Huyu mwanamke atanitoa roho

Huyu mwanamke atanitoa roho

You're trying to get out off the vacuum, I won't give you a chance my dear
My dear don't force love. Do you want a one sided relationship? You give and she receives. Its true you love her but she doesn't feel the same way.

Go on with your life, you'll find the love that you deserve stop wasting your energy on something that doesn't value your love.
Screenshot_20201207-195900_1607535158857.jpg
 
Ukipona hilo jeraha, your heart will get back to its normal functionality (pumping blood)

All the best
Mkuu sio kwa mwanamke uliyempenda, wapo wanawake wengi duniani sawa. Ila hii haifanyi umsahau kumpenda umpendae. Najuta sana kuanguka penzini kiasi hiki
 
My dear don't force love. Do you want a one sided relationship? You give and she receives. Its true you love her but she doesn't feel the same way.

Go on with your life, you'll find the love that you deserve stop wasting your energy on something that doesn't value your love.View attachment 1645683
My dear I love her, Ni ngumu sana najitahidi kuangalia hata mabaya yake ila siyaoni.
 
Pole sana Mkuu pambana ili kumrudisha mpenzi wako usiishie kuandika mtandaoni tu. Haya mambo yanahitaji kukaa chini uso kwa uso kujua tatizo ni lipi na kama linaweza kutatulika ili kurudisha penzi lenu hewani.

Maishani mwangu sikua naamini katika mapenzi kabisa, then nikakutana na huyu mwanamke aliyenibadirisha maisha na fikra zangu. Nampenda kutoka ndani ya moyo, shida huyu mwanamke jamani ananitesa sana. Hali yangu mbaya kuna muda nakaa naona kuna kitu kimepungua then nakumbuka ni yeye naumia moyo nahisi hata pressure ishapanda kwa mawazo maana muda wote unalipuka.


Kama unampenda mtu kwanini usimpende tu?? Mimi naamini hakuna sababu za kuachana na mtu umpendae maana hakuna tatizo lisilozungumzika. Wengine nyie mnawezaje kuwaacha mliowapenda?? Mimi badala nimsahau siku zinavyokwenda ndio nazidi kuteseka na kumkumbuka. Karibia kila nachofanya navyokutana navyo vinanikumbusha penzi lake huyu mwanamke.

Babe please come back nashindwa kuvumilia, si mimi ni upendo ulioujenga ndani yangu Sina furaha kabisa yaani sijui najiona vipi bila weww I really can't take it. I chose you you chose me nikakufanya uwe my everything,my happiness my smile. I love you and I won't give up on you coz you're all what I want i always tell you this.
Tabasamu,sauti na cheko lako nalimiss maana ndio vitu pekee vinavyonipa tabasamu.
Please babe I can't taje it anymore, I need you. You're my greatest achievement I won't give up on you
 
Pole sana Mkuu pambana ili kumrudisha mpenzi wako usiishie kuandika mtandaoni tu. Haya mambo yanahitaji kukaa chini uso kwa uso kujua tatizo ni lipi na kama linaweza kutatulika ili kurudisha penzi lenu hewani.

Kanipa tofali mkuu
 
  • Masikitiko
Reactions: BAK
Mkuu jikaze tu ,jitahidi utoke kwenye hayo mateso.
Utakapomrudia tena utazidi kuteseka.
Najua ni ngumu sana kutoka ila jitahidi..baadaye utakuwa poa tu na utaanza kujiona ulivyo mjinga kupoteza muda wako kumpenda mtu asiyekupenda.
 
Maishani mwangu sikua naamini katika mapenzi kabisa, then nikakutana na huyu mwanamke aliyenibadirisha maisha na fikra zangu. Nampenda kutoka ndani ya moyo, shida huyu mwanamke jamani ananitesa sana. Hali yangu mbaya kuna muda nakaa naona kuna kitu kimepungua then nakumbuka ni yeye naumia moyo nahisi hata pressure ishapanda kwa mawazo maana muda wote unalipuka.

Kama unampenda mtu kwanini usimpende tu?? Mimi naamini hakuna sababu za kuachana na mtu umpendae maana hakuna tatizo lisilozungumzika. Wengine nyie mnawezaje kuwaacha mliowapenda?? Mimi badala nimsahau siku zinavyokwenda ndio nazidi kuteseka na kumkumbuka. Karibia kila nachofanya navyokutana navyo vinanikumbusha penzi lake huyu mwanamke.

Babe please come back nashindwa kuvumilia, si mimi ni upendo ulioujenga ndani yangu Sina furaha kabisa yaani sijui najiona vipi bila weww I really can't take it. I chose you you chose me nikakufanya uwe my everything,my happiness my smile. I love you and I won't give up on you coz you're all what I want i always tell you this.
Tabasamu,sauti na cheko lako nalimiss maana ndio vitu pekee vinavyonipa tabasamu.
Please babe I can't taje it anymore, I need you. You're my greatest achievement I won't give up on you
Usiyachukulie mapenzi serious sana utakuja kujiua
 
Back
Top Bottom