Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Kwa namna mchezo ulivyopigwa leo hii kati ya Yanga na Namungo ni dhahiri kuwa Namungo waliwawin Yanga, na hii ni Ukomavu na ubora wa Kocha wa Namungo Cedric Kaze katika Usukaji wa Safu ya ulinzi.
Na kilichowafanya Yanga kushinda ilikuwa ni hali ya kupambana mpaka mwisho pasipo kukata tamaa.
Na kilichowafanya Yanga kushinda ilikuwa ni hali ya kupambana mpaka mwisho pasipo kukata tamaa.