Huyu ndiye Cedric Kaze, Kocha mpya wa Yanga anayerudisha heshima Yanga

ukweli usemwe,mimi mshabiki wa simba sichelewi kusingiziwa ni utopo kafufue nyuzi zangu utaelewa niko upande gani...KISHINGO KUNA MAWILI ABADILI MFUMO AU AONDOKE...KIUNGO KINAKUWA EXPOSED SANA KISENGESENGE,UTOPOLO TUMEWAZIDI UBORA WA WACHEZAJI SANA TU,WAMETUZIDI UBORA WA KOCHA NA SPIRIT YA TEAM,YAANI TUNACHEZA KAMA KONOKONO NA TEJA HALIJUI CHA KUFANYA MFUMO WAKE WA 4-2-3-1 UKIFELI
Nakuafiki kwa hili hata huyu wa sasa atakumbwa na hili km kishingo

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Kaze ni bonge la kochaa nadhan mako ha wazawa wana kitu cha kujifunza kutoka kwa kaze, nimeipenda sana ile program na style yake ya kuwafanyia ‘mentoring’ na kuwajenga baadhi ya wachezaji wa tim pinzan mara baada ya mechi baina yao na yanga kumalizika, hii kitu sijawai iona popote.....
kweli kabisa bonge la kocha toka barcelona
Nakuafiki kwa hili hata huyu wa sasa atakumbwa na hili km kishingo

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
I hope not..wakati natuma hii comment unakumbuka Yanga walivyokuwa wanacheza?speed yao ku compare na simba?sijui nini kimewakuta i think kuna tatizo nje ya uwanja,ukiachilia mbali viwango ila walikuwa wanapambana kwelikweli hadi kuna siku manara akiwa redion EFM alisema anatamani kuona SPIRIT ya wachezaji wa simba ku fight for the jersey iwe kama ya yanga
ninachompenda da rosa so far ni team inakaba kwa pamoja hadi wavivu wa kukaba kama dilunga na chama nao wanajua kukaba siku hizi
 
Kitu kinawasumbua yanga wachezaji wamegawanyika

Wachezaji walioletwa na GSM wanalipwa vizur

Wachezaji wa Msolwa hoi

Hawa wa Msolwa wanasema sawa wacheze wao

Ni hilo tu

Spirits haipo kwa wachezaji
 
Back
Top Bottom