Huyu mwanaume ananipenda kweli?

Huyu mwanaume ananipenda kweli?

Wew unanisema mimi au

Kama wew ni mchumba wangu nakupenda ila mimi congi
 
Nina mpenzi wangu nampenda saana na yeye kwa madai yake ananipenda. Kiukweli sijawahi kumuomba hata sent 1 na sina tabia hiyo but nashindwa kuelewa hata kama mtu unampenda kweli unashindwa hata kampa hela ya vocha tu!

Leo kuna kitu kimeniuma sana, jana kaniambia tutoke tukaenda gesti tumelala asubuhi kaondoka jamani hajaniachia hata hela ya nauli. Kilichoniuma alipofika kazini kaniandikia msg "dear jitahidi unywe supu nzito kabla haujaondoka si unaona kazi ilivyokuwa".

Nimeumia sana na jana kapokea mshahara roho imeniuma sana nashindwa nimuweke kundi gani. Naomben ushauri huyu mtu ana mapenz na mimi kweli??
Kutoa ni moyo dada anaweza akawa anakupenda ila ni mchoyo
 
Nina mpenzi wangu nampenda saana na yeye kwa madai yake ananipenda. Kiukweli sijawahi kumuomba hata sent 1 na sina tabia hiyo but nashindwa kuelewa hata kama mtu unampenda kweli unashindwa hata kampa hela ya vocha tu!

Leo kuna kitu kimeniuma sana, jana kaniambia tutoke tukaenda gesti tumelala asubuhi kaondoka jamani hajaniachia hata hela ya nauli. Kilichoniuma alipofika kazini kaniandikia msg "dear jitahidi unywe supu nzito kabla haujaondoka si unaona kazi ilivyokuwa".

Nimeumia sana na jana kapokea mshahara roho imeniuma sana nashindwa nimuweke kundi gani. Naomben ushauri huyu mtu ana mapenz na mimi kweli??
Hapa duniani principle ni hivi mabadiliko tunayopitia ni vipindi katika hii Zama mpya. Watu wanajaribu kuishi Kwa misimamo yao. MFANO mimi naamini hivo kwamba kila mtu ajitahidi ku survive Kwa njia zake. Mapenzi mna share wote. Usipopata hela Tulia. Maisha mazuri yatakuja mbeleni kidogo.
 
Wakina dada Muda unavyoenda mtaelewa. Watu wanevurugwa. Kuwa mwanamke mzuri Ishi maisha ya kawaida kama hela ni ngumu kupata
 
ha ha ha ha dadeki mkopo unaumaa? nacheka utasema mazur

ha ha ha ha et unywe supu nzitoooooo
 
Binafsi nakushauri acha uasherati Dada mgeukie Yesu Mume bora atoka kwa BWANA
 
haya mambo haya kwel usisubir kukutwa na bwana pepsi sasa dada etu hakutoka hata na naul ya boda boda
inauma asikuambie mtuu yaan mm kwanza ile unaondoka ntanunaa...

dawa ya mbahili unamkomesha kwenye mloo...

nakula ht 20 at least yaani

naagiza kukuu mzima ,chips,yai Bavaria,maji ya na mishikaki 2
 
ha ha ha ngoja nkutafutie siku nkukope tena mkopo huu nii zaid ya bodi ya mikopo utalipia mpaka hotelii
inauma asikuambie mtuu yaan mm kwanza ile unaondoka ntanunaa...

dawa ya mbahili unamkomesha kwenye mloo...

nakula ht 20 at least yaani

naagiza kukuu mzima ,chips,yai Bavaria,maji ya na mishikaki 2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom