mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,513
- 10,404
Tena ni kalinyos tu ndo alisajiliwa bila kupendekezwa na KazeHukusikia kuwa makubaliano ya makataba na Kaze yalifanyika kabla hajafika nchini na alishiriki kwenye usajili wa baadhi ya Wachezaji kwa kuwaambia viongozi wa Yanga wasajili Wachezaji fulani akija awakute?