NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,747
Natoa pongezi za dhati kabisa kwa Yanga sc kubeba kombe la Azam shirikisho baada ya kuichapa Azam FC kwa bao moja kwa mtungi.
NALIA NGWENA nilikua nafuraha kubwa lakini furaha yangu imekatishwa na kocha msaidizi wa Yanga Cedric.
Mwandishi: Msimu ujao tutegemee mtihani mkubwa wa kufikia/ kufanya zaidi ya hapa kwa kupata mafanikio Kama haya mliyoyapata mwaka huu?
Cedric Kaze: Mtihani watakuwepo nao hao watakao kuja maana sisi tumemaliza mkataba nafikiri hao watakao kuja Yanga sc ndiyo watakua na mtihani."
Hilo jibu la Kaze limenifanya nigundue kuwa, mwamba anasepa, na kama anasepa ni peke yake au Nabi nae kiukweli furaha yangu imepotea gafla.
Nawasilisha hoja.
NALIA NGWENA nilikua nafuraha kubwa lakini furaha yangu imekatishwa na kocha msaidizi wa Yanga Cedric.
Mwandishi: Msimu ujao tutegemee mtihani mkubwa wa kufikia/ kufanya zaidi ya hapa kwa kupata mafanikio Kama haya mliyoyapata mwaka huu?
Cedric Kaze: Mtihani watakuwepo nao hao watakao kuja maana sisi tumemaliza mkataba nafikiri hao watakao kuja Yanga sc ndiyo watakua na mtihani."
Hilo jibu la Kaze limenifanya nigundue kuwa, mwamba anasepa, na kama anasepa ni peke yake au Nabi nae kiukweli furaha yangu imepotea gafla.
Nawasilisha hoja.