Sasa kwanini mliachana?My dear I love her, Ni ngumu sana najitahidi kuangalia hata mabaya yake ila siyaoni.
Tupo mikoa tofauti kwa sasa😢
15 year's back, niliwai kumwambia yule mwali kwamba "unaniumiza"....... Na mwisho kabisa baada ya kunisikiliza, akaniukiza "unaumia wapi"?? Ebu nionueshe panapo kuuma kwaajiliyangu...!!
Aiseeee, nilijiona bonge la fwala miakaile..![]()




Copy thatMan down; I repeat man down. Alpha do you copy?![]()
Tatizo la kitambi chako hicho ni ile mijivyuku, nilikukuta unanunua pale majengo na vidoti vyako flani vyeupe hapo reception...🤗🤗Huyu ndo chanzo Cha kitambi changu...Haiwezekani kila siku ananinunulia chips tu simtaki Mimi na machips yake..
Mkuu Dodoma kuubwa hii
15 year's back, niliwai kumwambia yule mwali kwamba "unaniumiza"....... Na mwisho kabisa baada ya kunisikiliza, akaniukiza "unaumia wapi"?? Ebu nionueshe panapo kuuma kwaajiliyangu...!!
Aiseeee, nilijiona bonge la fwala miakaile..![]()




NSHASEMA sikutaki...usichoelewa Nini wewe kitunguu maji....Chefuuuu![]()
Basi subiri kuona kila rangi na kupoteza mwelekeo wa maishaUkweli ni kwamba nimwkufa nimeoza na ubaya zaidi siwezi ficha wingi wa mapenzi niliyonayo. Nampenda sana, nimeahindwa kujibanabana moyoni ili nisionyeshe kua nampenda
Dahhhh.....
Ila watu wakijua wanapendwa wanatesa wenzao jamani
Muache mkuuShe left me. Kwamba she need a break
15 year's back, niliwai kumwambia yule mwali kwamba "unaniumiza"....... Na mwisho kabisa baada ya kunisikiliza, akaniukiza "unaumia wapi"?? Ebu nionueshe panapo kuuma kwaajiliyangu...!!
Aiseeee, nilijiona bonge la fwala miakaile..😂😂
Hahahaha me Kuna limjomba limenitesa hivi na mvi zanguDahhhh.....
Ule mshangazi ulinitesa sana aiseeee...![]()
Maishani mwangu sikua naamini katika mapenzi kabisa, then nikakutana na huyu mwanamke aliyenibadirisha maisha na fikra zangu. Nampenda kutoka ndani ya moyo, shida huyu mwanamke jamani ananitesa sana. Hali yangu mbaya kuna muda nakaa naona kuna kitu kimepungua then nakumbuka ni yeye naumia moyo nahisi hata pressure ishapanda kwa mawazo maana muda wote unalipuka.
Kama unampenda mtu kwanini usimpende tu?? Mimi naamini hakuna sababu za kuachana na mtu umpendae maana hakuna tatizo lisilozungumzika. Wengine nyie mnawezaje kuwaacha mliowapenda?? Mimi badala nimsahau siku zinavyokwenda ndio nazidi kuteseka na kumkumbuka. Karibia kila nachofanya navyokutana navyo vinanikumbusha penzi lake huyu mwanamke.
Babe please come back nashindwa kuvumilia, si mimi ni upendo ulioujenga ndani yangu Sina furaha kabisa yaani sijui najiona vipi bila weww I really can't take it. I chose you you chose me nikakufanya uwe my everything,my happiness my smile. I love you and I won't give up on you coz you're all what I want i always tell you this.
Tabasamu,sauti na cheko lako nalimiss maana ndio vitu pekee vinavyonipa tabasamu.
Please babe I can't taje it anymore, I need you. You're my greatest achievement I won't give up on you
Mkuu, yule mwali alisababisha nikawa mlevi hadi nikafukuzwa kazi imagine...Hahahahaha chezeya kupenda weye lol! Ila ukifanya maamuzi ya Kiume kama alikupenda kweli atarudi tu lakini ME wengine wakishafunga mlango hawafungui. Watakusikiliza mwisho wa siku wanakwambia KWAHERI Mrembo thanks 🙏🏽 for everything.
Mbingu utaisikiaMkuu, yule mwali alisababisha nikawa mlevi hadi nikafukuzwa kazi imagine...
Sasa nilikutana nae mwaka jana eneo flani nami kidogo mambo hayakua mabaya sana, binti kachoka kachakaa.... Aliponisemesha nilimwambi "excuse me mother", nikamwambia amenifananisha na yule ni pacha wangu...![]()



