa Rais Jakaya Kikwete, kwa mujibu wa Sheria Machi 26 mwaka huu.

Kwa mujibu wa Sheria hiyo, taarifa hiyo inatakiwa iwasilishwe katika kikao cha Bunge kinachofuata baada ya kuwasilishwa kwa Rais.

Taarifa hiyo iliwasilishwa bungeni juzi na baada ya hapo, Rais Jakaya Kikwete aliitisha Baraza la Mawaziri kuijadili katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), mjini Dodoma.

Rais aliagiza huo ndio uwe utaratibu wa kila mwaka wa kuijadili taarifa hiyo ya Mkaguzi Mkuu, ambapo Baraza la Mawaziri liliafiki na kuupongeza utaratibu huo.

Baraza pia lilimpongeza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Ludovick Utouh, kwa kutoa taarifa hiyo kwa wakati.

Katika majadiliano hayo, mawaziri hao walisisitiza kuwa ni muhimu na jambo la msingi fedha za umma zikasimamiwa na kutumiwa vizuri.

Kwa ajili hiyo Baraza limekubaliana kuwa udhaifu ulioainishwa katika taarifa hyo ufanyiwe kazi kwa dhati, ili taarifa ya miaka ijayo iwe nzuri.

Vile vile Baraza liliamua kuwa kila wizara, mkoa , idara za Serikali na Halmashauri, ziwe zinatoa taarifa za mapato na matumizi ya fedha kwa kila miezi mitatu na zijadiliwe chini ya uongozi wa mawaziri, viongozi wakuu wa idara, taasisi na halmashauri husika.

Katika kikao hicho, Baraza limeagiza kuwa hatua za haraka zichukuliwe kurekebisha kasoro zitakazobainika.

Mawaziri, naibu mawaziri, makatibu wakuu, naibu makatibu wakuu, wakuu wa mikoa na makatibu tawala, wahasibu wakuu na wakaguzi wa ndani watakutana kesho mjini Dodoma, chini ya Rais Kikwete.

Baada ya kikao hicho, Aprili 29 mwaka huu, kutakuwa na kikao kingine Dar es Salaam kitakachohusisha wahasibu na wakaguzi wa ndani wa halmashauri zote za wilaya na miji nchini na wakurugenzi wa halmashauri hizo, nacho kitaongozwa na Rais.

Baraza la Mawaziri linatumaini kwamba baada ya vikao hivyo, viongozi na watendaji wote husika watakuwa makini na matumizi ya fedha nchini na kuongeza nidhamu, ili kutekeleza malengo yaliyokusudiwa
 
i am taken by surprise to read in the news withregard to jk ..holiday at zamani kempski zanzaibar,..this is a series of relaxing holidays made last year including the dec 2006 in serengeti and ngurdoto....

sasa hizi gharama its too much ,mfano imeripotiwa kuwa znz,
amekodi parlours presidentials wings rooms 3@3800/day* 10days=114,000$
other studio rooms 15@300/day* 10days=45,000$
sasa hapo bado foods,entertainment ,galas,LOGISTICS ets
kimsingi mapumziko yake ya siku kumi tu pale znz yatatugarimu si chini ya dola500,000$ hapo sijaweka na posho za walinzi na vitu vingine.sasa kwa mwendo huu nakisi ya bajeti itaacha kufikia shillingi 1.14 trillion kwa mwaka huu tu ,maana hadi leo tayari nakisi ni 900 billion.
still ameita kikao wiki ijayo wakuuu wote wa mikoa na wakuu wa idara na mawaziri dar kujadili ripoti ya mhasibu mkuu wa serikali inayoseama kuna nakisi...kumbukeni kikao cha lowasswa na wakuu wa mikoa kujadili shule waziri kombani kasema walitumia 160million kwa posho,,,sasa na cha wiki ijayo cha jk?
 
Wewe Phillemon usiwe unaweka habari zingine maana utatufanya watu wengine tuanguke. Hii nchi inabidi mambo mengine usiyajue. It is terrible!
 
Mfano imeripotiwa kuwa znz, amekodi parlours presidentials wings rooms 3@3800/day* 10days=114,000$

other studio rooms 15@300/day* 10days=45,000$

sasa hapo bado foods,entertainment ,galas,LOGISTICS etc

kimsingi mapumziko yake ya siku kumi tu pale znz yatatugarimu si chini ya dola 500,000 hapo sijaweka na posho za walinzi na vitu vingine.sasa kwa mwendo huu nakisi ya bajeti itaacha kufikia shillingi 1.14 trillion kwa mwaka huu tu ,maana hadi leo tayari nakisi ni 900 billion.

still ameita kikao wiki ijayo wakuuu wote wa mikoa na wakuu wa idara na mawaziri dar kujadili ripoti ya mhasibu mkuu wa serikali inayoseama kuna nakisi... kumbukeni kikao cha Lowasswa na wakuu wa mikoa kujadili shule waziri kombani kasema walitumia 160million kwa posho,,,
sasa na cha wiki ijayo cha JK?


Yethu wangu!!!
 
