Huyu mama yake Diamond ni Ulimbukeni au?

Huyu mama yake Diamond ni Ulimbukeni au?

Labda useme ushukuru Mungu kwa kutokujua usichokijua, Binadamu usimwamini hata siku moja, hivyo wakati mwingine tofauti kati ya mama Mondi na mama zetu ni kwamba labda hawatuonyeshi (mama zetu) tu wanayoyafanya, kwani mwisho wa siku mama zetu ni Wanawake pia, sasa kama una uzoefu na Wanawake utaelewa mambo ambayo wanafanya kwa kuficha, na kuitangazia Dunia kuwa ni Watakatifu, mimi nimeshashudia mengi na Wanawake ambao kwa heshima wanaoionyesha kwenye jamii wengi hawawezi amini kama ni fake.

Hivyo mambo haya ni kukaa kimya tu, mimi kuna mshikaji mama yake walimshika darasani jioni na kijana hakuna aliyeamini, Mshikaji mpaka leo hajatengemaa bado kiakili.
hata kama wanafanya hatukata ila sio ifike time mpaka wanapiga picha kuonesha walikuwa wanafanya hapo ndo walipobugi

Hakuna asiyejua kama baba na mama yake huwa wanananliana ila sio vzuri nijue baba na mama wametoka kufanya hapo ndipo linakuja swala la kutojiheshim
 
Labda useme ushukuru Mungu kwa kutokujua usichokijua, Binadamu usimwamini hata siku moja, hivyo wakati mwingine tofauti kati ya mama Mondi na mama zetu ni kwamba labda hawatuonyeshi (mama zetu) tu wanayoyafanya, kwani mwisho wa siku mama zetu ni Wanawake pia, sasa kama una uzoefu na Wanawake utaelewa mambo ambayo wanafanya kwa kuficha, na kuitangazia Dunia kuwa ni Watakatifu, mimi nimeshashudia mengi na Wanawake ambao kwa heshima wanaoionyesha kwenye jamii wengi hawawezi amini kama ni fake.

Hivyo mambo haya ni kukaa kimya tu, mimi kuna mshikaji mama yake walimshika darasani jioni na kijana hakuna aliyeamini, Mshikaji mpaka leo hajatengemaa bado kiakili.
Huyo ni mama wa rafiki yako sio mama zetu tunaowajua usituongelee mama zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda useme ushukuru Mungu kwa kutokujua usichokijua, Binadamu usimwamini hata siku moja, hivyo wakati mwingine tofauti kati ya mama Mondi na mama zetu ni kwamba labda hawatuonyeshi (mama zetu) tu wanayoyafanya, kwani mwisho wa siku mama zetu ni Wanawake pia, sasa kama una uzoefu na Wanawake utaelewa mambo ambayo wanafanya kwa kuficha, na kuitangazia Dunia kuwa ni Watakatifu, mimi nimeshashudia mengi na Wanawake ambao kwa heshima wanaoionyesha kwenye jamii wengi hawawezi amini kama ni fake.

Hivyo mambo haya ni kukaa kimya tu, mimi kuna mshikaji mama yake walimshika darasani jioni na kijana hakuna aliyeamini, Mshikaji mpaka leo hajatengemaa bado kiakili.

Heri mama zetu wana decency ya kuficha kutunzia heshima familia yako!

Atleast!

Huyu ni fyatu kabisa!
 
Labda useme ushukuru Mungu kwa kutokujua usichokijua, Binadamu usimwamini hata siku moja, hivyo wakati mwingine tofauti kati ya mama Mondi na mama zetu ni kwamba labda hawatuonyeshi (mama zetu) tu wanayoyafanya, kwani mwisho wa siku mama zetu ni Wanawake pia, sasa kama una uzoefu na Wanawake utaelewa mambo ambayo wanafanya kwa kuficha, na kuitangazia Dunia kuwa ni Watakatifu, mimi nimeshashudia mengi na Wanawake ambao kwa heshima wanaoionyesha kwenye jamii wengi hawawezi amini kama ni fake.

Hivyo mambo haya ni kukaa kimya tu, mimi kuna mshikaji mama yake walimshika darasani jioni na kijana hakuna aliyeamini, Mshikaji mpaka leo hajatengemaa bado kiakili.
Noma sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heri mama zetu wana decency ya kuficha kutunzia heshima familia yako!

Atleast!

Huyu ni fyatu kabisa!


Ya labda hilo la kuficha unaweza kulisema, mimi nimeshuhudia vituko vingi sana na Wanawake ambao nikiwaelezea watu ambao wanafikiri wanawajua hao wanawake, hawawezi amini.
 

Na wewe unaeisambaza hiyo picha jifikirie...


Imran 3:
3_104.gif

104. Na uwe kutokana na nyinyi umma unao lingania kheri na unao amrisha mema na unakataza maovu. Na hao ndio walio fanikiwa. 104
 
tuache kukuza mambo hivi ni vitu vya kawaida mno kwa wenye pesa...
zari hua anaenda beach na wanae wakiume then anapga picha akiwa amevaa chupi pekee sasa hapo kwa ma d kipi cha ajab?
 
Haya nimambo ya kawaida kwa baadhi ya nchi zinazoishi karne ya 21. Ila kwa nchi za dunia 3 ambazo bado zipo karne ya 19 hapo watasema dish limeyumba
 
Back
Top Bottom