OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,240
- 103,916
kocha amewahi kuifundisha Barcelona. teh tehKweli ladha ya soka la bongo ni maneno.
Kama level moja na klopp,anafanya nini kwenye timu isiyo na kiwanja wala ofisi nyakati za mvua?
kocha amewahi kuifundisha Barcelona. teh tehKweli ladha ya soka la bongo ni maneno.
Kama level moja na klopp,anafanya nini kwenye timu isiyo na kiwanja wala ofisi nyakati za mvua?
Tupe na ile ya kocha wa makombe
The guy is idiot and naive.The best ? Mkali wa hizi kazi au mkali wa mashuzi? The best of what? Au hata hujui maana ya the best? How can you sack the best coach? Who do you wanna hire? You are so pathetic.
AiseeHizi thread zenu tutakuja kuzifufua mwezi march tu hapo,Mungu akipenda inshallah!
Njoo bwana muheshimiwaHizi thread zenu tutakuja kuzifufua mwezi march tu hapo,Mungu akipenda inshallah!
Nakumbuka nilimpigia simu bwana kaze..😂😂
Hahaha...fungua kilinge cha ugangaHizi thread zenu tutakuja kuzifufua mwezi march tu hapo,Mungu akipenda inshallah!
Na saivi unasemaje?Niliposema simba mfumo wao ni mmoja ni rahisi makocha kuwasoma nilishukiwa kama mwewe
Yuko vizuriNimemtazama Kocha Cedric Kaze, nimeitazama tena Yanga ikiwa inacheza kisha nikamtazama tena yeye, nikasafiri mbali sana kupitia makabrasha yake Bwana Kaze.
Kaze huyu ana leseni A ya CAF na Leseni A ya Chama cha soka Ujerumani (DFB) ndio leseni ngumu zaidi ya ukocha kupatikana duniani, kifupi jina lake lipo kwenye daftari moja na wakina Jurgen Klopp.
Kaze huyu ndie alikuwa Mchambuzi wa viwango kwa timu ya Taifa ya Ujerumani chini ya miaka 21, kilichotwaa kombe la dunia 2009, weka nukta hapo! Yaani Ujerumani walimpa majukumu nyeti sana.
Kaze huyu alipewa kazi maalum na taifa la Ujerumani kufuatilia viwango vya viungo wao ingali wadogo, Toni Kroos, Sami Khedira na Mesuit Ozil, aliifanya kazi na akaikamilisha kazi.
Kwanini namtaja sana Kaze leo?? Naachaje kumtaa kama mnamwona Kibwana Shomari mchezaji kinda amebadilika kabisa anachukua mali eneo lake, anatunza mali kwa kujiamini na anaitoa kwa kujiamini.
Naachaje kumtaja Kaze kama ndie amempeleka Fei Toto mgahawani kisha achague Menu anayotaka, alichofanya yeye ni kumlipia bill yake, akamuweka sawa Mukoko, akawaambia Yanga chezeni kwa kumtazama huyu mtoto, nadhani mnamwona.
Naachaje kumtaja Kaze kama sio yeye aliemuibua Saido Ntabazonkiza ingali kinda, akacheza michezo ya Rolling stone pale Arusha, akaenda Ulaya na karudi tena kwenye mikono yake, tukionacho kwake ni matokeo ya akili ya Kaze, aliesema mpeni mpira aamue yeye
Natamani sana nimalize kwa kusema nyuma ya ubora wa Yanga Afrika ni huyu Kaze, natamani tumsake yule Mswahili aliesema 'Ngoja ngoja huumiza matumbo' tumuombe atengue kauli.
Goli tatu, alama tatu na round ya kwanza imeisha.
Hahaha...mwezi march ndo huu ngoja tufukue sasa.Njoo bwana muheshimiwa
Nimekuandalia chepe tulifukue vizuri
Barcelona ya Mburahatikocha amewahi kuifundisha Barcelona. teh teh
Uliwadharau wahenga waliokuja na msemo Ngoja Ngoja huumiza Matumbo, sasa Yanga wamepita humohumo ktk huo msemo wameona wakingoja wataumia matumbo wametimua.Waombe radhi wahenga na usirudie tena kuhoji walichosema wahengaNimemtazama Kocha Cedric Kaze, nimeitazama tena Yanga ikiwa inacheza kisha nikamtazama tena yeye, nikasafiri mbali sana kupitia makabrasha yake Bwana Kaze.
Kaze huyu ana leseni A ya CAF na Leseni A ya Chama cha soka Ujerumani (DFB) ndio leseni ngumu zaidi ya ukocha kupatikana duniani, kifupi jina lake lipo kwenye daftari moja na wakina Jurgen Klopp.
Kaze huyu ndie alikuwa Mchambuzi wa viwango kwa timu ya Taifa ya Ujerumani chini ya miaka 21, kilichotwaa kombe la dunia 2009, weka nukta hapo! Yaani Ujerumani walimpa majukumu nyeti sana.
Kaze huyu alipewa kazi maalum na taifa la Ujerumani kufuatilia viwango vya viungo wao ingali wadogo, Toni Kroos, Sami Khedira na Mesuit Ozil, aliifanya kazi na akaikamilisha kazi.
Kwanini namtaja sana Kaze leo?? Naachaje kumtaa kama mnamwona Kibwana Shomari mchezaji kinda amebadilika kabisa anachukua mali eneo lake, anatunza mali kwa kujiamini na anaitoa kwa kujiamini.
Naachaje kumtaja Kaze kama ndie amempeleka Fei Toto mgahawani kisha achague Menu anayotaka, alichofanya yeye ni kumlipia bill yake, akamuweka sawa Mukoko, akawaambia Yanga chezeni kwa kumtazama huyu mtoto, nadhani mnamwona.
Naachaje kumtaja Kaze kama sio yeye aliemuibua Saido Ntabazonkiza ingali kinda, akacheza michezo ya Rolling stone pale Arusha, akaenda Ulaya na karudi tena kwenye mikono yake, tukionacho kwake ni matokeo ya akili ya Kaze, aliesema mpeni mpira aamue yeye
Natamani sana nimalize kwa kusema nyuma ya ubora wa Yanga Afrika ni huyu Kaze, natamani tumsake yule Mswahili aliesema 'Ngoja ngoja huumiza matumbo' tumuombe atengue kauli.
Goli tatu, alama tatu na round ya kwanza imeisha.
Say it againCedric kaze
Kuna siku katika pita pita zangu mtandaoni,nikasikia jina hili
Mimi sikumjua ikabidi nimwonyeshe mtani wangu shabiki wa mikia,alipoliona jina alistuka,ila akanipongeza.
Akanipa mawili matatu ya huyu jamaa,na Sasa nimeanza kuamini.
Kuanzia ukuta,viungo,ushambuliaji kote kunaimarika,na huyu wanamwita Saidoo!!!!!!!!!!!!kazi ipo
Na Mwezi March ndio huu mkuu, hongera sana kwa kuuona wakati ujaoHizi thread zenu tutakuja kuzifufua mwezi march tu hapo,Mungu akipenda inshallah!
punguzeni midomoCedric kaze
Kuna siku katika pita pita zangu mtandaoni,nikasikia jina hili
Mimi sikumjua ikabidi nimwonyeshe mtani wangu shabiki wa mikia,alipoliona jina alistuka,ila akanipongeza.
Akanipa mawili matatu ya huyu jamaa,na Sasa nimeanza kuamini.
Kuanzia ukuta,viungo,ushambuliaji kote kunaimarika,na huyu wanamwita Saidoo!!!!!!!!!!!!kazi ipo
. Usiku wa deni haukukawia. Sie tunaoijua yanga huwa haitoboi mwezi march.Hizi thread zenu tutakuja kuzifufua mwezi march tu hapo,Mungu akipenda inshallah!
. Usiku wa deni haukukawia. Sie tunaoijua yanga huwa haitoboi mwezi march.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app