JK is on his way to become the worst president we ever had. He needs to see a ENT specialist to clear his blocked ears. Imagine, kikao cha kujadili nakisi ambacho nacho kitaongeza nakisi!! Its like forming a committee to discuss why there are so many committees!!
 
i.....sasa kwa mwendo huu nakisi ya bajeti itaacha kufikia shillingi 1.14 trillion kwa mwaka huu tu ,maana hadi leo tayari nakisi ni 900 billion.
still ameita kikao wiki ijayo wakuuu wote wa mikoa na wakuu wa idara na mawaziri dar kujadili ripoti ya mhasibu mkuu wa serikali inayoseama kuna nakisi...kumbukeni kikao cha lowasswa na wakuu wa mikoa kujadili shule waziri kombani kasema walitumia 160million kwa posho,,,sasa na cha wiki ijayo cha jk?
JK is on his way to become the worst president we ever had. He needs to see a ENT specialist to clear his blocked ears. Imagine, kikao cha kujadili nakisi ambacho nacho kitaongeza nakisi!! Its like forming a committee to discuss why there are so many committees!!
 
Chief:

Hakuna wataalamu wa kumshauri Muungwana on such things.

Kazi ipo!
 
Nadhani NORAD watatusaidia katika hili suala la wataalamu wa kumshauri vile vile.
 
i am taken by surprise to read in the news withregard to jk ..holiday at zamani kempski zanzaibar,..this is a series of relaxing holidays made last year including the dec 2006 in serengeti and ngurdoto....

sasa hizi gharama its too much ,mfano imeripotiwa kuwa znz,
amekodi parlours presidentials wings rooms 3@3800/day* 10days=114,000$
other studio rooms 15@300/day* 10days=45,000$
sasa hapo bado foods,entertainment ,galas,LOGISTICS ets
kimsingi mapumziko yake ya siku kumi tu pale znz yatatugarimu si chini ya dola500,000$ hapo sijaweka na posho za walinzi na vitu vingine.sasa kwa mwendo huu nakisi ya bajeti itaacha kufikia shillingi 1.14 trillion kwa mwaka huu tu ,maana hadi leo tayari nakisi ni 900 billion.
still ameita kikao wiki ijayo wakuuu wote wa mikoa na wakuu wa idara na mawaziri dar kujadili ripoti ya mhasibu mkuu wa serikali inayoseama kuna nakisi...kumbukeni kikao cha lowasswa na wakuu wa mikoa kujadili shule waziri kombani kasema walitumia 160million kwa posho,,,sasa na cha wiki ijayo cha jk?

Maskini We Tanzania!!! Sasa
Presidential Suites mbili za ziada ni za nini? yani kujadili ripoti ya mhasibu mkuu na mawaziri ameona haitoshi sasa anataka kusafirisha wahasibu kuanziawa wilaya hadi taifa posho zao, nauli, hela ya kujikimu na malazi sitaki hata kufikiria itagharimu kiasi gani.
 
JK is on his way to become the worst president we ever had. He needs to see a ENT specialist to clear his blocked ears. Imagine, kikao cha kujadili nakisi ambacho nacho kitaongeza nakisi!! Its like forming a committee to discuss why there are so many committees!!
Hivi washauri wa Uchumi ni kina nani pale Ikulu?Hivi washauri wote wa Rais kwenye mambo mbali mbali pale Ikulu ni kina nani Hao?Mbona kila ushauri unaotolewa na kutangazwa kwa ajili ya kutatua swala fulani linaacha maswali mengi kuliko ufumbuzi.
 
In all this I am troubled na ukweli kwamba hawajazungumzia juu ya bust ya bajeti ya Wizara ya nje, mabayo inasemekana imetokana na safari nyingi mno za rais!

Eti kuna watu wa foreign hapa mtudokezee yaliyojiri huko, maana nasikia safari zote za uhamisho kwa maofisa wapya zimesitishwa kwa kukosa pesa?
 
Waheshimiwa niombeni kazi ya ushauri,Ninaweza nisiwe mzuri Lakini nafikiri ninaweza nikawa Bora Kulikoni hawa tulionao pale Ikulu. Hata ukaguzi wa mikataba nitaifanya,Mnaofahamiana na muungwana mko wapi?Mniombee kazi nitaifanya under probation ya miezi mitatu nikishindwa basi anitimue na Mapendekezo yangu yasipofanyiwa kazi baada ya miezi mitatu au kuonyesha dalili ya kuleta mafanikio Basi nitajiuzulu .Hasa kwenye hili la kubana matumizi kwenye serikali nitalifanya vizuri Zaidi......................!
 
Waheshimiwa niombeni kazi ya ushauri,Ninaweza nisiwe mzuri Lakini nafikiri ninaweza nikawa Bora Kulikoni hawa tulionao pale Ikulu. Hata ukaguzi wa mikataba nitaifanya,Mnaofahamiana na muungwana mko wapi?Mniombee kazi nitaifanya under probation ya miezi mitatu nikishindwa basi anitimue na Mapendekezo yangu yasipofanyiwa kazi baada ya miezi mitatu au kuonyesha dalili ya kuleta mafanikio Basi nitajiuzulu .Hasa kwenye hili la kubana matumizi kwenye serikali nitalifanya vizuri Zaidi......................!

Kumbe Kulikoni ni mshauri ikulu, sasa ujanja wote hapa kwenye forum kweli ameshindwa kumshauri Rais wetu vizuri? Wajemeni?
 
Chief:

Hakuna wataalamu wa kumshauri Muungwana on such things.

Kazi ipo!

je,kwa mfano, babako akikaa uchi mbele za watu[ajang'amua yuko uchi kwa kuwa alikuwa busy na mambo fulani],weye utafanyaje?....utamwacha ashtukie? utamwita na kumnong'oneza pembeni? au utatuma mtoto amweleze...."babu,zipu iko wazi!".

nadhani hili ndo lililowakuta wanaomshauri! hatmaye mtoto[utoh]akatumwa!

myoo upo hapo!
 
Katika usomi anaojivunia JK si ndio huu wa Economics pale mlimani?
 
Back
Top Bottom