Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,123
Ana ganga njaa
jamani umefika wakati tutambue kuwa,kwenda shule na utendaji kazi ni vitu viwili tofautiiiiiiiiiiii,pia mtambue kuwa tbc ni taasisi ta siasa tena ni ccm kwani hamkumbuki walivyo kataa lile tangazo la KWANINI TU MASIKINI WAKATI TUNA TANZANITE NA MADINI KEMKEM? ukikumbuka hilo utajuwa hawa wakina shilima wapo wapi,wanachotaka ni mkono uende kinywani na sio watanzania wanataka nini
MAPINDUZIIIIIIIIIII DAIMAAAAAA
Pale unapoona mwenzio anachukua side, kuwa agaisnt na upinzani basi jua na wewe uko kwenye side ya kuusupport upinzani. Wote tukiwa upande mmoja nani atamfunga paka kengele? Tukubali kutokukubaliana, ndio demokrasia.
Bahati Mwano, kwanza karibu, pili kitu kama hujui , sio lazima uchagie, huyu binti, infact ni mama tena sio young mother, but she looks good, ni graduate tena toka reputable univesities, kumuita kanjanja ni kumuonea!, makanjanja tuite akina siye!.
Mo-Town, hii ni kweli, kuna kusoma elimu ya cheti na kuelimika. Kila siku tunakutana na magraduate wenye ku behave kama shule ya msingi, na wazee wetu ambao hawakugusa darasa, lakini thinking capacity ya kina Socrates na Plato!.Pasco kuwa graduate toka reputable Univ. na kufanya kazi kwa uelewa/mafanikio tarajiwa ni vitu viwili tofauti!
picha pliz
jamani umefika wakati tutambue kuwa,kwenda shule na utendaji kazi ni vitu viwili tofautiiiiiiiiiiii,pia mtambue kuwa tbc ni taasisi ta siasa tena ni ccm kwani hamkumbuki walivyo kataa lile tangazo la KWANINI TU MASIKINI WAKATI TUNA TANZANITE NA MADINI KEMKEM? ukikumbuka hilo utajuwa hawa wakina shilima wapo wapi,wanachotaka ni mkono uende kinywani na sio watanzania wanataka nini
MAPINDUZIIIIIIIIIII DAIMAAAAAA
Niliposema hilo comment lako nikachanganya na avatar nimebaki mbavu sina.picha pliz