AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,647
- 4,753
KUNA WAKATI MTU UNABIDI UJIONGEZEE...SIO MPAKA UOMBWE...MAPENZI SIO PESA...ILA KUWA MPENZI WA MTU MAANA YAKE...MMEPEANA HATI MILIKI YA KILA MMOJA WENU...HIVYO...LAKO NI LAKE...!!
KWA MTINDO HUO...MAANA AKE MWANAUME HATA KAMA MWANAMKE ULIYE NAE ANA HELA KIASI GANI...HIYO SHILINGI MIA ULIYONAYO INA MAANA KUBWA SANAA..LAKINI MWANAUME UNAKAA HUJUI HUYO MWANAUME ANAKULA NINI...ANAVAA NINI...PEDI ANAMNUNULIA NANI...HUO NI UNYONYAJI...KWA MAANA MOJA AMA NYINGINE HUYO MWANAUME ANAKUTAKA MPAKA UMUOMBE ILI MWISHO WA SIKU AKUAMBIE UNAPENDA HELA...HAJIONGEZI...NA KAMA HAJIONGEZI HAKUJALI...JIONGEZE WEWE...!!
KWA MTINDO HUO...MAANA AKE MWANAUME HATA KAMA MWANAMKE ULIYE NAE ANA HELA KIASI GANI...HIYO SHILINGI MIA ULIYONAYO INA MAANA KUBWA SANAA..LAKINI MWANAUME UNAKAA HUJUI HUYO MWANAUME ANAKULA NINI...ANAVAA NINI...PEDI ANAMNUNULIA NANI...HUO NI UNYONYAJI...KWA MAANA MOJA AMA NYINGINE HUYO MWANAUME ANAKUTAKA MPAKA UMUOMBE ILI MWISHO WA SIKU AKUAMBIE UNAPENDA HELA...HAJIONGEZI...NA KAMA HAJIONGEZI HAKUJALI...JIONGEZE WEWE...!!