Cedric Kaze aonesha ubora wake mbele ya waajiri wake wa zamani Yanga

Soloma TV Online

Senior Member
Jun 26, 2023
104
291
Kwa namna mchezo ulivyopigwa leo hii kati ya Yanga na Namungo ni dhahiri kuwa Namungo waliwawin Yanga, na hii ni Ukomavu na ubora wa Kocha wa Namungo Cedric Kaze katika Usukaji wa Safu ya ulinzi.

Na kilichowafanya Yanga kushinda ilikuwa ni hali ya kupambana mpaka mwisho pasipo kukata tamaa.

Polish_20230920_213349914.jpg
 
Ulichoongea kina ukweli kwa 100%. Namungo walionesha upinzani mkubwa sana kwenye mechi ya jana. Hakika Yanga jana alipata mpinzani wa kweli.

Na wakiendelea kucheza kwa kiwango kila cha jana, basi nawategemea kwenye 5 bora. Hata goli walilofungwa, yalikuwa ni matokeo tu ya kucheza na timu kubwa.

Kwa upande wangu nilijua mechi ingeisha kwa sare ya 0-0.
 
Ulichoongea kina ukweli kwa 100%. Namungo walionesha upinzani mkubwa sana kwenye mechi ya jana. Hakika Yanga jana alipata mpinzani wa kweli.

Na wakiendelea kucheza kwa kiwango kila cha jana, basi nawategemea kwenye 5 bora. Hata goli walilofungwa, yalikuwa ni matokeo tu ya kucheza na timu kubwa.

Kwa upande wangu nilijua mechi ingeisha kwa sare ya 0-0.

Leo umeongea kimpira umeweka pembeni ushabiki.

Kongole
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom