Huyu mwanaume ananipenda kweli?

Huyu mwanaume ananipenda kweli?

mweleze how u feel about that uone atasemaje...

ukiona haelekei just quit,mana huko mbeleni itakua shida zaidi.

najua unampenda,probably kumuacha itakua ngum but time heals and eventually utamsahau.
 
'Ana pita' huyo jamaa anapita tafuta wa kukuoa ili uombe matumizi bila wasiwasi.
 
Ww kwani huna hizo pesa za supu?? Sio kila kitu lazima atoe mfukoni mwako mengine unajiongeza mwenyewe, unataka akuachie pesa kwani ilikuwa biashara au kama ni biashara basi mgeweka makubaliano.
Hapana, unakosea. Soma vizuri maelezo yake, anachohitaji ni kuonyeshwa kuwa anapendwa na kujaliwa kwa hata zawadi ndogo, mfano amesema vocha.
Hata kama ana pesa, siku moja moja unampa japo ya supu sio kulipia chumba tu!
 
Hapana, unakosea. Soma vizuri maelezo yake, anachohitaji ni kuonyeshwa kuwa anapendwa na kujaliwa kwa hata zawadi ndogo, mfano amesema vocha.
Hata kama ana pesa, siku moja moja unampa japo ya supu sio kulipia chumba tu!
Fadhal umenielewa watu wanashindwa kunielewa....imagine now naumwa Jana kaja nyumban kunisalimia anaondoka nikamwambia siwezi kupika naomba kama utaweza niletee chips maana nilimeza malafin na yeye ni shahidi ....akaondoka badae akadai amefika mbali sory dear roho inaniuma kukuacha njaa na unaumwa ila nipo mbali....wakati hata dakika 5 haxijapita yangu Stoke kwangu
 
Fadhal umenielewa watu wanashindwa kunielewa....imagine now naumwa Jana kaja nyumban kunisalimia anaondoka nikamwambia siwezi kupika naomba kama utaweza niletee chips maana nilimeza malafin na yeye ni shahidi ....akaondoka badae akadai amefika mbali sory dear roho inaniuma kukuacha njaa na unaumwa ila nipo mbali....wakati hata dakika 5 haxijapita yangu Stoke kwangu
Asee piga chini hiyo kituuu...
 
Fadhal umenielewa watu wanashindwa kunielewa....imagine now naumwa Jana kaja nyumban kunisalimia anaondoka nikamwambia siwezi kupika naomba kama utaweza niletee chips maana nilimeza malafin na yeye ni shahidi ....akaondoka badae akadai amefika mbali sory dear roho inaniuma kukuacha njaa na unaumwa ila nipo mbali....wakati hata dakika 5 haxijapita yangu Stoke kwangu
weeeeee ACHANA NAE.....unajiumiza bure wanaume wapo kibaooooo...
 
Ebu jaribu kumuomba wengine wasipo ombwa hawatoe ,
Wanadamu tunatofautiana kila mtu na hulka yake mwingine mkono wake mwepesi mwingine hana hulka ya kutoa mwingine mpaka umwombe ndo akupe
 
Nina mpenzi wangu nampenda saana na yeye kwa madai yake ananipenda. Kiukweli sijawahi kumuomba hata sent 1 na sina tabia hiyo but nashindwa kuelewa hata kama mtu unampenda kweli unashindwa hata kampa hela ya vocha tu!

Leo kuna kitu kimeniuma sana, jana kaniambia tutoke tukaenda gesti tumelala asubuhi kaondoka jamani hajaniachia hata hela ya nauli. Kilichoniuma alipofika kazini kaniandikia msg "dear jitahidi unywe supu nzito kabla haujaondoka si unaona kazi ilivyokuwa".

Nimeumia sana na jana kapokea mshahara roho imeniuma sana nashindwa nimuweke kundi gani. Naomben ushauri huyu mtu ana mapenz na mimi kweli??
Njoo pm upate hela ya supu....mengineyo tutamtumia picha wasup tukiwa tunakunywa supu nzito.
 
Mbona wewe hujampa hela? Halafu ukiona hivyo,hulipi ndio maana anatoa ugumu tu....
 
Siku hizi soko ni kimya kimya, Umesikiliza wimbo wa mwanaFA wewe?
 
Duh nimepata picha binti kakazwa alafu kapigwa dash kweli wahuni sio watu wanasahau kabisa kama dada za watu hawa
 
Nina mpenzi wangu nampenda saana na yeye kwa madai yake ananipenda. Kiukweli sijawahi kumuomba hata sent 1 na sina tabia hiyo but nashindwa kuelewa hata kama mtu unampenda kweli unashindwa hata kampa hela ya vocha tu!

Leo kuna kitu kimeniuma sana, jana kaniambia tutoke tukaenda gesti tumelala asubuhi kaondoka jamani hajaniachia hata hela ya nauli. Kilichoniuma alipofika kazini kaniandikia msg "dear jitahidi unywe supu nzito kabla haujaondoka si unaona kazi ilivyokuwa".

Nimeumia sana na jana kapokea mshahara roho imeniuma sana nashindwa nimuweke kundi gani. Naomben ushauri huyu mtu ana mapenz na mimi kweli??
We kwako hela ndo kipimo cha mapenzi?
Raha hukupata?
Ungekua na utamu angekupa tu mwenyewe kwa hiyari yake.
 
inauma asikuambie mtuu yaan mm kwanza ile unaondoka ntanunaa...

dawa ya mbahili unamkomesha kwenye mloo...

nakula ht 20 at least yaani

naagiza kukuu mzima ,chips,yai Bavaria,maji ya na mishikaki 2

sasa kwenye mapenz kwan lazma mwanaume akupe hela? kwenye ku***na raha c mnapata wote? kutaka kupewa hela baada ya sex inaonekana kama mtoa mada anajiuza, tena ndo utakuta mtoa mada ndo hana mapenz ya kweli kwa huyo mwanaume geniveros
 
Kapokea mshahara jana ya tarehe 19.02.2017 ni ofisi gani hiyo?

Kama unapenda pesa usijivunge mwambie ukweli kuliko kumchumia dhambi...

Na kama kweli unampenda kama unavyosema.. Mwambie madhaifu yake ili ajirekebishe kuliko kumsema pembeni...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom