Huyu mwanaume ananipenda kweli?

Huyu mwanaume ananipenda kweli?

Tafuta pesa zako achana na mawazo ya wanawake wa Africa ,mda wote wanawaza kuhongwa . Ukiwa na pesa zako utaishi na umpendaye utafanya mambo yako kwa kujiamini.
 
Wanawake bana kazi kweli kwel. Wandhani kupewa hela ndo dalili ya kupendwa. Km nimekutamani na ili unipe mzigo na niwe huru kukutumia mda wowote ninaotaka kweli sisiti kukupa hela ila ujue sio kwamba nakupenda ila nakata kiu yangu ya mapenz tu. Na siku nikipata chombo kipya tam ujue hautaniona kamwe
 
Nina mpenzi wangu nampenda saana na yeye kwa madai yake ananipenda. Kiukweli sijawahi kumuomba hata sent 1 na sina tabia hiyo but nashindwa kuelewa hata kama mtu unampenda kweli unashindwa hata kampa hela ya vocha tu!

Leo kuna kitu kimeniuma sana, jana kaniambia tutoke tukaenda gesti tumelala asubuhi kaondoka jamani hajaniachia hata hela ya nauli. Kilichoniuma alipofika kazini kaniandikia msg "dear jitahidi unywe supu nzito kabla haujaondoka si unaona kazi ilivyokuwa".

Nimeumia sana na jana kapokea mshahara roho imeniuma sana nashindwa nimuweke kundi gani. Naomben ushauri huyu mtu ana mapenz na mimi kweli??
Shukuru huyo kakupeleka gesti usawa huu ni kwenye vichochoro tu game linaishia hapo
 
acheni ujinga..mimi nakula papuchi na sijawahi toa hata senti kwa hivi viumbe labda wao wanipe mimi
 
Hahahha kuna wanaume wa aina mbili, wanaotoa hela bila kuombwa na wanaotoa wanapoombwa,know ur type...
Hakupi na unataka mwambie baby can I have hela ya nauli etc etc... Ila jmn vitu vingine vidogo sana supu si ununue au upike ulee...
 
Tafuta pesa zako achana na mawazo ya wanawake wa Africa ,mda wote wanawaza kuhongwa . Ukiwa na pesa zako utaishi na umpendaye utafanya mambo yako kwa kujiamini.
Raha ya mwanaume akuhudumie babu wee...usipopewa jua kuna mwenzio anamtia shoti
 
Unaweza kuwa sababu ya mwanaume kuwa hivyo. Kuna wanawake hujifanya hawataki pesa hata ukiwapa na hivyo mwanaume kuamua kukuacha hivyo huku akiendelea kujilia vyake.

Nasema hii ikiwa imenitokea. Niko na mpenzi yeye mwajiriwa serikali idara ya afya. Naujua mshahara wa mtumishi wa umma na ukizingatia hawanu hii ya tano. Kila nikijaribu kumpa amekuwa akionyesha hazitaki na wala hasemi ahsante. Kwahiyo nami nimeamua kutompa tena. Sasa unaweza kukuta naye analalamika kama wewe.
au ndio huyu ANA PITA huyo dada muuguzi
 
Hata Niwe Broke Namna Gani,Nauli Ya Kuja Na Kuondokea,Malazi Chakula Cha Before And After Are And Responsibilities And I Duly Dispatch Them With Honor. Ila Huyo Bro Kazidi.
Ubahili Ana PhD. He Ain't A Brokeass Nigga,He Is Just Mean...
 
Nina mpenzi wangu nampenda saana na yeye kwa madai yake ananipenda. Kiukweli sijawahi kumuomba hata sent 1 na sina tabia hiyo but nashindwa kuelewa hata kama mtu unampenda kweli unashindwa hata kampa hela ya vocha tu!

Leo kuna kitu kimeniuma sana, jana kaniambia tutoke tukaenda gesti tumelala asubuhi kaondoka jamani hajaniachia hata hela ya nauli. Kilichoniuma alipofika kazini kaniandikia msg "dear jitahidi unywe supu nzito kabla haujaondoka si unaona kazi ilivyokuwa".

Nimeumia sana na jana kapokea mshahara roho imeniuma sana nashindwa nimuweke kundi gani. Naomben ushauri huyu mtu ana mapenz na mimi kweli??
Dadaangu huyo mtu yupo kwaajili yakutimiza haja zake tu kwanini asitambue kama unapotumia kitu ukioshe na kuripea pale kilipopata hitilafu kama alijua shughuli ilikuwa nzito na akatambua kwamba unywe supu kwann pesa hakutoa? Pengine labda kipindi mnaanza mahusiano labda mlielewana wewe ndo utakuwa unamhudumia pekee... lakini mimi binafsi sipendi iyo kitu yakuhudumiwa na mwanamke labda nikute tayari ashafanya ivo...
 
Huyo so mwanaume aisee. Mimi wangu namcare sana sana. Achana naye wapo wanaojua ku care
 
Nampongeza jamaa na inaonekana anakupenda sana,anakupima km utaweza kuishi mazingira ya amina zote kwa Siku zijazo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom