Huyu mwanaume ananipenda kweli?

Huyu mwanaume ananipenda kweli?

Nina mpenzi wangu nampenda saana na yeye kwa madai yake ananipenda. Kiukweli sijawahi kumuomba hata sent 1 na sina tabia hiyo but nashindwa kuelewa hata kama mtu unampenda kweli unashindwa hata kampa hela ya vocha tu!

Leo kuna kitu kimeniuma sana, jana kaniambia tutoke tukaenda gesti tumelala asubuhi kaondoka jamani hajaniachia hata hela ya nauli. Kilichoniuma alipofika kazini kaniandikia msg "dear jitahidi unywe supu nzito kabla haujaondoka si unaona kazi ilivyokuwa".

Nimeumia sana na jana kapokea mshahara roho imeniuma sana nashindwa nimuweke kundi gani. Naomben ushauri huyu mtu ana mapenz na mimi kweli??
Kwani ulimuuzia so inakuuma kaondoka hajakulipa chako au?

Je, unavyotaka akupe pesa na wewe unampaga zako au na wewe unapenda uteam Matonya!?

Ujue wadada msipende kuendekeza njaa sana ndiyo maana wengi wenu mnaishia kumegwa na kuachwa
 
Kwani ukikataa kufanya ngono kuna tatizo? Tatizo mnapenda kujirahisisha na kuhisi kuwa mwanaume ukimpa papuchi ndio utamdhibiti, msifanye hivyo then kutoa papuchi kwa kutegemea kitu ni ukahaba, je walijua hilo? Jifunzenu kwa wenzenu ndoa ni kitu cha heshima buana, na mwanaume akisha kuonja tu basi ujue hapo ndio kwaheri. BTW kama hamkuandikishana sehemu kuwa baada ya mgegedo akupe hela ya supu sio kosa ila huyu kiukweli hakufai, Anapita tu!
 
Nina mpenzi wangu nampenda saana na yeye kwa madai yake ananipenda. Kiukweli sijawahi kumuomba hata sent 1 na sina tabia hiyo but nashindwa kuelewa hata kama mtu unampenda kweli unashindwa hata kampa hela ya vocha tu!

Leo kuna kitu kimeniuma sana, jana kaniambia tutoke tukaenda gesti tumelala asubuhi kaondoka jamani hajaniachia hata hela ya nauli. Kilichoniuma alipofika kazini kaniandikia msg "dear jitahidi unywe supu nzito kabla haujaondoka si unaona kazi ilivyokuwa".

Nimeumia sana na jana kapokea mshahara roho imeniuma sana nashindwa nimuweke kundi gani. Naomben ushauri huyu mtu ana mapenz na mimi
Nina mpenzi wangu nampenda saana na yeye kwa madai yake ananipenda. Kiukweli sijawahi kumuomba hata sent 1 na sina tabia hiyo but nashindwa kuelewa hata kama mtu unampenda kweli unashindwa hata kampa hela ya vocha tu!

Leo kuna kitu kimeniuma sana, jana kaniambia tutoke tukaenda gesti tumelala asubuhi kaondoka jamani hajaniachia hata hela ya nauli. Kilichoniuma alipofika kazini kaniandikia msg "dear jitahidi unywe supu nzito kabla haujaondoka si unaona kazi ilivyokuwa".

Nimeumia sana na jana kapokea mshahara roho imeniuma sana nashindwa nimuweke kundi gani. Naomben ushauri huyu mtu ana mapenz na mimi kweli??
mnafanya napenzi au biashara?
 
ETI KUNYWA SUPU NZITO, POLE DADA.

ILA NINA SWALI, HV WADADA MKITOKA KUFANYA MAPENZ MSIPOPEWA HELA MBNA MNANUNA, INATOKA NA NINI?
 
Nina mpenzi wangu nampenda saana na yeye kwa madai yake ananipenda. Kiukweli sijawahi kumuomba hata sent 1 na sina tabia hiyo but nashindwa kuelewa hata kama mtu unampenda kweli unashindwa hata kampa hela ya vocha tu!

Leo kuna kitu kimeniuma sana, jana kaniambia tutoke tukaenda gesti tumelala asubuhi kaondoka jamani hajaniachia hata hela ya nauli. Kilichoniuma alipofika kazini kaniandikia msg "dear jitahidi unywe supu nzito kabla haujaondoka si unaona kazi ilivyokuwa".

Nimeumia sana na jana kapokea mshahara roho imeniuma sana nashindwa nimuweke kundi gani. Naomben ushauri huyu mtu ana mapenz na mimi kweli??
Mhm ungemwambia sina hela ya supu akurushie
 
Nina mpenzi wangu nampenda saana na yeye kwa madai yake ananipenda. Kiukweli sijawahi kumuomba hata sent 1 na sina tabia hiyo but nashindwa kuelewa hata kama mtu unampenda kweli unashindwa hata kampa hela ya vocha tu!

Leo kuna kitu kimeniuma sana, jana kaniambia tutoke tukaenda gesti tumelala asubuhi kaondoka jamani hajaniachia hata hela ya nauli. Kilichoniuma alipofika kazini kaniandikia msg "dear jitahidi unywe supu nzito kabla haujaondoka si unaona kazi ilivyokuwa".

Nimeumia sana na jana kapokea mshahara roho imeniuma sana nashindwa nimuweke kundi gani. Naomben ushauri huyu mtu ana mapenz na mimi kweli??
Supu nzito bila hela
 
Mie ni mwanaume aisee ila huyu mwenzetu kazidi na hastahili kabisa kumilik mwanamke, kwa nijuavyo mimi na ndivyo ilivyo ni kuwa mwanamke anahitji kutunzwa mno na pia kupewa kipaumbele hasa kwa masuala ya matumizi kwakuwa wanawake wanahitaji kujiremba na kukipamba kila kiungo chao na ndo inavyotakiwa..Dada yangu naomba umpige chini huyo dume suruali haraka sna
Asante yk
 
Nina mpenzi wangu nampenda saana na yeye kwa madai yake ananipenda. Kiukweli sijawahi kumuomba hata sent 1 na sina tabia hiyo but nashindwa kuelewa hata kama mtu unampenda kweli unashindwa hata kampa hela ya vocha tu!

Leo kuna kitu kimeniuma sana, jana kaniambia tutoke tukaenda gesti tumelala asubuhi kaondoka jamani hajaniachia hata hela ya nauli. Kilichoniuma alipofika kazini kaniandikia msg "dear jitahidi unywe supu nzito kabla haujaondoka si unaona kazi ilivyokuwa".

Nimeumia sana na jana kapokea mshahara roho imeniuma sana nashindwa nimuweke kundi gani. Naomben ushauri huyu mtu ana mapenz na mimi kweli??
Kama unauza we sema,Mwambie ila usisahau kumpa risiti ya EFD.
Lipa kodi kwa maendeleo ya taifa lako.
 
Mimi dem wangu huwa haniombi pesa ovyo., lakin siwezi mruhusu aje geto kama sina pesa,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom